USA kuishambulia Iran karibuni

USA kuishambulia Iran karibuni

Marekani sidhani kama ataingia kwenye vita na Iran hizo zitakua mbwembwe tu ila anajua uwezo wa kijeshi wa Iran kwamba sio wa kubezwa. Nadhani pia atafikiria kuhusu kuyumba kiuchumi akiwa vitani wakati huo mshindani wake kiuchumi China atakua anazidi kupepea wakati yeye anapigana vita.

Vita pesa mkuu wakupigana ni mi na wewe tunaomba online military job then unapewa mission huko na ukitoka hai unapewa hela yako
 
Hapana mkuu, maslahi wanayoyapata ni makubwa kuliko hzo huduma za Afya. USA hana, hajawahi kuwa na upendo nasi ni mkoloni tu
Mimi hata siamini Mkuu hebu nambie USAID au Global Fund wanapata maslahi gani kwenye kupambana na Malaria na Ukimwi Africa?? Tena wanaongeza ajira na wasomi.
 
Kuna tofauti kwanza kupigwa kwa Iraq ujue Saudi Arabia kama ally wake na nchi zingine zenye Sunni leadership ziliridhia, pili Iran nae akuona shida Saddam kutolewa hawakuwa on good terms na Iraq aikuwa na uwezo wa kufanya proxy wars za kuilipua Middle East au kufanya sabotage ya mafuta.

Iran ina support za nchi kadhaa hapo hapo Middle East na ina uwezo wa kuanzisha proxy wars na kufanya mafuta yasitoke hapo. Ina maana kuivamia Iran nchi nyingi zijiandae kupambana na proxy wars ndani ya mipaka yao kitu ambacho kitaenda pelekea vita Middle East nzima na wana uwezo wa kuzuia straight of Hormuz.

Hizo ndio sababu unaona Saudi Arabia anashawishi watu wakubali kutandikwa kwa Iran in other words wachukue responsibility kwa lolote litakalofuata in terms of proxy.
Katika utawala wa Saddam Hessein hakuna Nchi ilikuwa na sauti zaidi ya Iraq pale mashariki ya kati, hilo la kwanza.
La pili ni kwamba sio tu Iran bali Taifa lolote likiingia kwenye 18 za USA halitobaki salama zaidi ya kukubali terms & conditions, ndio maana ukaona Japan akaingilia kati kuwasihi Wairan watulize mshono mana wanajua madhara yake.
Tatu, waarabu ni wanafiki na wabaguzi wa kufa mtu....kama walimuacha Afganistan, Iraq, Quet, Syria na Libya unadhani watamtetea Iran ambaye si mwarabu mwezao?
Hilo sahau.
 
Iran sio mwarabu,,,angekua mwarabu asingekua na uwezo mkubwa wa technology,,,
Kuishusha mq 4c triton spy drone ya US sio mchezo,tena ndege latest,,
 
Katika utawala wa Saddam Hessein hakuna Nchi ilikuwa na sauti zaidi ya Iraq pale mashariki ya kati, hilo la kwanza.
La pili ni kwamba sio tu Iran bali Taifa lolote likiingia kwenye 18 za USA halitobaki salama zaidi ya kukubali terms & conditions, ndio maana ukaona Japan akaingilia kati kuwasihi Wairan watulize mshono mana wanajua madhara yake.
Tatu, waarabu ni wanafiki na wabaguzi wa kufa mtu....kama walimuacha Afganistan, Iraq, Quet, Syria na Libya unadhani watamtetea Iran ambaye si mwarabu mwezao?
Hilo sahau.
Iran-Iraq wamepigana vita god knows for how long na mwisho Saddam akaishia kujihami na serikari yake kutokana influence za Iran political views ndani ya Iraq. Sasa sijui ni lini Iraq aliwahi kuogopewa ndani ya region.

Waarabu wana allies zao sio kila nchi zinamahusiano mazuri kwa ivyo inategemea anaevamiwa ana mahusiano gani na wenzake ukiwa rafiki na Saudi Arabia watatoa pressure kwa wengine ili utetewe na usipokuwa na mahusiano mazuri nao watatoa pressure kwa wengine wa support kichapo chako.

Hila linapokuja swala la Iran ni kesi nyingine geographically wao wana uwezo wa kuzuia meli za mafuta kukatiza na atakae umia sana kiuchumi ni nchi za Asia ambapo asilimia kubwa ya mafuta yanayotoka strait of Hormuz yanaenda kwao ndio maana unaona kwa wa Japan na Asia kwa ujumla it’s not in their interest hiyo region isiwe stable.

