USA kuishambulia Iran karibuni

USA kuishambulia Iran karibuni

Wafuatiliaji wa mjadala huu nawakumbusha kuwa 'hiyo' drone iliyodunguliwa ni ya anga za juu (high altitude drone), haionekani kirahisi (stealth), pia nyongeza ya hapo ni kwa drone hiyo ilizima transponders zake ili isishutukiwe kunyata kwake. Kwa maneno mengine ilikuwa na 'three levels of protection'. Muiran kupitia ulinzi wake wa Anga amevunja levels zote tatu na 'kuishusha' drone ya US.
Narudia ninawakumbusha tu wana jukwaa.
Mkuu umenena?
 
Iran alipigana vita na Iraq bila kusaidiwa na taifa lolote lile.

Iraq alisaidiwa na Saud Arabia, UAE, Kuwait, Qatar, Yemen, Jordan, USA, Misri, Sudan.

Karibu nchi zote za kiarabu hata Muingereza alikuwa anamsaidia Iraq.

Kuhusu kumtukana mwenzako na kumuita mkristo wa nabii tito we ni nani haswa, kumkosoa mwenzako vile.

Hebu nieleze wewe ukristo ni nini?Kosa lake liko wapi mpaa ukasema c mkristo.
Tatizo lako wewe@Adiosamigo umekariri quaran tu na akili yako inasubiri tu ufe ukakabidhiwe wale mabikira 72 kama mlivyoahidiwa na bwana Mudi,Hivyo hujui chochote kinachoendelea duniani maana akili yako imefungwa kabisa.Basi soma habari habari hii uelimike-https://www.cfr.org/backgrounder/russia-iran-arms-trade
 
Kama vita itazuka basi USA atatandikwa vibaya mno tuache ushabiki waajemi sio waarabu kwa hiyo usiwalinganishe nao kabisa ..
 
Tatizo lako wewe@Adiosamigo umekariri quaran tu na akili yako inasubiri tu ufe ukakabidhiwe wale mabikira 72 kama mlivyoahidiwa na bwana Mudi,Hivyo hujui chochote kinachoendelea duniani maana akili yako imefungwa kabisa.Basi soma habari habari hii uelimike-https://www.cfr.org/backgrounder/russia-iran-arms-trade
Nani amekuambia hizo story mstafu wa JWTZ kuhusu mabikira 72? Qur'an hakuthibitisha ilo.

Kuhusu kudai mimi nimekariri Qur'an c mbaya ni sifa kwangu, ukihifadhi mpaa raha ndugu, huwezi amini ukihifadhi Qur'an na kusimamisha salaa zako tano kwa siku hakuna anaye kutisha hata USA hakubabaishi.

Hio link mbona haifunguki kamanda wetu, afu naona inaongelea kwa mbali biashara c kusaidia vita.

Kamanda wacha kukwepa weka wazi, una bana bana nini hio news, c weka wazi tuone news zinaso sema Iran kasaidiwa, mbona Israel iko wazi anasaidiwa na USA.

Hivi huoni wamarekani wanavyo lialia kila kukicha wamechoka Jeshi lao liwe front line ya Israel
 


Attacking Iran, US will open the gates of hell

Film-maker, writer and a renowned orator George Galloway shares his point of view
on dangerous US-Iran tensions
 
Ujinga kama huu hata kwa Saddam Hussein walikuwa wanasema haya haya mwishowe akapata kichapo cha mbwa koko,Kwenye mambo ya vita hayo mambo weka pembeni jipange pambana usitegemee Imani akusaidie
Saddam angemshinda USA tatizo Saddam alikuwa na matatizo na majirani zake na warabu walikuwa upande wa USA.

Nchi zilizo pigana na Saddam ni 45.

Jiran zake wote walishiriki vita isipokuwa Jordan tu, na Jordan asinge msaidia sababu ni puppet wa USA.

Iran story ingine, Iran ya sasa ina nguvu kuliko Iraq wakati wa Saddam.

Warabu ma sunni hawana umoja kama mashia awe Muajemi au Mwarabu, yani hakuna hata shia anaweza kukubali Iran ipigwe, awe shia Muiran, Mpakistan, Mwarabu au Mhindi na USA analijua hilo.

Iran wanajiita wajukuu wa Hussein ambaye alikuwa ni mjukuu wa Mtume Muhammad, ushujaa kwao mbele hakuna cha kuwarudisha nyuma.

Nani anakuambia dini haisaidii vita, Iran wanamini kufa ni kwenda peponi, wakati USA anamini kufa ni kwenda motoni.
 
Unajua kuna baadhi ya watu wanafikiri Iran ni waarabu. Lakini Trump amekuwa na akili sana baada ya Intel kumwambia Irana wana macho ya kuona stealth planes, ingekuwa aibu sana kwenye utawala wake kuambiwa kuwa ndege stealth zimetunguliwa na Iran.
Hizo stealth wanaringia bure tu, kama iliweza kudondoshwa Ukraine na Mzinga wa mwaka 47 sembuse s300? au stifer s500?
 
