Bado sana. Mwisho wa hii vita mrusi atajitwalia Donbas region, Ukraine atabakia upande wa West. Wananchi wasiokuwa na hatia wa Ukraine watarudi kwenye magofu wataanza kulishwa kama kuku wa broiler na wazungu na kudhalilishwa kwenye media.
Tamaa ya US ilikuwa Urusi ishindwe kabisa, na Ukraine warejeshe eneo la Crimea ili US aweke kambi zake pale. US failed in its mission kitu kitakachomkosesha Urais Biden na wademocrat wenzake. Ukraine atajikuta anajitibu majeraha ya kugeuzwa kifusi baada ya kudanganywa na CIA kuwa ni mmarekani atakayekuwa anapigana. Urusi naye atakuwa kapoteza kwa kubakia na vikwazo, pamoja na kupoteza wanajeshi na vifaa vitani.