US Election Coverage 2008


Sema wewe bwana maana wengine tukisema tunaambiwa hatuna akili...
 

...who cares about useless Buchanan said? hes just mr.irrelevant!
 

...endeleeni kutafuta na mengine yapo mengi tuu!
 


..nafikiri kuna mtu anaiba password ya FMES kuandika haya mambo,huyu sio FMES tunayemjua for 20 yrs!
 
Susu asante kwa nondo ambazo to some extent hazina rhetorics za wengi....Unajua unayoyaongea ni kweli tupu. Division iliyomo kwenye D party ni kubwa mno. na kila side ya kina Kerry na Clinton inataka ku call shots na huu uchaguzi Dems wakilose, sidhani kama chama kitakuja kuungana in the near future.... Unfortunately Dems walipata divisive candidates, both HRC na BO..ofcourse BO angekuwa Mzungu tusingekuwa tunaongelea nomination anymore...angekuwa anasubiri kuapishwa.

Naamini BO atapata nomination, but reality check ndo hiyo..na kama unajua..in politics its not about who is good all bad..its all about interests....Dems have a lot to learn from Republicans....when it comes to serious business....wako united sana...na kama Makeni amekuwa mkweli from point one kuhusu Iraq..whether you like it or not....hajawahi kubadilika kutokana na siasa...tofauti na dems. huwezi kuwategemea independents hata siku moja..wanavote kutokana na mood...Dems ought to sit back and do their mathematics..siasa za populism hazilipi.

Clinton is past time, halina ubishi hilo..lakini ni nani ambaye ana influence kama yeye, ambaye anaweza kuiunganisha tena D party? Dont say Pelosi please..Ndugu yangu in US ukishalose uchaguzi you are out of business..Gore na Kerry sasa wangekuwa kingmakers...but ndo hivyo..mwache Clinton aondoke na baby boom..muanze kuweka strategies..Itasikitisha sana Dems wakilose huu uchaguzi....Dunia haitawaelewa...Tuombe heri..
 
Haya superdelegate mwingine huyu hapa hii ni kwa ajili ya mchana:

Joka Kuu, Nyani na Hillary camp naonaleo mtamsema sana Reverend Wright lakini you have to understand Wright does not speak for Obama and never has!!! And Americans wameanza kuamka na kuona upuuzi unaoendelea kwa kujaribu kuleta non issues as if they were issues.
Mi niliwaambia Obama Nation, RELAX, this skinny kid with a funny name came from far and has not made it this far by coincidence.
 
Masanja: mimi sidhani kama Clinton atatupwa even after Obama gets the nomination, in fact I think that Bill will be a great surrogate and campaign for Obama, in fact I am sure Obama atamfagilia na kumpa nafasi kubwa. Also Hillary hawezi kutupwa! I am not worried about that because naona hata superdelegates want to end this and concentrate on the GE.
 
..nafikiri kuna mtu anaiba password ya FMES kuandika haya mambo,huyu sio FMES tunayemjua for 20 yrs!

Hapana mkuu Koba, sijawa kwenye forum for the last 20 years, na hakuna aliyeiba anything, this is me kwamba I am very disappointed na chama cha Democrat, ingawa pia nilifundishwa sana shuleni kule NY nilipokuwa kwenye undergraduate ya political science, lakini sikutegmea kabisa kuwa one day nitakuja kuyaona kwenye reality,

Sina tatizo sana na wagombe a wa Democrats, ingawa nao wote wana matatizo makubwa, lakini nina tatizo kubwa sana ana hiki chama kwa sababu kinachoendelea sasa hivi ni pure insanity, hicho chama kinahitaji marekebisho makubwa sana, ninaaamini kuwa ni Clinton na tamaa ya power ndiye aliyekiharibu alipokuwa rais, hasa pale alipoanza kuzikumbatia baadhi ya sera za Republicans, kama vile Welfare Reforms, sasa kimekuwa chama cha kufanya anything ili kushinda tu,

Mkuu Koba hebu naomba niambie exactly nini msimamo wao on vita vya Iraq?
 
