US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

Waku hapa ujue kuna kitu, Mseven ameshachemsha is no longer in good books za wakubwa. US want to create alliance na TZ and thats the way they do it Uganda and Kenya they are increasingly unrealibale partners. Tufurahi au tusikitike? the jury is still out, but ukiona hivi ujue M7 na wengineo wameshatumiwa na thamani yao imeisha now the good boys ni Kagame na Kikwete...hapa ni AFRICOM tuu hakuna cha zaidi! na mda ukifika Kikwete na yeye atatupwa hivyo hivyo! Ohh wadanganyika bwana!
 
Jamani mimi nadhani Mahabusu wataongezeka sana kwani kamata kamata ya POLISI uchwara wa bongo itakuwa balaa. Na bongo hatuna vitambulisha so jamani kaa mkao wa kula kuingia city-center umevaa casual inaweza kukutokea balaa. YAngu macho na masikio.
 
Na hapo ndo utaona vyombo vya usalama vya bongo viko POWERLESS kwani walinzi kwa sehemu zote Kichaka atakazokwenda watakuwa US tupu. Hata JK anaweza kusachiwa wakati wanaingia IKULU.
 
msiwe na wasiwasi.. ujumbe utapenyeshwa na kama mnavyojua Kichaka hachelewi kuwaambia viongozi wenzake ukweli hana ubia nao!
 
Hapa ndipo huwa naivulia kofia JF.
Haya mambo yalisemwa hapa kama miezi miwili au mitatu iliyopita kuwa Kichaka atakuja Tanzania. Mpango wa kambi bado upo na hata kama watanzania wakikataa, jamaa wanaweza kununua ardhi kubwa sana na kudai kuwa kuna madini na kisha serikali ya ccm ikaua na kuhamisha watanzania wote wanaoishi hapo (kama walivyofanya kule Bulyanhulu) na jamaa wakajijengea kambi kama hawana akili nzuri vile.

Ingawa binafsi sina tatizo na ziara ya Kichaka Tanzania, ninawahurumia tu watanzania wengi watakaofungiwa mawasiliano ya simu zao za mikononi kwa muda wote Kichaka atakaokuwa Tanzania (nadhani wengi wanafahamu kilichotokea wakati Bill amekwenda bongo miaka ile).

Wakati mwingine ukiona treni linakuja kwa kasi sana, njia rahisi ya kusurvive ni kuliacha lipite kisha uendelee na mambo yako. Kwa hili la kichaka, sidhani kama hata kuandamana na kushika mabango kutasaidia lolote as longer as Kikwete ni rais wa Tz. Kikwete anaiga utendaji kazi kutoka kwa Kichaka, ukiona vile Kikwete hajali maisha na malalamiko ya watanzania ni the same way Kichaka hajali maisha na malalamiko ya wamarekani wengi.

Joji Kichaka, karibu sana Bongoland, nchi ambayo wageni wanakuja na dola tano mfukoni wanaondoka na mabilioni ya dola. Usisahau kupitia kwenye hotel ya kitalii ya Kikwete ile ya kule mbugani na kumpa rafiki yako some business. Karibu sana Tanzania Joji.
 
Me pia nahisi hili litatumiwa vibaya na ccm kuwasahaulisha ufisadi wadanganyika maana ni wepesi wa kusahau kuliko nini sijui. Mfano sijasikia lolote muda sasa kuhusu ile kamati ya Richmonduli hv imeishia wapi? Well, ilikuwa kamati ya Bunge sawa kwani sasa ndio mpaka Bungeni au maana me sielewi.

Kazi kwetu sisi watz tusiowadanganyika hususani wanJF lets keep the good job ya kuwakomboa kihalisi wabongo wenzetu tusidanganywe na huu ujio wa kichaka.
 
