US Election Coverage 2008

US Election Coverage 2008

Kwa kusema kweli mi nafurahi Obama anapata challenge kubwa katika debate. What doesn't kill you makes you strong! This debate made Obama stronger kwa sababu recently alikuwa anaanza kuonekana kama 'wimp' ambaye anawaogopa akina Clinton! I think that the fact that for the second part of the CNN debate, ma man Barack aliweza kuleta humour several times came down very well! I mean alijoke about Bill being 'Black' kwa kusema lazima acheki dancing yake! I like that! Maswali ya kipuuzi unayajibu with humour. Lakini HIllary aliendelea kuoneana kama robot.
Cha ajabu also Hillary alizomewa! Sijawahi kuona! That is bad news for Hillary!

Hiyo ya kuzomewa mbona ilitegemewa....that was a partisan crowd anyways...and it doesn't reflect or represent everything....the sponsors of the debate were the CBC...the majority in the audience were blacks...so what did you expect? ...and even still Hillary received a lot of applause
 
thanks Icadon,naona Shirley Franklin kamshushua kweli Bill! Yaani naona ninakosa mambo mengi maana time difference inatuumiza kama debate hii ya leo ya CNN imetufanye tuamke 4 am hapa Bongo kufaidi debate.
Kuhusu west, mi nadhani Obama will continue to do well, kwa sababu leo inaonekana aliweza kuongea vizuri alipoulizwa kuhusu race, alisema he is for issues that cuts across.
BIckering ya Clinton na Obama can go anyway now, but let me tell you, I had an epiphany and I feel that the brother has exceptional advisors, who are good strategists.
Obama can afford to be confrontational at this stage and he actually had to be because:
- he was irritating young AA who felt that he was taking on the servitude attitude with the Clintons. Remember during slavery and later during the struggle, a white kid anamtukana a Black grown man na he had to say 'Yessir!" So many AAs (especially young) feel that they have earned the right at the table and don't need to be 'nice and civil' while whites get nasty.
- South Carolina is very important for Obama campaign and he needs a win in order to get momentum going to Super Tuesday, so by 'keeping it real with the brothers and sisters' he is winning them over. He can afford to be confrontational now as he will get more support NOW.
- Hillary may just as well loose from this bickering and in the second part of the debate, Obama made a point that he was under attack 'because I am ahead'. And he was full of humour and very generous hivyo kufuta impressions zote negative.

CNN's poll of undecided Democrat voters who were monitoring the debate shows that a large number said that Edwards won the debate by staying above petty politics but more than half of them said that they will vote for Obama because he is electable and represents more closely what they beleive in.

Sasa inakuwaje Obama kashindwa NH na NV wakati kura za maoni zilionyehsa kuwa anaongoza kwa duble digits? Hata ile union iliyom-endorse Obama haikusaidia kuleta ushindi which supports the theory that endorsements don't bring votes
 
Nyani Ngabu, first let's get things straight,
Obama won MORE delegates in Nevada and equal delegates in New Hampshire - he lost by less than double digit margins. In NH it was 3% points in NV 6% points. Overall Obama has more delegates than Hillary (38 vs 37)
A month ago he was double digits behind Hillary.
Obama campaign is doing an excellent job to shore up support as it is his first run for presidentcy. Hillary has the entire Clinton machinery behind her, set up decades ago.
Saying that the crowd was partisan because they were Black is offending to every Black! This had nothing to do with race! She's a democrat. They were Democrat congressionals. And she brags with hubby Bill that they have so much endorsement from Black 'leaders' so where was that support?
Sikatai kwamba HIllary alipewa applause but sijawahi kuona debate ambapo front runner anazomewa NEVER!
It is bad news.
 
Nyani Ngabu sielewi unawezaje kumshabikia Hillary! Seriously? Au ndiyo hiyo 'upande wa 2 wa shilingi?"
Hillary kesi yangu si kwamba ni white or that she's a woman, but that she's a Clinton. Yeye na mume wake as a team have a record, also she has a record for being divisive.
I also feel that riding on the coattails of your hubby is wrong! You actually do not prove that you are a strong independent woman but dependant on your hubby. Kheri hata Condi Rice (Republican) au Madeleine Albright (Democrat) wangekuwa candidate! That would be interesting but not Hillary! That 35 years expereince anayozungumzia ni ya kuwa First Lady of the Arkansas state and First Lady of the country. But that means being a cherry on the cake not the Chef!
Bill looks like he is running for his third term, which I am sorry I have enough. I have enough of his cronies akina Andy Young who come to Tanzania to make SUllivan Summit na to rob us blind!
No more Clintons! Wakapumzike, mama aendele na usemata, mzee aendeleze library yake - Good night and Good luck Hilly-Billy!
 
