US Election Coverage 2008


Naam narudia tena kusema Obama akishindwa itakuwa ni pigo kwa dunia. Hii hali ya uchumi tuliyokuwa nayo sasa hivi imesababishwa sana na ongezeko la mafuta ambayo demand yake iliongezeka sana kutokana na uvamizi wa Iraq, Kichaka hataki dunia iamini hivyo yeye anataka dunia iamini kwamba demand ya China na India ndiyo iliyosababisha hilo, lakini ukweli ni kwamba mahitaji ya mafuta duniani yaliongezeka sana baada ya uvamizi wa Iraq.

Ongezeko hilo kubwa la mafuta ndiyo limesabaisha uchumi wa dunia kuanguka maana bei ya mafuta ikiongezeka basi inaathiri bei ya kila kitu duniani. McOLd akishinda kuna uwezekani mkubwa akaedeleza sera za kichaka hivyo kuendelea na vita ya Iraq na si ajabu kuanzisha vita nyingine na Iran ambayo itasababisha bei ya mafuta ianze kupanda tena na hivyo kuathiri uchumi siyo tu wa Marekani bali wa dunia nzima kwa miaka ijayo. Kama hamtaki kuliona hilo la uvamizi wa Iraq lilivyochangia kwa kiasi kikubwa katika ongezeko la bei ya mafuta na hatimaye kuanguka kwa uchumi wa dunia mtajiju.
 

nataka kusikitika kwa kusikia haya toka kwako Rev. Kishoka ibn Pampula, lakini siwezi kusikitika kwani ilikuwa predictable!! hivi ni kipi wewe unachokijua ambacho sisi wengine hatukijui? au ndio unataka hiyo siku ya J5 tarehe 11/5..uje na zile za "nilisema"?? acha kubahatisha bana, kila mtu anajua kuwa uchaguzi huu bado ni toss-up, unaweza kwenda either way...Lakini pia tunajua kuwa una lean Obama, fwact ambayo ina maana sana, lakini tunajua kuwa si guarantee ya kuwa atashinda!

sasa ikitokea, purukuchu, Obama kidedea, muheshimiwa wewe utatueleza nini?? kama umeacha uchungaji na kuwa mpiga ramli kama Ustaadhi Maalim Kisisina (marehemu) basi tueleze tujue moja!! ebo!!😀

mchana mwema...
 

You are dumber than I thought........
 
[QUOTE=Nyani McCain;310773]Ahahahahahahahahah.....haki ya Mungu hawa washabiki wa Obama sasa wanavuka mstari......

SANTA FE, New Mexico (CNN) – For The New Mexico Sun News it is either a major scoop or “Dewey Beats Truman” déjà vu 60 years later.
“Obama Wins!” is the headline of the edition on newsstands now, complete with “special collector’s edition” in red bold typeface.
The Sun News is a bi-monthly newspaper and its Oct 26-Nov 8 issue had to hit the streets, and the newsstands, before the election. So the editors decided to make a leap of faith and declare Democrat Barack Obama the winner.
In an article explaining their choice, the editors unabashedly wrote, “When it comes to calling the winner of a presidential election, everyone wants to be first. The New Mexico Sun News hereby claims that achievement.”[/QUOTE]


..hiyo hapo juu inatofauti gani na hii hapa chini!!??

Obama camp,

Uongo mbaya, with 8 days to go, natoa tamko langu la mwisho kutokana na hali halisi iliyoko sasa hivi.
John McCain atashinda uchaguzi kimizengwe! Hizo electoral college votes atakazoshinda itakuwa ni margin ndogo sana. Kutakuwa na voters and voting irregularity ya hali ya juu na wale ambao ndio tunaambiwa ndio council of America, watampa McCain uraisi kama fundisho la kujifanya yeye ni Maverick ili wamnusuru aibu na kumfanya McCain awe mtumwa wao na kibaraka.

So McCain wins but all the maverick talk, country first and straight talk express will be flushed into Potomac river. Kazi itakuwa kudindiana na Democrats ambao watakuwa wameshikilia Bunge zima!

Nyani Ngabu na The Truth hongereni!