Lame duck President! Hakuna anachoweza kusaidia katika wakati huu wa uongozi wake. Ni dalili nyingine ya jinsi wanavyolidharau bara letu. Bill Clinton nae alitutembelea wakati ameishakuwa kikatuni katika jumuia ya wamarekani. Wanakuja kutusumbua tu. Tutawavurumusha raia zetu ili wasimsumbue mkuu huyu ambaye sidhani kama atalala hapo wala kunywa maji yetu! Abaki huko aliko. Hii ni photo op. kuwaonyesha watu weusi na liberals kuwa wao si wabaguzi. Anawafagilia wakina McCain na wala sio sisi.
 
The devil is in the detail. How can a middle aged man visit five countries in six days? You need six days just to fly over all those places!

Perhaps he will be here only for a couple of hours. That will hardly be significant. Why did the press release not give the duration of the visit? Will George Bush leave the the airport?

Naunga mkono kuweko kwa kambi za majeshi ya Marekani hapa kwetu.
It would bring in much needed publicity, and money. It would be a major
boost to our tourism. It might even bring us direct flights from the USA to DIA and KIA
 
message deleted for cross posting. Mniwie radhi kujaza thread bila sababu.
 
Augustine Moshi said:
Naunga mkono kuweko kwa kambi za majeshi ya Marekani hapa kwetu. It would bring in much needed publicity, and money

Mwalimu do you relly think tatizo la watanzania ni pesa? kama ni hivyo Balali angetoa wapi mabilioni aliyoyaiba na washirika wake? JK angetoa wapi mabillion anayotafuna kila siku na washirika wake? Binafsi nadhani tatizo la Tanzania siyo pesa wala publicity ni watu wa kuzisimamia hizo pesa kwa makini kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania. Na sidhani ujio wa Joji utatusaidia katika hili.
 
Na hapo ndo utaona vyombo vya usalama vya bongo viko POWERLESS kwani walinzi kwa sehemu zote Kichaka atakazokwenda watakuwa US tupu. Hata JK anaweza kusachiwa wakati wanaingia IKULU.

...eee bwana eee nimecheka ile mbaya lakini kuna kaukweli,sitashangaa wale wapambe wa JK wakatupwa nje na secret service si unajua hawa jamaa wanapokanyaga wanakuja full nondo kuanzia communication mpaka magari ya bush yatashuka ndani ya Airforce one,na sijui kama watalala,ila uzuri JK atakarabati vile vibarabara na kuvisafisha safisha,ila wazururaji watch out mnaweza kuozea central mpaka Bush aondoke
 
Mwalimu do you relly think tatizo la watanzania ni pesa? kama ni hivyo Balali angetoa wapi mabilioni aliyoyaiba na washirika wake? JK angetoa wapi mabillion anayotafuna kila siku na washirika wake? Binafsi nadhani tatizo la Tanzania siyo pesa wala publicity ni watu wa kuzisimamia hizo pesa kwa makini kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania. Na sidhani ujio wa Joji utatusaidia katika hili.

Masanja, na ukilidadisi sana hilo tatizo utajikuta unaanza kuona vile ni kama la watu weusi zaidi ya asili nyingine!!

Lame duck President! Hakuna anachoweza kusaidia katika wakati huu wa uongozi wake. Ni dalili nyingine ya jinsi wanavyolidharau bara letu. Bill Clinton nae alitutembelea wakati ameishakuwa kikatuni katika jumuia ya wamarekani. Wanakuja kutusumbua tu. Tutawavurumusha raia zetu ili wasimsumbue mkuu huyu ambaye sidhani kama atalala hapo wala kunywa maji yetu! Abaki huko aliko. Hii ni photo op. kuwaonyesha watu weusi na liberals kuwa wao si wabaguzi. Anawafagilia wakina McCain na wala sio sisi.

Naungana nawe Fundi kwa asilimia kubwa tu, ila kama kawaida, always kuna kitu fulani hivi kingine kinakuwa kimefichwa, hasa hasa kibiashara.

The devil is in the detail. How can a middle aged man visit five countries in six days? You need six days just to fly over all those places!