Mkuu Koba hebu naomba niambie exactly nini msimamo wao on vita vya Iraq?

...to withdraw troops period,unajua sizimii sana hawa Repubs wanafikiri Iraqis ni wapuuzi na hawawezi kuongoza nchi yao,Iraqis ni matajiri sana na hawahitaji chochote kutoka hawa neocons ila Bushs hawaishi na hizi spin zao za terrorism kumbe wanataka oil na kudominate the region na wajanja wameshaona ila kwa siasa za US huwezi kusema hivyo maana itakuwa suicide,Iraq(Babylon) ilikuwepo na ina History ya zaidi ya miaka 10000 hata kabla US haijazaliwa ilikuwa Empire..Obama ataondoa majeshi na itakuwa aibu sana kwa Repubs ndio mana wanaona bora Hillary ingawaje naye hawampendi!
 
TIME FOR COMMERCIAL BREAK


...hilo tank sio mchezo na inabidi kushiba kabla ya kulikabili,check mzee mzima alivyomix hii joint na beats zimeshiba kama hilo tank

[media]http://www.youtube.com/watch?v=UYzUWtml8Fc[/media]
 
...hilo tank sio mchezo na inabidi kushiba kabla ya kulikabili,check mzee mzima alivyomix hii joint na beats zimeshiba kama hilo tank

[media]http://www.youtube.com/watch?v=UYzUWtml8Fc[/media]

Obama Hato weza kuondoa majeshi kabla ya muda ulio pangwa...

Suala la Iraq na utajiri wake sio neno Kubwa Hapa...Utajiri wa ardhi yeyote hapa dunia ni Ni uatajiri wa Dunia...Hakuan maana Mtu yeyote anaye paswa kuji nufaisha na mawazo yake Yasio na manufaa kwa viumbe vilivyopo...

Hata kama ataondosha majeshi...Lakini atawajibika na Tabia yeyote mbaya Against Utawala wake...
 
One Preacher says Catholics (the biggests electoral group in US) connived with Nazis to kill the jews and that Hurricane Katrina was the God`s retribution for homosexuals in USA and he endorsed the Republican front runner without any word from the media and politicians. Indeed the preacher was never a victim of the nazis or anything! Here Iam talking J Hagee and Pat Robertson..

Another one says Go damn America and that America is capable of doing anything even of having invented AIDS to kills the Africa Americans (remember this was the `primary victim of this conondrum of white supremacy...and just know he has experienced poverty and injustice of the first degree of African American in Chicago and all over USA)..Here you have a man in the name of Obama who was attending his church....But is now being crucified for not distancing from Mchungaji Wright! Jamani reasonable watu mnataka Obama afanye nini kujua kwamba he doesnt share his belief in the words of Wright?

Ni kitu gani ambacho Wright alikisema ambacho kina uongo? magereza ya USA yamejaa watu gani? na mengine mengi? well Obama as any politicians he is supposed to please different factions. But supporters wa Makeni should know..the test for Obama is way too high.

Hivi kweli wanao mcrucify Obama kwa maneno ya Wright....what makes you think you arent bigots and men and women of double standards? why should Makeni get different standards from the same media? mbona makeni haja-denounce ENDORSEMENT ya Hagee?

At times I understand frustrations za supporters wa Obama....It seems Obama should be an angel who does no wrong! what will happen kila politician akianza kupimwa kwa matendo ya rafiki zake? Au anayoyasema Hagee na Robertson, ni sawa simply because they are whites? Anyway...I think as Obama puts it..he underestimated the odds of being black when he wanted to run for presidency...Surely, this is one of the biggest double standard in US media I have seen..

Anyway the candidacy of Obama rests in the media..they can do anything...maana kuna vitu vingine by human power, you can simply do nothing!
 
