USA kuishambulia Iran karibuni

USA kuishambulia Iran karibuni

Iran ana wakati mgumu sana..cz hata kama ana nuke na akatumia basi anaweza kuwaumiza washirika wa marekani lakini kitakachofata ni nuke hatari za marekani kutua katika kila ardhi ya iran kama mvua
 
Trump bhana mbona mzito hivyo anapitwa hata na Netanyahu kwenye kujibu mapigo ya papo kwa hapo? Iran angedungua drone ya Israel siku nyingi kingeshanuka!
Kamulize Natanyahau drone yake iluangushwa au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.

Hebu tazama aibu hi sijui Trump ataificha wapi.


Siri ya Trump kuzia leo mashambuli ni sababu Pilot aliye kuwa kiongozi wa zile fleet za F16 kuona Raddar Jamming system inamuonyesha kuwa Radar ya Iran hajawezia kuijam ni power full na yeye option zake ni ndogo aingie kichwa kichwa au vipi. Ndio hapa control room wakabidi wawaulize pentagoni,wa go fwd au wasubiri kwanza. Trump akaona bora asisogeze pua.
 
DJ Trump kasema hiviii!
Screenshot_20190621-111047.jpeg
 
Iran,wakapige pale Newyork kabisa. Siwapendi Marekani.
Mmmmmmhh Dada ile "kondoooooommoja" aliyovaaga shemela, una jua ni kwa msaada wa watu wa marekani?

Unaweza sema huipendi marekani ila kuna vitu unatumia with either tumepewa pesa za msaada tu anunua hivyo vitu ama tumepewa msaada wa hizo vitu.


Upende usipende marekani utaipenda tu


Moderator naamini nimetumia lugha isiyoya maudhi.

Bila shaka Dada yangu umenielewa..

(kama nitakukwaza nisamehe, ila nimejitahidi sana kutumia lugha nyepesi)
 
Mkuu ni kweli kabisa,
Trump ni fundi wa kutishia ila kwenye moto lazima atizame mara mbili
Jana aliidhinisha jeshi kuvamia na mifumo ya ulinzi ya Iran lakin leo karudi nyuma kuomba jeshi lisifanye hivyo maana middle east leo kungekuwa hatar kila kona
Na US ameumia zaid na kuwapa maadui wengine wafanye yao.

Kwa taarifa yako Marekani huwa hapigi mahali ambapo jamaa wana uwezo wa kurudishia!!!!!! Ndege yao ya kijeshi isiyo na ruban " US Navy MQ-4C Triton drone" waliyoituma kufanya ujasusi juu ya Iran "haikurudi"!!!!! Na hii ni vresion mpya kabisa yenye dhana za kujificha isionekane na dhana za kijilinda isidunguliwe lakini saa hii imebaki majivu!!!!! Mtasubiri sana Marekani kujitutumua kwa Iran!!!!! Aendelee kumwonea Mchina kwa kukatisha kwenye bahari ya china na mimeli yake!!!! Wairan hawajui kubeep!!!! wao ni kupiga tu ukujichanganya kwenye anga zao!!!!! Tukio hili limemwogopesha sana Marekani!!!!! Hakutegemea kama Iran wangethubutu kufanya waliyofanya!!!!!!
 
Mheshimiwa maarufu, "Mujtahid," katika Twitter yake vyanzo vya kunukuu vilivyoelezewa na Wizara ya Ulinzi ya Saudi, alisema kuwa Marekani sasa imewaomba Saud Arabia kuandaa maeneo ya kijeshi ya Saudi kutumikia Amerika katika mapambano ya karibu.

Inasemekana USA atashambulia Iran kama sehemu tatu hivi sababu Trump anaruhusiwa kutokana na sheria afanye mashambulizi kiasi kama hakuruhusiwa na congess kwenda vitani, na Iran akijibu hapo ndio itabidi congress wampe Trump green light aingie katika vita kamili na hicho ndio Trump, Natanyahu, MBZ na MBS wanakitaka.

Vita vinakuja katika hizi siku au hii week, kutokana na huyo Mheshimiwa maarufu Mujitahidi, na mara nyingi habari zake huwa za kweli haswa katika habari za Royal family za Saudia na inasemekana ni one of Saudi Royal Family.
Hizo no ndoto za Mchana!!!
 
