ukisoma maoni ya watu baada ya hiyo article, utaona "brain backers" won!!!
kuna just and unjust wayz of doing things, Obama kaamua kuchagua just wayz....kwani Spitzer kilichomwangusha si ni huo u-machiavelli wake!! in all of NY spitzer ana handfull of friends kwasababu ka-step into almost everybodies toes. hata hao Clintons, kinachowaponza hivi leo ni hako kamchezo, kwani watu wamechoka!!!.
ni makosa ku-compare politics na game kama football, mara ya mwisho ni lini superbowl champions wamepeleka nchi vitani???? football ni football na politics itabaki kuwa politcs, let's get real!!!
ati fighter!!! kama ingekuwa ni good strategy basi leo hii angekuwa na delegates wengi kuliko Obama........Mahtma Gandi na MLK wali-win agenda zao, je Malcom X and Co waliishia wapi?? its about better reasoning, sophisication and interllectuality at its highest level (something new....alijisemeaga Craig Mark, "Nu flava in ya earz, uuuuuuh!!), mind games bila watu kujua kwamba wanachezewa akili zao. hata researches mbalimbali zinaonyesha pple tends to admire that!!!...........hata true win ktk cold war, ilikuja bila kumwagika damu.
hii ni 2008, wakina clintons bado wanatumia tacts za mwaka '47!!! what happened to creativity?? Mark Penn kwanini analipwa mipesa yote hiyo......sasa ni nani anaye "xerox."??
YN I always admire your analysis, lakini mkuu hapa naomba tutofautiane. Politics though old as Prostitution, it has never and never will it be a clean game! Certainly none can compare politics with Superbowl! If Jaluo becomes a president tomorrow (which I hope he will-Inshallah) what will change is some faces and way of doing things but interests and things to be done will never change!
Simply because BO is President; Do you expect peace in ME? Do you expect a better governed and democratic Iraq? do you expect more accountability by Israel for its policies? do you expect NATO out of Afghanistan?, do you expect more concession by WTO to the "wretched of the earth", Do you expect Africa to breath better, do you expect embrace of Cuba? do you expect better relation with Chavez?..and on and on.....?
Kifupi ni kwamba we dont expect US itutatulie matatizo ya dunia hii..lakini hatutegemei US hiyo hiyo ipunguze kuya-create hayo matatizo..kwa sababu engine ya huo Uchumi inategemea sera za kimachiavelli kama hizo zilizopo! Kwa serious analyst anajua kabisa tofauti ya Bush na Bill Clinton ni ndogo sana KIMASLAHI..leo McCain ana support NAFTA than dems wenyewe..why? Pre emptive wars alizianza Bush? alizianza Clinton 1999..and on and on....
Perhaps sema, USA will enjoy better standing to continue asserting its foreign policy with more "friendly countries". Alio waignore Bush..perhaps watashirikishwa! "allies" Perhaps BO can try to be multilateralists..etc..But reality is..we better lower our expectations of what BO can do for the rest of the world-even USA itself.
Kikubwa ninachoona BO can be an inspiration and role model to all those cast from the mainstream of success, they can once again believe that-IT CAN BE DONE with determination and hard work and here Iam not talking of a black Nigga in Alabama, Iam equally talking of young man in Nzega and Sengerema..akisoma Uhuru akajua kwamba US ina rais mweusi itamu-inspire!
The rest tuendelee ku-discuss as kawaida, but what Kitila was saying is the reality check ambayo ndo ukweli wa siasa. Siasa ni maslahi it has been so and it will ever be. ! Dhahabu yetu inayochukuliwa Tz ina fetch millions and millions hapo NY....ni rais gani atasema eti jamani mnawaibia third world countries..please re-evaluate your policies.....
Mi ningependa wajenga hoja tumsupport BO kwa hoja zake na sio kuandika kwamba the guy is holier and clean and..day one in office..Washington will change! Please...........We have seen many who wanted to change Washington, alas! only Washington to change them! What happened? Its a question relevant today as it was in 1992 when a young Governor from Arkansas was campaigning on the same platform of changing Washington!!