Mzee unasahau kwamba huyu Hillary yuko kwenye senate 6 yrs now.. na amekuwa active senator!
Tuache upendeleo na dharau.. Hillary ana-make sense kwenye hoja zake kuliko Obama!
Wengi tunamshabikia Obama sababu ni First-serious Black Presidential candidate.. lakini si kwa mpangilio wa hoja zake!
Natabiri majimbo mawili zaidi kwa Obama.. South Carolina na Illinois.. yaliyobakia feb 5 atanyoosha mikono na story itabadilika.. kama pundits wa kimarekani walivyobadili story baada ya matokeo ya New Hampshire!
 
I loved the wal-mart attack against Hillary...........she went deaf for a minute, it was like a paralyzing "shock and awe" from nowhere in the middle of a quite night!!!.

Halafu oooooooh...........ngoja nichicheme!!! Go Obama.
 
Mzee unasahau kwamba huyu Hillary yuko kwenye senate 6 yrs now.. na amekuwa active senator!
Tuache upendeleo na dharau.. Hillary ana-make sense kwenye hoja zake kuliko Obama!
Wengi tunamshabikia Obama sababu ni First-serious Black Presidential candidate.. lakini si kwa mpangilio wa hoja zake!
Natabiri majimbo mawili zaidi kwa Obama.. South Carolina na Illinois.. yaliyobakia feb 5 atanyoosha mikono na story itabadilika.. kama pundits wa kimarekani walivyobadili story baada ya matokeo ya New Hampshire!

Brutus, mimi simdharau Hillary, lakini hiyo ya kusema 35 years of experience kachemka.
She has only 6 years experience in elected office while Obama has 11 years. Hiyo ya kuwa First Lady asingezihesabu!
Kuhusu kupangilia hoja, I disagree but it is subjective.
Mimi ninachosema ni kwamba Hillary is hostage to special interest groups and lobbyists, and she does a lot of mudslinging.
FYI Brutus, HIlly-Billy or BIllary wamepewa onyo na several prominent Black leaders waache kumpakazia Obama. The Clintons cannot afford to loose the Black votes.
Hiyo kuhusu Super tuesday, mi sitaki kutabiri maana it will be a close race, sivyo kama unavyofikiri.
Also naomba ujibu hoja hiyo ya delegate maana umei-sidestep because remember, hapa kuna strategy nyingi za kuconsider siyo popular vote only!
 
Nyani Ngabu, first let's get things straight,
Obama won MORE delegates in Nevada and equal delegates in New Hampshire - he lost by less than double digit margins. In NH it was 3% points in NV 6% points. Overall Obama has more delegates than Hillary (38 vs 37)
A month ago he was double digits behind Hillary.
Obama campaign is doing an excellent job to shore up support as it is his first run for presidentcy. Hillary has the entire Clinton machinery behind her, set up decades ago.
Saying that the crowd was partisan because they were Black is offending to every Black! This had nothing to do with race! She's a democrat. They were Democrat congressionals. And she brags with hubby Bill that they have so much endorsement from Black 'leaders' so where was that support?
Sikatai kwamba HIllary alipewa applause but sijawahi kuona debate ambapo front runner anazomewa NEVER!
It is bad news.

It is a fact that the crowd was partisan and yes it has to do with race no matter how you spin it to fit whatever argument you are making. Race is an issue in this campaign and you can't deny or delude yourself that it isn't. I live here in ATL (The Mecca of Black America). One needs not to be a pollster to see why African Americans are now solidly behind Obama. I talk to people everday. I listen to (black) radio talk shows everyday. At this moment I'm listening to the people's attorney Warren Balentine, then Rev. Sharpton will come on and then Michael Baisden....people do call in and I listen to their comments. A very minute number of people base their support for him on the issues.

Na kuhusu delegates, in case you didn't know Hillary leads Obama by almost a half (this includes the already commited and the ones allocated by their wins in the primaries and caucuses) and come Super Tuesday she will be far ahead and the whole thing won't go to the convention.

Na kuhusu kuzomewa where have you been? Umeanza lini kufuatilia siasa za Marekani hujui kwamba watu including frontrunners huwa wanazomewa. It comes with the territory and last night was Barack's territory.
 