Mdharau mwiba...........Usiwaunderestmate wairani. Wairan wanaongoza kwa Sayansi ya nuclear. Wewe unafikiri wangekuwa hohe hahe America ingekosa usingizi kwa ajili yao? Nilishakutana na wairan wachache wapo vere vere intelligent.
Ndoto za mchana endelea kuota!!!
 
Mi ndo nakwambia, hakuna cha vita. Watu wameshaona Marekani anaogopa vita. Wakisema waingie vitani Iran itaangamia sana. Iran anataka kujifanya kama Korea kaskazini tu.
So kwamba Marekani inaogopa Iran Bali nchi yoyote ila inapotaka kuingia vitani lazima uangalie vitu vingi na wala so kuingia kichwa kichwa tu!!
 
Trump bhana mbona mzito hivyo anapitwa hata na Netanyahu kwenye kujibu mapigo ya papo kwa hapo? Iran angedungua drone ya Israel siku nyingi kingeshanuka!
Kamulize Natanyahau drone yake iluangusha au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.

Hebu tazama aibu hij sijui Trump ataificha wapi.


Siri ya Trump kuzia leo mashambuli ni sababu Pilot aliye kuwa kiongozi wa zike fleet za F16 kuona Raddar Jamming system inamuonyesha kuwa Radar ya Iran kashindwa kuijam. Naonagopo kusogeza pua missile ikamripua.
So kwamba Marekani inaogopa Iran Bali nchi yoyote ila inapotaka kuingia vitani lazima uangalie vitu vingi na wala so kuingia kichwa kichwa tu!!
Ni kweli maneno yako mstaafu wa JWTZ, USA ni super power lakini mara nyingi sana si kila super power wanashinda vita wako wapi ma super power wazamini.

Ukweli USA anaweza mpiga Iran lakini hasara ngapi watazipata, afu lazima ufahamu wa Iran ni Mashia nakatika kamusi yao wanajiita wajukuu wa Mtu wale Hassan na Hussein na wao wanasema ni wafuasi wa Hussein, yani wao kumwaga damu wanaona ni sifa na kufa ni sherehe kama sikukuu za Eid vile.

Kwa hio Mshia huwa haogopi kufa na hapo USA anajua wazi kabisa.
 
Kamulize Natanyahau drone yake iluangusha au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.

Hebu tazama aibu hij sijui Trump ataificha wapi.


Siri ya Trump kuzia leo mashambuli ni sababu Pilot aliye kuwa kiongozi wa zike fleet za F16 kuona Raddar Jamming system inamuonyesha kuwa Radar ya Iran kashindwa kuijam. Naonagopo kusogeza pua missile ikamripua.
Ni kweli maneno yako mstaafu wa JWTZ, USA ni super power lakini mara nyingi sana si kila super power wanashinda vita wako wapi ma super power wazamini.

Ukweli USA anaweza mpiga Iran lakini hasara ngapi watazipata, afu lazima ufahamu wa Iran ni Mashia nakatika kamusi yao wanajiita wajukuu wa Mtu wale Hassan na Hussein na wao wanasema ni wafuasi wa Hussein, yani wao kumwaga damu wanaona ni sifa na kufa ni sherehe kama sikukuu za Eid vile.

Kwa hio Mshia huwa haogopi kufa na hapo USA anajua wazi kabisa.


nmesoma status zote but yko ni nzito mno jpo wengi wanaweza wasiielewe
 
Hahaha aisee hivi ushakutana na Wamarekani wenye akili ?

Unakumbuka 1945 ile Manhattan project iliyomtoa Little boy na Fat man ?


Sasa hiyo ni 1945 huko walishakuwa na hizo capabilities ushajiuliza sasa hivi itakuwaje ?

Kuna vitu vingine awali ni awali tu hakuna mbadala wake

Mungu tu aepushie mbali Marekani isije mpata Rais kichaa hii dunia haitakalika
trump si huyo kichaa tayar mbona dunia inakalika
 
Back
Top Bottom