Umenena kweli.
Maana Saddam Hussein alikua akiwachinja wajeda wa Bush ile mbaya ila kukosana na. Majirani kulimuumiza Saddam.
Halafu mkuu kweli masunni hawana umoja kama mashia sijui kwann.
Shia hata awe mswahili ila ana umoja na mashia wa kihajemi au kiarabu.
Ila sunni mwarabu mara ambague sunni muafrica hata sielewi kwann.
Saddam angemshinda USA tatizo Saddam alikuwa na matatizo na majirani zake na warabu walikuwa upande wa USA.

Nchi zilizo pigana na Saddam ni 45.

Jiran zake wote walishiriki vita isipokuwa Jordan tu, na Jordan asinge msaidia sababu ni puppet wa USA.

Iran story ingine, Iran ya sasa ina nguvu kuliko Iraq wakati wa Saddam.

Warabu ma sunni hawana umoja kama mashia awe Muajemi au Mwarabu, yani hakuna hata shia anaweza kukubali Iran ipigwe, awe shia Muiran, Mpakistan, Mwarabu au Mhindi na USA analijua hilo.

Iran wanajiita wajukuu wa Hussein ambaye alikuwa ni mjukuu wa Mtume Muhammad, ushujaa kwao mbele hakuna cha kuwarudisha nyuma.

Nani anakuambia dini haisaidii vita, Iran wanamini kufa ni kwenda peponi, wakati USA anamini kufa ni kwenda motoni.
 
Umenena kweli.
Maana Saddam Hussein alikua akiwachinja wajeda wa Bush ile mbaya ila kukosana na. Majirani kulimuumiza Saddam.
Halafu mkuu kweli masunni hawana umoja kama mashia sijui kwann.
Shia hata awe mswahili ila ana umoja na mashia wa kihajemi au kiarabu.
Ila sunni mwarabu mara ambague sunni muafrica hata sielewi kwann.
Shia wana umoja sababu lengo lao ni moja huwa wanasema Laalidhilaa, usikubali kunyanyaswa, wakati Masunni wao sio wote wanakubali Dhila ila wengi wao.

Ww huoni Trump anavyo mdharau King wa Saud Arabia, akisubutu kwa Ayatullah Khomeni basi atatukanwa Trump ile mbaya.

 
Duh huyu Ayatollah ni shidda !!
"Do not trust Europeans either"
Ahahahahahahhahahahahah dah hapa Imperialists wamedunda maneno ya huyu mzee lazima umshangilie ni ya kibabba.
Mkuu kuhusu mfalme wa Saudia alikuwa yule aliokufa sio huyu.
We huoni kipind cha Mfalme aliyepita America ilikua haina urafiki na. SUUDIA kama sasa hiv kwa huyu mnafiki Salman?!
Huyu Mfalme wa sasa anarocha
Shia wana umoja sababu lengo lao ni moja huwa wanasema Laalidhilaa, usikubali kunyanyaswa, wakati Masunni wao sio wote wanakubali Dhila ila wengi wao.

Ww huoni Trump anavyo mdharau King wa Saud Arabia, akisubutu kwa Ayatullah Khomeni basi atatukanwa Trump ile mbaya.

 
Duh huyu Ayatollah ni shidda !!
"Do not trust Europeans either"
Ahahahahahahhahahahahah dah hapa Imperialists wamedunda maneno ya huyu mzee lazima umshangilie ni ya kibabba.
Mkuu kuhusu mfalme wa Saudia alikuwa yule aliokufa sio huyu.
We huoni kipind cha Mfalme aliyepita America ilikua haina urafiki na. SUUDIA kama sasa hiv kwa huyu mnafiki Salman?!
Huyu Mfalme wa sasa anarocha
Tafuta mfalme wa kiarabu anaye weza mtukana presdent wa USA, nawaziri wake na viongozi wa Europe kama yupo, wacha Warabu hata kiongozi wa Israel.

AYATOLLAH ALI KHOMENI ni dume hilo, unadhani yule bibi wa Israel ataweza kuongea hivyo, kama kesho hawajokosa mlo Tel Aviv 😁 😀
 
Daah hahahahhahahahahhahahahhhahhahah
Na ile kauli ya majamaa kumsapoti eti "Chanting death to Israel "!
Dah majamaa hawa ni komesha
Tafuta mfalne wa kiarabu anaye weza mtukana presdent wa USA, nawaziri wake na viongozi wa Europe kama yupo, wacha Warabu hata kiongozi wa Israel.

AYATOLLAH ALI KHOMENI ni dume hilo, unadhani yule bibi wa Israel ataweza kuongea hivyo, kama kesho hawajokosa mlo Tel Aviv 😀
 
Hao jamaa hawana mbwembwe kama Waarabu waliokosa Umoja,hao in Persians sio Arabs watapiga kweli,maana wanajitagemea kila kitu haswa Military technology licha ya Israel kuhangaika sana kuua wanasayansi ya Iran lakini was too late to kill them
 
Heee kumbe mzee hawa wazayuni wanajitahidi kuua wanasayansi wa Iran?!
Kumbe Iran wanasayansi wapo mkuu ?!
Duh basi hawa ni shidda
Hao jamaa hawana mbwembwe kama Waarabu waliokosa Umoja,hao in Persians sio Arabs watapiga kweli,maana wanajitagemea kila kitu haswa Military technology licha ya Israel kuhangaika sana kuua wanasayansi ya Iran lakini was too late to kill them
 
Back
Top Bottom