Mr Tyang
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 1,728
- 6,806
Hivi kwa akili yenu kabisa mnaona marekan anaweza akampa Ukraine makombora ya masafa marefu yanayoweza kushambulia hadi ndani ya mipaka ya urusi kweli?
Kama tu kupeleka mfumo wa kujikinga na makombora na no flying zone mpaka leo hawajapeleka Ukraine kwa kuhofia kuibua vita kubwa baina ya Russia na USA leo hii ndo mnafikri kuwa USA anaweza peleka hayo makombora kweli?
USA siyo mjinga mjinga hivo kwenye medali za kivita kama vichwa vyenu vinavyofikiri.
Anachokifanya sasahivi nikumpaka mgonjwa uji mdomoni kisha anaurudisha kwenye bakuri uendelee kupoa.
Anaesubiri hayo makombora yafike Ukraine nisawa na kusubiri kuokota parachichi kwenye mkungu wa ndizi.
Kama tu kupeleka mfumo wa kujikinga na makombora na no flying zone mpaka leo hawajapeleka Ukraine kwa kuhofia kuibua vita kubwa baina ya Russia na USA leo hii ndo mnafikri kuwa USA anaweza peleka hayo makombora kweli?
USA siyo mjinga mjinga hivo kwenye medali za kivita kama vichwa vyenu vinavyofikiri.
Anachokifanya sasahivi nikumpaka mgonjwa uji mdomoni kisha anaurudisha kwenye bakuri uendelee kupoa.
Anaesubiri hayo makombora yafike Ukraine nisawa na kusubiri kuokota parachichi kwenye mkungu wa ndizi.