Perhaps he will be here only for a couple of hours. That will hardly be significant. Why did the press release not give the duration of the visit? Will George Bush leave the the airport?

Naunga mkono kuweko kwa kambi za majeshi ya Marekani hapa kwetu.
It would bring in much needed publicity, and money. It would be a major
boost to our tourism. It might even bring us direct flights from the USA to DIA and KIA
Mwl. Moshi, sawa lakini ambacho hukitaji ni ule utakaokuwa 'UJIO wa ALQAIDA' kwa nguvu kubwa na sababu kubwa!!

SteveD.
 
Lame duck President! Hakuna anachoweza kusaidia katika wakati huu wa uongozi wake. Ni dalili nyingine ya jinsi wanavyolidharau bara letu. Bill Clinton nae alitutembelea wakati ameishakuwa kikatuni katika jumuia ya wamarekani. Wanakuja kutusumbua tu. Tutawavurumusha raia zetu ili wasimsumbue mkuu huyu ambaye sidhani kama atalala hapo wala kunywa maji yetu! Abaki huko aliko. Hii ni photo op. kuwaonyesha watu weusi na liberals kuwa wao si wabaguzi. Anawafagilia wakina McCain na wala sio sisi.

Na kule middle east ( Israel, Palestine ) na kule Saudia na U.A.E alipokanyaga kwa mara ya kwanza nako kunaangukia kwenye "dalili ya dharau kwa bara lao"
 
Nisingependa kuona huyu jamaa anakanyaga nchi yetu, lakini unajua tena mafisadi waliokuwa madarakani hata hawaangalii opinion polls dunia nzima jinsi huyu jamaa anavyochukiwa duniani hata katika nchi za magharibi.
 
...eee bwana eee nimecheka ile mbaya lakini kuna kaukweli,sitashangaa wale wapambe wa JK wakatupwa nje na secret service si unajua hawa jamaa wanapokanyaga wanakuja full nondo kuanzia communication mpaka magari ya bush yatashuka ndani ya Airforce one,na sijui kama watalala,ila uzuri JK atakarabati vile vibarabara na kuvisafisha safisha,ila wazururaji watch out mnaweza kuozea central mpaka Bush aondoke

We Koba we,
Mbona sina mbavu, just imagine Tibaigana ana-cordinate ulinzi na jamaa wa Secret Service pale Kempinski.
 
We Koba we,
Mbona sina mbavu, just imagine Tibaigana ana-cordinate ulinzi na jamaa wa Secret Service pale Kempinski.

hehehehe ni nani huyo aliekwambia kuwa huyo tibaigana atakauwa aki cordinate ulinzi pale????yeye na mwenzie Mwema sijui mbaya wao kazi yao itakua ku cordinate ulinzi wa barabara zinazokaribiana na maeneo hoteli karibu na atakapo lala mheshimiwa na sie anywhere near the hotel...sasa if wakuu wetu wakido that job wat abt polisi wetu??nadhan wao kazi yao itakua kulinda wilaya nzima..nachoonea huruma tuu ni watu wa huko nje ya jiji wakati huo as uhalifu waweza zidi mno wakati huo due to watu wa ovyo ovyo kutoruhusiwa town n polisi wooote watakua wilaya atakayoshuki bush kulinda usalama wa huko..
 
ndugu augustino ka usemavyo kuwa base itatufaidisha sijui fame na hela..ujue hata tukiwa navyo hivyo vyootew still we as we Tanzanians hatufaidi anything with uwekezaji bnez na mengineyo kama kujulikana duniani zaidi ya kufaidisha matumbo ya kina karamagi,jk na wengineo in that bnez...so sidhani ka ni point nzuri...

halafu ukumbuke wakija hawa watu..watalii wa kimarekani ya usa wataongezeka hence kina alqaeda nao kuongezeka maradufu na chuki dhidi ya bongo...so at the end mwajua kitachotokea!!

jamani sie ni nchi ya amani tubaki na amani yetu..
 
Back
Top Bottom