...........zote ni vi-stori vya kishabiki shabiki tu!
 


bado, haitoshi!! hata mie jana nimeangalia meet the press...na kubwa alosema Makopo ni kukubali kuwa yeye na Kichaka wana Filosofi moja, zaidi ya hapo ilikuwa pumba tu!! Clinton alichaguliwa mwaka 1992 wakati house na senate zikiwa chini ya Democrats, kabla ya kupinduliwa na "contract for america" ya Newt Gingrich and Co mwaka 1994........story ndefu hizi, nitaishia hapo!!! La msingi ni kuwa unabahatisha, na hakuna unachojua ambacho sisi hatujui ambacho kinakupa wewe mamlaka ya kusema unavyosema.

Kishoka wapo Makopo voters ambao hawaendi kupiga kura kwasababu ya Palin na wengine wakiwa wameshakubali kuwa wameshindwa....assume hizo "variables" zina cancel, then tunarudi pale pale, kwamba uchaguzi una lean Obama!!!.
 
You are dumber than I thought........

Siwezi kukaa kupoteza muda wangu kubishana na mpumbavu wewe. Una history ambayo inajulikana hapa kwa kutumia matusi. Hizo bangi zako kavutie kwingine hapa si mahali pake.
 

..hiyo hapo juu inatofauti gani na hii hapa chini!!??

Obama camp,

Uongo mbaya, with 8 days to go, natoa tamko langu la mwisho kutokana na hali halisi iliyoko sasa hivi.
John McCain atashinda uchaguzi kimizengwe! Hizo electoral college votes atakazoshinda itakuwa ni margin ndogo sana. Kutakuwa na voters and voting irregularity ya hali ya juu na wale ambao ndio tunaambiwa ndio council of America, watampa McCain uraisi kama fundisho la kujifanya yeye ni Maverick ili wamnusuru aibu na kumfanya McCain awe mtumwa wao na kibaraka.

So McCain wins but all the maverick talk, country first and straight talk express will be flushed into Potomac river. Kazi itakuwa kudindiana na Democrats ambao watakuwa wameshikilia Bunge zima!

Nyani Ngabu na The Truth hongereni!

...........zote ni vi-stori vya kishabiki shabiki tu![/quote]

Wewe dogo sikiliza...tofauti ni kwamba moja imeandikwa kwenye gazeti ambalo lina risk credibility yake na ingine imeandikwa na huyu mchungaji wetu na itaishia hapa hapa JF.....kama hujaelewa niambie niandike kwa lugha rahisi utakayoielewa...sawa dogo?
 

Pathetic Nyani Tumbili makopo....8 yrs za Bush mccain ni disaster na kama Gore angeshinda 2000 dunia leo ingekuwa tofauti(for the better ofcourse),mnaongea 4000 americans soldier waliokufa Iraq lakini mnasahau more than half a million iraqis death bila kusahau Iraqis almost a milion sasa ni refugees anyway nilisahau kwa Republican binadamu ni Americans tuu ooops (whiteyyy),Economy in the toilet sasa kutokana na stupid policy za republicans lakini bado huoni kama ni pigo kwa mamilioni,nafikiri wewe ndio unatia kinyaa na facts kwamba Republicans dont have any interest kwa mtu kama wewe may be because of ur color or income lakini wewe huoni na umebaki kuwa cheerleader wa mafashist,na seems huna idea nini democrats/Liberal wamefanya katika nchi hii ndio maana unakuja humu kuonyesha jinsi ulivyo mtupu,lakini dont worry we'll fight for you by electing Obama and you stand to do better under Obama...say President Barack hussein Obama X 3 and get used to it!
 

...kama hukuona pigo lolote for the last 8 yrs of BushMcCainChenney mungu akubaliki!
 

Wewe dogo sikiliza...tofauti ni kwamba moja imeandikwa kwenye gazeti ambalo lina risk credibility yake na ingine imeandikwa na huyu mchungaji wetu na itaishia hapa hapa JF.....kama hujaelewa niambie niandike kwa lugha rahisi utakayoielewa...sawa dogo?[/QUOTE]

...wewe ndio hujaelewa na ujuaji wako wa bila kujua!! kwa taarifa tu "bwiko" Nyani McCain, mie naongelea CONTENT na upuuzi wa yaliyoandikwa na si aliyeandika!! upo hapo?

naamini umejiona jinsi ulivyo bwege!!
 

