Unawachukiaje watu wanaokulipia huduma za afya.Iran,wakapige pale Newyork kabisa. Siwapendi Marekani.
Kamulize Natanyahau drone yake iluangushwa au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.Trump bhana mbona mzito hivyo anapitwa hata na Netanyahu kwenye kujibu mapigo ya papo kwa hapo? Iran angedungua drone ya Israel siku nyingi kingeshanuka!
Najilipia mwenyewe kwa jasho langu.Unawachukiaje watu wanaokulipia huduma za afya.
sio huduma ya afya tu, umeme , maji, nkUnawachukiaje watu wanaokulipia huduma za afya.
Mmmmmmhh Dada ile "kondoooooommoja" aliyovaaga shemela, una jua ni kwa msaada wa watu wa marekani?Iran,wakapige pale Newyork kabisa. Siwapendi Marekani.


Kwa taarifa yako Marekani huwa hapigi mahali ambapo jamaa wana uwezo wa kurudishia!!!!!! Ndege yao ya kijeshi isiyo na ruban " US Navy MQ-4C Triton drone" waliyoituma kufanya ujasusi juu ya Iran "haikurudi"!!!!! Na hii ni vresion mpya kabisa yenye dhana za kujificha isionekane na dhana za kijilinda isidunguliwe lakini saa hii imebaki majivu!!!!! Mtasubiri sana Marekani kujitutumua kwa Iran!!!!! Aendelee kumwonea Mchina kwa kukatisha kwenye bahari ya china na mimeli yake!!!! Wairan hawajui kubeep!!!! wao ni kupiga tu ukujichanganya kwenye anga zao!!!!! Tukio hili limemwogopesha sana Marekani!!!!! Hakutegemea kama Iran wangethubutu kufanya waliyofanya!!!!!!
wayatest tu. maana hamna namna. North Korea alitest baharini, huyu ngoja atest kwenye uhalisia wenyewe
Yatadunguliwa mapeeeeemaNa pia Iran hatarusha makombora Saudia tu, atayapeleka hadi Marekani na ni kitu ambacho US atakihofia zaidi
Hizo no ndoto za Mchana!!!Mheshimiwa maarufu, "Mujtahid," katika Twitter yake vyanzo vya kunukuu vilivyoelezewa na Wizara ya Ulinzi ya Saudi, alisema kuwa Marekani sasa imewaomba Saud Arabia kuandaa maeneo ya kijeshi ya Saudi kutumikia Amerika katika mapambano ya karibu.
Inasemekana USA atashambulia Iran kama sehemu tatu hivi sababu Trump anaruhusiwa kutokana na sheria afanye mashambulizi kiasi kama hakuruhusiwa na congess kwenda vitani, na Iran akijibu hapo ndio itabidi congress wampe Trump green light aingie katika vita kamili na hicho ndio Trump, Natanyahu, MBZ na MBS wanakitaka.
Vita vinakuja katika hizi siku au hii week, kutokana na huyo Mheshimiwa maarufu Mujitahidi, na mara nyingi habari zake huwa za kweli haswa katika habari za Royal family za Saudia na inasemekana ni one of Saudi Royal Family.
Una chuki binafsi au una chuki za kidini???Iran,wakapige pale Newyork kabisa. Siwapendi Marekani.
Ndoto za mchana endelea kuota!!!Mdharau mwiba...........Usiwaunderestmate wairani. Wairan wanaongoza kwa Sayansi ya nuclear. Wewe unafikiri wangekuwa hohe hahe America ingekosa usingizi kwa ajili yao? Nilishakutana na wairan wachache wapo vere vere intelligent.
So kwamba Marekani inaogopa Iran Bali nchi yoyote ila inapotaka kuingia vitani lazima uangalie vitu vingi na wala so kuingia kichwa kichwa tu!!Mi ndo nakwambia, hakuna cha vita. Watu wameshaona Marekani anaogopa vita. Wakisema waingie vitani Iran itaangamia sana. Iran anataka kujifanya kama Korea kaskazini tu.
Tanzania hatuna mahusiano ya kijeshi na Iran labda wewe in mu-Iran!!Kuna broo wangu yuko Iran kimafunzo ya jeshi nitamuuliza anitonye hali ya mambo ya nguvu ya Iran kijeshi
Kamulize Natanyahau drone yake iluangusha au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.Trump bhana mbona mzito hivyo anapitwa hata na Netanyahu kwenye kujibu mapigo ya papo kwa hapo? Iran angedungua drone ya Israel siku nyingi kingeshanuka!
Ni kweli maneno yako mstaafu wa JWTZ, USA ni super power lakini mara nyingi sana si kila super power wanashinda vita wako wapi ma super power wazamini.So kwamba Marekani inaogopa Iran Bali nchi yoyote ila inapotaka kuingia vitani lazima uangalie vitu vingi na wala so kuingia kichwa kichwa tu!!
Kamulize Natanyahau drone yake iluangusha au haikuangushwa alipo enda anga la Iran, au Natanyahu kasahau.
Hebu tazama aibu hij sijui Trump ataificha wapi.
Siri ya Trump kuzia leo mashambuli ni sababu Pilot aliye kuwa kiongozi wa zike fleet za F16 kuona Raddar Jamming system inamuonyesha kuwa Radar ya Iran kashindwa kuijam. Naonagopo kusogeza pua missile ikamripua.
Ni kweli maneno yako mstaafu wa JWTZ, USA ni super power lakini mara nyingi sana si kila super power wanashinda vita wako wapi ma super power wazamini.
Ukweli USA anaweza mpiga Iran lakini hasara ngapi watazipata, afu lazima ufahamu wa Iran ni Mashia nakatika kamusi yao wanajiita wajukuu wa Mtu wale Hassan na Hussein na wao wanasema ni wafuasi wa Hussein, yani wao kumwaga damu wanaona ni sifa na kufa ni sherehe kama sikukuu za Eid vile.
Kwa hio Mshia huwa haogopi kufa na hapo USA anajua wazi kabisa.
trump si huyo kichaa tayar mbona dunia inakalikaHahaha aisee hivi ushakutana na Wamarekani wenye akili ?
Unakumbuka 1945 ile Manhattan project iliyomtoa Little boy na Fat man ?
Sasa hiyo ni 1945 huko walishakuwa na hizo capabilities ushajiuliza sasa hivi itakuwaje ?
Kuna vitu vingine awali ni awali tu hakuna mbadala wake
Mungu tu aepushie mbali Marekani isije mpata Rais kichaa hii dunia haitakalika