Ni hivi kuivamia Iran is a complicated matter not just for the regional politics but global economy.
 
Mkuu trust me Iran watalipa price kivyovyote eidha hizi sanctions zilizokuwa imposed jana zitazidi kuuwa uchumi wao na hata kufikia umasikini wetu, au uhasama utafika mbali!

Gharama za bidhaa na kuishi hivi sasa Iran ziko juu mno na viwanda vinazalisha bidhaa ambazo hazikidhi tena ku_export Iraq, kumbuka Iraq anamtegemea Iran kwa ajili ya goods.

Mimi yangu macho tu
 
Iran-Iraq wamepigana vita god knows for how long na mwisho Saddam akaishia kujihami na serikari yake kutokana influence za Iran political views ndani ya Iraq. Sasa sijui ni lini Iraq aliwahi kuogopewa ndani ya region.

Waarabu wana allies zao sio kila nchi zinamahusiano mazuri kwa ivyo inategemea anaevamiwa ana mahusiano gani na wenzake ukiwa rafiki na Saudi Arabia watatoa pressure kwa wengine ili utetewe na usipokuwa na mahusiano mazuri nao watatoa pressure kwa wengine wa support kichapo chako.

Hila linapokuja swala la Iran ni kesi nyingine geographically wao wana uwezo wa kuzuia meli za mafuta kukatiza na atakae umia sana kiuchumi ni nchi za Asia ambapo asilimia kubwa ya mafuta yanayotoka strait of Hormuz yanaenda kwao ndio maana unaona kwa wa Japan na Asia kwa ujumla it’s not in their interest hiyo region isiwe stable.

Ni hivi kuivamia Iran is a complicated matter not just for the regional politics but global economy.
Ndo mana nikakwambia vita ni shughuli ya kibinadamu yenye faida ya kiuchumi kuliko shughuli yoyote uijuayo.
Anachokiangalia US kwa sasa ni kumfyatua Iran na kutengeneza unstable security halafu anasecure the oil route to Asia region na watalazimika kumlipa kwa huduma hiyo mana hakuna wa kumzuia kufanya hivyo, na hiyo itampelekea US na makampuni yake kuwa major suplly wa bidhaa hiyo Asia kote.
Kwa hesabu za US ili kuishikilia na kuilinda biashara yao na Asia ni lazima Iran apigwe.
 
Ndo mana nikakwambia vita ni shughuli ya kibinadamu yenye faida ya kiuchumi kuliko shughuli yoyote uijuayo.
Anachokiangalia US kwa sasa ni kumfyatua Iran na kutengeneza unstable security halafu anasecure the oil route to Asia region na watalazimika kumlipa kwa huduma hiyo mana hakuna wa kumzuia kufanya hivyo, na hiyo itampelekea US na makampuni yake kuwa major suplly wa bidhaa hiyo Asia kote.
Kwa hesabu za US ili kuishikilia na kuilinda biashara yao na Asia ni lazima Iran apigwe.
Hahhaaa kwa simulizi hizi nahisi kuna baadhi ya wabongo huwa wanashirikishwa na USA kwenye vikao. Maana sio kwa kuwa deep kiasi hiki tena kwa kujiamini kabisa
 
Trust you? Wewe kama nani sasa? Au nyie wengine ni makamanda wa US army, maana sielewi elewi..
Mkuu trust me Iran watalipa price kivyovyote eidha hizi sanctions zilizokuwa imposed jana zitazidi kuuwa uchumi wao na hata kufikia umasikini wetu, au uhasama utafika mbali!

Gharama za bidhaa na kuishi hivi sasa Iran ziko juu mno na viwanda vinazalisha bidhaa ambazo hazikidhi tena ku_export Iraq, kumbuka Iraq anamtegemea Iran kwa ajili ya goods.

Mimi yangu macho tu
 
Hahhaaa kwa simulizi hizi nahisi kuna baadhi ya wabongo huwa wanashirikishwa na USA kwenye vikao. Maana sio kwa kuwa deep kiasi hiki tena kwa kujiamini kabisa
Ni uchambuzi na sio simulizi mkuu.
 
Aiseeh! Sawa mkuu, hizi chambuzi ukizisoma mpaka unajihisi kama upo Marekani. Tena mwingine anakwambia trust me, Iran atalipa price. As if anatoa tamko... dah
Hahaaa mara nyingi chambuzi zinabebwa na hisia za mchambuaji ndo mana vitu kama hivyo hujitokeza.
 
Back
Top Bottom