..i have watched the debate too. I think mapenzi aside John Edwards won by staying on the message.

..Hillary was booed one time. But she was also cheared several times. Barack was cheered and not booed in the entire debate.

..Obama is a grand vision candidate, while Hillary is a details and policy candidate.

..Yes, the stuff Obama and Hillary threw at each other is gonna be picked up by GOP.

..I have infact read Karl Rove mentioning Obama voting "present" in Ilinois senate. More than 100 times!!

..Wal-mart is anti-union, and it is bad for a democrat to be associated with. But Republicans are anti-unions too, so I dont think they will come out and attack Hillary for association with wal-mart.

..I dont think GOP will spare Obama for his association with Rezko, someone Hillary refered to as a slumlord. I checked and Rezko was recently charged with fraud and other crimes.

..This thing is leaning towards being about RACE. Why are all these Black elected officials and leaders coming out to speak for Obama. If Clinton said something about Obama why not leave it to Obama to deal with?

..If it is not about RACE let me hear from Al-Sharpton or Jesse Jackson criticizing Obama for what he said about Ronald Reagan. As far as I am concerned Reagan was famous for demonizing the Black community in the USA.

..I think it is wrong to deminish Hillary as just a spouse of former governor and president. As she said b4 she was not just sitting at home "baking cookies!"

..I am very worried about Obama. I hope....I hope he doesnt come out South Carolina as another Black candidate.
 
JokaKuu,
when you have Jesse Jackson's endorsement and possibly Al Sharpton's...and you are black...then the perception will be that you are a black candidate.
 
..i have watched the debate too. I think mapenzi aside John Edwards won by staying on the message.

..Hillary was booed one time. But she was also cheared several times. Barack was cheered and not booed in the entire debate.

..Obama is a grand vision candidate, while Hillary is a details and policy candidate.

..Yes, the stuff Obama and Hillary threw at each other is gonna be picked up by GOP.

..I have infact read Karl Rove mentioning Obama voting "present" in Ilinois senate. More than 100 times!!

..Wal-mart is anti-union, and it is bad for a democrat to be associated with. But Republicans are anti-unions too, so I dont think they will come out and attack Hillary for association with wal-mart.

..I dont think GOP will spare Obama for his association with Rezko, someone Hillary refered to as a slumlord. I checked and Rezko was recently charged with fraud and other crimes.

..This thing is leaning towards being about RACE. Why are all these Black elected officials and leaders coming out to speak for Obama. If Clinton said something about Obama why not leave it to Obama to deal with?

..If it is not about RACE let me hear from Al-Sharpton or Jesse Jackson criticizing Obama for what he said about Ronald Reagan. As far as I am concerned Reagan was famous for demonizing the Black community in the USA.

..I think it is wrong to deminish Hillary as just a spouse of former governor and president. As she said b4 she was not just sitting at home "baking cookies!"

..I am very worried about Obama. I hope....I hope he doesnt come out South Carolina as another Black candidate.


It couldnt be said better than this! I always like and appreciate objective analysis ya mambo.

Hivi hakuna uwezekano wa kumsupport BO na kujenga hoja dhidi ya Clinton bila hizi negative politics? Maana mi naona hazimsaidi BO kabisa ni media tuu inayotudanganya hapa...

BO is a great candidate ila mi naona hizi media "zinazomsupport" they have a hidden agenda, wasije itwa kwamba ni ma-racist, kwamba when opportunity presented itself to have a black president, the media blew it! but deep down I guess it will be consigned to the history that another popular and charismatic black candidate who tried to run for the office.......na visingizio lukuki!
 
Nyani Ngabu,

..Yule Congressman aliyesema ameamua kumu-endorse Obama kama adhabu kwa kina Clinton kuhusu MLK vs LBJ comments wewe uliionaje?

..Ronald Reagan ni mtu mbaya sana kwa watu weusi. aliwadhalilisha sana ndugu zetu hawa. walikuja kupumua wakati wa Clinton.

..Kinachonishangaza ni Black Americans wamekaa kimya kuhusu kauli ya Obama. Then ppl say this is not about RACE/BLACK CANDIDATE?!!

..Nampenda Obama, but I wish kungekuwa hakuna hiyo caucas ya South Carolina.
 
..i have watched the debate too. I think mapenzi aside John Edwards won by staying on the message.

..Hillary was booed one time. But she was also cheared several times. Barack was cheered and not booed in the entire debate.

..Obama is a grand vision candidate, while Hillary is a details and policy candidate.

