Mtaalam
JF-Expert Member
- Oct 1, 2007
- 1,370
- 234
aisee na sasa wale wote ambao hawajazoea kuvaa suti na kuwa kuwa smati wajimini muanze kukwepa kuwepo maeneo ya town wajimini..as kama wengi walivyosema hapa hamkawii kwenda jilia suna la buree kule segerea na keko..hata kama una ka stationery town wajimini zoea zoea tuu kupiga formals ama suti hata ka haina ac...la sivyo mtazidi ichukia serikali yenu...
sasa clinton road zilidekiwa arusha je huyu ambaye anaweza go lala kilimanjaro hotel pale (jina la zamani) si bahari ile inaweza sijui ikafanywaje sijui maanaa...
na wajimini mkiona wazungu wamezidi zidi huko bongo now msishangae ndio mjue watu wako kazini tayari huwa watumwa kabla kabsaaa na ka safari ni february wanaweza kuwa tayari washafika kuweka kambi...
i cant immagine jinsi jiji litakavyokua na pilika pilika bin foleniz..as mie nakumbuka wakati mama bush alipokuja tz ndio mie niliingia bongo siku hiyo masaa machache before u cant immagine how siku hiyo the airport was...halafu immagine wafika pale huna habari kuwa mama bush atatua soon...mwee huduma zilikua faster hizo jus kumake sure pipo wasiwe near the area iitwayo airport....
sasa clinton road zilidekiwa arusha je huyu ambaye anaweza go lala kilimanjaro hotel pale (jina la zamani) si bahari ile inaweza sijui ikafanywaje sijui maanaa...
na wajimini mkiona wazungu wamezidi zidi huko bongo now msishangae ndio mjue watu wako kazini tayari huwa watumwa kabla kabsaaa na ka safari ni february wanaweza kuwa tayari washafika kuweka kambi...
i cant immagine jinsi jiji litakavyokua na pilika pilika bin foleniz..as mie nakumbuka wakati mama bush alipokuja tz ndio mie niliingia bongo siku hiyo masaa machache before u cant immagine how siku hiyo the airport was...halafu immagine wafika pale huna habari kuwa mama bush atatua soon...mwee huduma zilikua faster hizo jus kumake sure pipo wasiwe near the area iitwayo airport....