US Election Coverage 2008

I love it!!! Kumbe hizi polls zinaumiza kichwa! Mmh! Mpaka USA kuna pollsters with interest? Interesting:

Yangu macho.....

Naona sasa unaanza kutafuta sababu za kuku-comfort maana mambo upande wenu hayaendi vizuri......yaani number 1 wenu anamrushia madongo namba 2 wetu....bwahahahahahahahaha......talk about being discombobulated
 
Naona sasa unaanza kutafuta sababu za kuku-comfort maana mambo upande wenu hayaendi vizuri......yaani number 1 wenu anamrushia madongo namba 2 wetu....bwahahahahahahahaha......talk about being discombobulated

Tatizo Obama anamrushia madongo McCain, lakini kwa vile Babu yako ni kwisha kazi, akina Schmidt wanakimbia kusema eti amem-offend Pitbull wenu. Lakini madongo Obama ameyaweza:


Hahahaaaaaa! Finally journalists wanawauliza the right questions hawa rethugs! Jaluo kawaweza kawafanya GOPers to become the party of whiners!! Squeal squeal squeal!! Pig with lipstick!!!! Hohohohooooooo
 
Susuviri,

Hawa jamaa wa Swift boat waangalie kwa makini, methali na nahau zitageuzwa kuwa kashfa!
 


We Mjukuu wake Nyani na mwanafunzi wake Rove: hiyo link mbona inamtetea sana Biden na kuonyesha kwamba GOPers mmebaki kuwa squeal squeal squeal whiners!???
Mwache Biden afanye kazi yake, hamna gaffe hapa! Usitafute story ambayo inakusuta, kaka! Tafuta zile zilizoandikwa na Fixed News maana they repeat the McCain-Palin lies as if tehy were facts. hahahaaa
 
Oh Obama atashinda....I give up.....

YOur sarcasm will not save your Babu! kwikwikwiii! Pitbull with lipstick (usiniambie it is sexist nyie GOPers ndo mlikuwa mnamfagilia na ye mwenyewe ndo alianza kujifananisha na mnyama!)
 
YOur sarcasm will not save your Babu! kwikwikwiii! Pitbull with lipstick (usiniambie it is sexist nyie GOPers ndo mlikuwa mnamfagilia na ye mwenyewe ndo alianza kujifananisha na mnyama!)

We were wrong and we're wrong....
 

Na huyo Obama aliyekuwa anajifanya yuko above the tray sasa amegeuka na kuwa attack dog na kuanza kumshambulia number 2 wetu....this unheard of...you guys must be desperate.

Halafu campaign yenu mbona inaondoa paid staff Georgia na kuwapeleka Ohio na kwingineko...? Reality imeanza ku-set in eeeh...? Lol

Kama Obama akishinda Georgia nitahama....
 

Unajua mjukuu wake McCain, a smart poltiician and smart man ni yule ambaye anakubali kwamba kila siku anajifunza something. Sasa kama internal polls zimeonyesh ani kheri aconcentrate on Ohio where his chances are bigger than Georgia kuna ubaya gani? Au labda anaamini Georgia is safe, kwikwikwi!
Lakini kushinda Georgia itakuwa kazi kubwa but not impossible. Remember Iowa!!
 

akishinda Georgia nitahama.............nitahamia Jackson, Mississippi............
 
akishinda Georgia nitahama.............nitahamia Jackson, Mississippi............

Huko ndiko kuna ma rednecks original, wanawachinja weusi mpaka leo ukimwangalia mwanamke wa kizungu. Backwaters of America! nenda tu mjukuu, ukajionee......
 
I think frustration has set in at the Obama bin Biden camp. Obama has reduced himself to taking jabs at people like Karl Rove. At this point he should be focusing on McCain not even Palin. Since Sarah Palin's speech, Obama has been like an angry bull going after and attacking anyone in front of him. That's no way to look or act presidential, he has reduced himself tremendeously.
 
He made a big mistake of selecting Biden as VP instead of Hillary. I am not sure if he'll be able to recover from that mistake. The debates are coming on September 26 and October 2nd, but during the last 2 elections in 2000 and 2004 Al Gore and John Kerry as well as their VPs won all the debates but we all know what happened during those elections. It is not over until the old lady sing, but it does not look good at all 🙁
 

I disagree with you on the VP debates. Dick Cheney won both times. Lieberman was just there with his usual smiles and poor John Edwards didn't even know what he was talking about....
 
Biden: Hillary a Better Pick Than Me

September 10, 2008 5:17 PM

ABC News' Matthew Jaffe reports: Sen. Barack Obama's, D-Ill., vice presidential nominee, Sen. Joe Biden, D-Del., Wednesday said that Sen. Hillary Clinton, D-N.Y., might have been a better pick for the position than him.

At a rally in Nashua, N.H., a man in the audience told Biden how glad he was that Obama picked him over Hillary, "not because she's a woman, but because, look at the things she did in the past."

"Make no mistake about this," Biden responded. "Hillary Clinton is as qualified or more qualified than I am to be vice president of the United States of America. Let's get that straight. She's a truly close personal friend, she is qualified to be president of the United States of America, she's easily qualified to be vice president of the United States of America, and quite frankly, it might have been a better pick than me. But she's first rate, I mean that sincerely, she's first rate, so let's get that straight."

Spokesman Ben Porritt offered this response from the McCain camp: "Barack Obama's most important decision of this election, and Biden -- the candidate he selects -- suggests, himself, that he wasn't the right man for the job, and that Hillary Clinton would have been a better choice. Biden certainly has a credible viewpoint on this."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…