..Yes, the stuff Obama and Hillary threw at each other is gonna be picked up by GOP.

..I have infact read Karl Rove mentioning Obama voting "present" in Ilinois senate. More than 100 times!!

..Wal-mart is anti-union, and it is bad for a democrat to be associated with. But Republicans are anti-unions too, so I dont think they will come out and attack Hillary for association with wal-mart.

..I dont think GOP will spare Obama for his association with Rezko, someone Hillary refered to as a slumlord. I checked and Rezko was recently charged with fraud and other crimes.

..This thing is leaning towards being about RACE. Why are all these Black elected officials and leaders coming out to speak for Obama. If Clinton said something about Obama why not leave it to Obama to deal with?
..If it is not about RACE let me hear from Al-Sharpton or Jesse Jackson criticizing Obama for what he said about Ronald Reagan. As far as I am concerned Reagan was famous for demonizing the Black community in the USA.

..I think it is wrong to deminish Hillary as just a spouse of former governor and president. As she said b4 she was not just sitting at home "baking cookies!"

..I am very worried about Obama. I hope....I hope he doesnt come out South Carolina as another Black candidate.
Actually Obama amepigwa madongo mengi na black leaders kuliko hata Clinton. Obama amekuwa criticized na Andrew Young several times pamoja na kuitwa kuwa sio black enough, akaja Bob Johnson akampiga madongo tena baada ya hapo akaja kile kibabu Charles Rangel ambaye alifikia kumwita Obama Stupid na dumb. Hiyo assertion yako kuwa Obama anasaidiwa na viongozi wengi weusi sio kweli.
 
Geeque,

..sasa Hillary amepigwa mawe na weupe na wanawake wangapi?

..ninachojaribu kueleza hapa ni kwamba hawa weusi kuamua kumsemea Obama.

..kama Clinton akimu-attack Obama basi wacha Obama ajitetee mwenyewe.

..je, ulisikia mweusi yeyote akimtetea Clinton kuhusu mchango wa Lyndon Johnson[LBJ] ktk civil rights?

..hivi hao weusi hawajui kwamba Democrats wana-loose South tangu LBJ alipo-support civil rights?

NB:

Naomba tu ifahamike kwamba Democrats kilikuwa chama cha Maracist wa Kusini ya Marekani. Tangu Raisi Lyndon Johnson aunge mkono civil rights basi Democrats wamekuwa na wakati mgumu sana kushinda south.

Kwangu mimi kampeni hizi ziliingia sumu ya UBAGUZI/RACE pale ilipobidi Mzee Clinton azunguke kujieleza[damage control] kwa Black Americans pale Hillary aliposema kwamba LBJ kama Raisi ana nafasi na umuhimu ktk civil rights.

Sasa hao waliomshauri Obama amu-attack Hillary kuhusu LBJ wana nia gani na Obama? Hivi wanamsaidia kweli?
 
Geeque,

..sasa Hillary amepigwa mawe na weupe na wanawake wangapi?

..ninachojaribu kueleza hapa ni kwamba hawa weusi kuamua kumsemea Obama.

..kama Clinton akimu-attack Obama basi wacha Obama ajitetee mwenyewe.

..je, ulisikia mweusi yeyote akimtetea Clinton kuhusu mchango wa Lyndon Johnson[LBJ] ktk civil rights?

..hivi hao weusi hawajui kwamba Democrats wana-loose South tangu LBJ alipo-support civil rights?

NB:

Naomba tu ifahamike kwamba Democrats kilikuwa chama cha Maracist wa Kusini ya Marekani. Tangu Raisi Lyndon Johnson aunge mkono civil rights basi Democrats wamekuwa na wakati mgumu sana kushinda south.

Kwangu mimi kampeni hizi ziliingia sumu ya UBAGUZI/RACE pale ilipobidi Mzee Clinton azunguke kujieleza[damage control] kwa Black Americans pale Hillary aliposema kwamba LBJ kama Raisi ana nafasi na umuhimu ktk civil rights.

Sasa hao waliomshauri Obama amu-attack Hillary kuhusu LBJ wana nia gani na Obama? Hivi wanamsaidia kweli?

Ndio maana wakaamua kuwa na truce kwenye ile issue inayohusiana na LBJ na MLK kwa sababu haikuwa inakisaidia Democratic Party. Siku zote issues zinazohusiana na Civil Rights huwa zinaibua hisia nyingi sana kutoka kwa blacks kulinganisha na whites. Na ndio maana uliona weusi wengi waliliongelea lile suala kulinganisha na whites.

