Rev.Kishoka said:
Just imagine a funny pungent smell throws West wing into chaos with gas mask, come to find that Veep just changed the baby's diper!
Hivi watampa hako katoto Agent Hanna Montana kumlinda akiwa kwenye West Wing daycare?
Mama anatumwa trip London, Madrid, Jerusalem na Istanbul, detail ina involve baby food and dipers!
Ama kweli Grandpa John kazeeka, is it the right choice of poor judgement?
Mjukuu tueleze...
Rev.Kishoka,
..orodha ya viongozi waliokuwa na watoto wakiwa madarakani ni ndefu mno.
..nina hakika Nyerere,Kaunda,and Samora, wote walipata watoto wakiwa Ikulu. JFK naye nadhani alipata wakwake Ikulu.Tony Blair majuzi nao walibarikiwa mtoto wakiwa # 10 downing. sina uhakika kuhusu Benazhir Bhuto na Indira Gandhi.
YNIM,Nyani McCain,
..mashaka yangu kuhusu Sarah Palin ni uwezo wake intellectually.
..kuhusu experience itabidi tumpe credit tu kwasababu McCain,Obama,na Biden, wote hawana Executive Experience.
..McCain,Obama,Biden, hawaja-manage chombo chochote kile in the all the decades they have been in public office.
..tunaweza kudai kwamba Mama Palin ameongoza ka-mji kadogo kama Mayor, au jimbo dogo Alaska, je hizo districts za kina McCain,Obama,na Biden, zina ukubwa na population, kiasi gani?
..kuna Republican governors wenye resume nzuri na nzito kuliko Sarah Palin. sijui kwanini McCain akawaacha hao aka-gamble na huyu mama.
..vilevile hii ticket ya Republican inaonekana iko weak sana intellectually. both McCain and Palin do not come across as policy wonks. naamini Uraisi na Umakamu wa Marekani unahitaji watu wa namna hiyo.
..i dont know how Sarah Palin will stand up to Joe Biden during the debate? kitakachomuokoa ni kwamba wana debate mara moja tu. au labda Biden atatoa kauli ya ajabu itakayowachukiza wananchi. vinginevyo nina wasiwasi Sarah Palin ataonekana kama a college intern.
NB:
..kwa upande mwingine naona watu wamepandwa jazba kwelikweli. majadiliano yamegeuka kuwa kama mibashano ktk kilabu cha pombe. labda ndiyo weekend hiyo.
..pia msi-quote watu kama Jim Clayburn. huyu jamaa ni biased na racist.