...wewe ndio hujaelewa na ujuaji wako wa bila kujua!! kwa taarifa tu "bwiko" Nyani McCain, mie naongelea CONTENT na upuuzi wa yaliyoandikwa na si aliyeandika!! upo hapo?

naamini umejiona jinsi ulivyo bwege!![/quote]

Hujui hata kuandika ukaeleweka....nyambaaaaf kabisa wewe. Hivi hujui kwamba content ndio zinaleta credibility? yaaani wewe na Zuzu Ataka Kusema ni mtu na pacha wake.....rudi ukafunge vidonda huko....
 
...wewe ndio hujaelewa na ujuaji wako wa bila kujua!! kwa taarifa tu "bwiko" Nyani McCain, mie naongelea CONTENT na upuuzi wa yaliyoandikwa na si aliyeandika!! upo hapo?

naamini umejiona jinsi ulivyo bwege!!

Hujui hata kuandika ukaeleweka....nyambaaaaf kabisa wewe. Hivi hujui kwamba content ndio zinaleta credibility? yaaani wewe na Zuzu Ataka Kusema ni mtu na pacha wake.....rudi ukafunge vidonda huko....[/QUOTE]

again, mie siongelei credibility wala nani alieandika!!! acha kujipendekeza kwangu...mie situmii hiyo kitu.
 
Kuna habari zimejili zikidai kuwa kulikuwa na mpango wa kumuua Barack Obama. Na watu wengi wamekuwa na wasiwasi kuhusu usalama wa huyu mwenzetu ambaye inaonekana kuwa atamshinda mshindani wake wa Republican John McCain. Kwa habari zaidi soma hapa chini.

ATF disrupts skinhead plot to assassinate Obama
WASHINGTON – Federal agents have broken up a plot to assassinate Democratic presidential candidate Barack Obama and shoot or decapitate 102 black people in a Tennessee murder spree, the ATF said Monday.

In court records unsealed Monday, federal agents said they disrupted plans to rob a gun store and target a predominantly African-American high school by two neo-Nazi skinheads. Agents said the skinheads did not identify the school by name.

Jim Cavanaugh, special agent in charge of the Nashville field office for the Bureau of Alcohol, Tobacco, Firearms and Explosives, said the two men planned to shoot 88 black people and decapitate another 14. The numbers 88 and 14 are symbolic in the white supremacist community.

The men also sought to go on a national killing spree, with Obama as its final target, Cavanaugh told The Associated Press.

"They said that would be their last, final act — that they would attempt to kill Sen. Obama," Cavanaugh said. "They didn't believe they would be able to do it, but that they would get killed trying."

An Obama spokeswoman traveling with the senator in Pennsylvania had no immediate comment.

The men, Daniel Cowart, 20, of Bells, Tenn., and Paul Schlesselman 18, of West Helena, Ark., are being held without bond. Agents seized a rifle, a sawed-off shotgun and three pistols from the men when they were arrested. Authorities alleged the two men were preparing to break into a gun shop to steal more.

Attorney Joe Byrd, who has been hired to represent Cowart, did not immediately return a call seeking comment Monday.

Cowart and Schlesselman are charged with possessing an unregistered firearm, conspiring to steal firearms from a federally licensed gun dealer, and threatening a candidate for president.

The investigation is continuing, and more charges are possible, Cavanaugh said.

Source: AP
 
Haya mengine hayo ya kibaguzi, tukiwaambia Kibabu na Kisura wamechochea rangi mnakataa!

 
Another question to Obantu supporters,

Where is Obantu going to get $1,000,000,000,000 to fund all his campaign promises? Keep in mind the trillion dollar is in addition to current budget and huge deficit that America is currently facing (thanks to Bush and the Democratic congress). Obantu will either have to raise everyone's taxes not just the people making over $250,000 or borrow more money from the Chinese or print more money and de-value the US dollar. Or maybe Obantu is making empty campaign promises. He was lying to you, his supporters.
 

Nilikuuliza swali kuhusu rates za kodi hapo juu mbona hujanijibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…