TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,269
- 27,942
Wafuatiliaji wa mjadala huu nawakumbusha kuwa 'hiyo' drone iliyodunguliwa ni ya anga za juu (high altitude drone), haionekani kirahisi (stealth), pia nyongeza ya hapo ni kwa drone hiyo ilizima transponders zake ili isishutukiwe kunyata kwake. Kwa maneno mengine ilikuwa na 'three levels of protection'. Muiran kupitia ulinzi wake wa Anga amevunja levels zote tatu na 'kuishusha' drone ya US.Hakutegemea kama Iran wangethubutu kufanya waliyofanya!!!!!!
Narudia ninawakumbusha tu wana jukwaa.