Ile comment ya Hillary kuhusiana na LBJ ni kweli ilikuwa kama hai-acknowledge grassroots efforts za MLK kuhusiana na civil rights. Inawezekana kweli Hillary Clinton hakuumanisha hivyo lakini kwa wengi ilionekana kama vile alikuwa anampa credits zaidi LBJ kuhusiana na civil rights kuliko hata MLK. Yes it takes a President to sign a bill into a law lakini bila ya constant pressure kutoka kwa MLK na viongozi wengine ile bill isingekuwa signed.
 
Nyani Ngabu,

..Yule Congressman aliyesema ameamua kumu-endorse Obama kama adhabu kwa kina Clinton kuhusu MLK vs LBJ comments wewe uliionaje?

..Ronald Reagan ni mtu mbaya sana kwa watu weusi. aliwadhalilisha sana ndugu zetu hawa. walikuja kupumua wakati wa Clinton.

..Kinachonishangaza ni Black Americans wamekaa kimya kuhusu kauli ya Obama. Then ppl say this is not about RACE/BLACK CANDIDATE?!!

..Nampenda Obama, but I wish kungekuwa hakuna hiyo caucas ya South Carolina.

Hata mimi nampenda Obama. Moyo wangu unaniambia Obama lakini kichwa changu kinaniambia no way, he can't win and I stand by these words.

Inabidi awe mwangalifu sana ni issue gani azizungumzie na kuzipa uzito na nani wa kujihusisha naye. Sasa hivi kuna walakini kuhusu pastor wake (wa kanisa analosali huko Illinois). Huyo pastor inavyosemekana ni mshikaji wa Louis Farakkahan. Sasa huyu pamoja na Jesse na Sharpton ni watu controversila na polarizing sana. Huwezi kushinda uchaguzi wa Marekani na hawa watu. No way
 
Nyani Ngabu,

..Yule Congressman aliyesema ameamua kumu-endorse Obama kama adhabu kwa kina Clinton kuhusu MLK vs LBJ comments wewe uliionaje?

..Ronald Reagan ni mtu mbaya sana kwa watu weusi. aliwadhalilisha sana ndugu zetu hawa. walikuja kupumua wakati wa Clinton.

..Kinachonishangaza ni Black Americans wamekaa kimya kuhusu kauli ya Obama. Then ppl say this is not about RACE/BLACK CANDIDATE?!!

..Nampenda Obama, but I wish kungekuwa hakuna hiyo caucas ya South Carolina.

Mzee,
Ukisoma tena juu ya issue ya Obama kuji-compare na Reagan utaelewa kwanini hakuna outcry toka kwa watu weusi!!! ilikuwa ni juu ya political transformations, kuvuta watu toka different political spectrum (independent, republican na dems).....na sio u-partisan kama wa Bush, Clinton au Nixon. Obama haku-compare policies zake na zile za Reagan na ndio maana hakuwa kakosea, ila alikuwa anatembea kwenye kam-stari kembamba kwelikweli........
Ndio maana wakina sisi tunaipenda campaign yake kwani ipo technical na sio old fashion ki-beltwayz, yaani haogopi kusema vitu ambavyo ni controversial lakini ni vya kweli.......Reagan alikuwa ni UNITER na vitu vingi vizuri vilifanyika wakati wa utawala wake, ikiwa ni pamoja na infamous and disastrous Boston's "BIG DIG," kama zawadi kwa Thomas "Tipper" O'neal(D-Mass and Spiker at the time) for a job well done.!!!!!. Go Obama.
 
Actually Obama amepigwa madongo mengi na black leaders kuliko hata Clinton. Obama amekuwa criticized na Andrew Young several times pamoja na kuitwa kuwa sio black enough, akaja Bob Johnson akampiga madongo tena baada ya hapo akaja kile kibabu Charles Rangel ambaye alifikia kumwita Obama Stupid na dumb. Hiyo assertion yako kuwa Obama anasaidiwa na viongozi wengi weusi sio kweli.

GQ,
Madongo ya Andy Young ukiachilia mbali mambo mengine, kumbuka wal-mart connection hapo.......hillary alishwahi kuwa kwenye board kama vile andy young!!!!!! UFISADI kama wa bongo, matumbo kwanza huku wakijibanza kwenye civil right mvt. Dizaini ni kina Clintons waliompigia chapuo Young kulamba dume wal-mart kabla ya kulikoroga.
 
Back
Top Bottom