Na kama wamerekani wangekuwa that smart kuscrutinize wagombea basi Bush hakustahili kabisa kuwa raisi!!!!
 
kuna statement Rev Wright aliisema ninamuunga mkono mia kwa mia, alisema akimaanisha kwamba mtu alichoandikiwa na Mwenyezi Mungu lazima atakipata tu, akasema iwapo Obama ameandikiwa kuwa raisi wa marekani hakuna pundit wala media itakayoweza kubadili amri hiyo.

nimemcheki wright, huyu jamaa maneno yake yanawachoma hawa jamaa,yanawaingia, ila kutokana na sense of denial ya mambo ambayo serikali yao imeyafanya katika historia baadhi yao yanawachukiza. wao wanapendwa kuambiwa America is Great, civilized society, leader of democracies.lakini fact kama kuwapiga wajapani bomu la nyukilia,mauaji ya wahindi wekundu,mauaji ya watu vietnam, ubaguzi wa rangi na Utumwa, na support isiyozingatia upande juu ya israel, hawataki kuyasikia kabisa
.
 
Susuviri,

..hii race mimi naiangalia kama outsider -- Mtanzania. kwa ujumla sina maslahi nayo.

..ninachokataa mimi ni kuchukuliwa msukule. kama Hillary amekosea nitasema, na kama Obama amekosea nitasema vilevile.

..katika hili suala la Pastor Wright mimi naamini huu ulikuwa mchezo wa siasa. kama siyo siasa kwanini Obama na Wright wafichame kwenye basement wakisali kabla ya kutangaza candidacy yake?

..pia nimemsikiliza Pastor Wright na nina hakika ni mtu mwenye elimu yake. kuna mambo ameyasema ambayo amepotoka. pia kuna mambo mengine ameyasema ni ya kweli isipokuwa ameyawasilisha in an irresponsible way.

..hapa nilipofikia Obama tayari ni President elect of USA. siwezi kuwa kama Andrea Mitchell ambaye kila akitaja jina Obama analengwa machozi. i have already passed that excitement phase. i have gotten used to the speech. namuangalia Obama kwa macho makavu.
 

You are way ahead of yourself..
Sasa akishindwa uchaguzi utasemaje? Au utaanza kutunga mi conspiracy theory?
 


Anyway the candidacy of Obama rests in the media..they can do anything...maana kuna vitu vingine by human power, you can simply do nothing!

Masanja..Fox News hawataki kuua story ya Rev. Wright, simply because its what they've got night in and night out. Other cable news have started to move forward lakini ukiangalia especially Hannity & Colmes and Hannity America...they keep going at it. Well, I know its their right to do so, lakini pia. Unapoipiga ngoma sana, kuna wakati utafika wachezaji watataka ubadili rythm upige mdundo mwingine kwani watakuwa wamechoka kuucheza ule wa kwanza. I am glad haya mambo ya Rev. Wright yametokea sasa hivi na Obama has time to deal with it na hopefully hata-ingiza mguu mdomoni na kutoa statement kama ile aliyoitoa kule San Francisco, ambayo shame on McCain na Hillary ambao walianza kum label mwenzao (Obama) kama "ELITIST". Swali ni hili hapa. Ni nani amewahi kugombea urais wa Marekani ambaye sio ELITE? Kuna watu wengi wa kawaida kabisa ambao huwa wanagombea lakini majina yao hayafiki popote hata kwenye primaries za vyama vyao. The ones who makes it to the final stage..kwa mfano kwenye Democractic party primaries au GOP party hakuna hata mmoja ambae ni mlalahoi. Hakuna hata mmoja (Edwards, Biden,Dodd, Kucinich, Obama, Clinton, Richardson, etc) na (Ron Paul, McCain, Giulliani, Huckabee, Thompson, and Romney)...hakuna hata mmoja kati ya hawa ambaye anajua gasoline price as of today..unless wasome magazeti au kuangilia news kwenye TV, they don't pump their own gas, they don't go general hospitals..hakuna hata mmoja kati yao anayejua kuwa gallon ya maziwa imepanda bei, na pound ya nyama, yote haya kwa ajili ya mafuta kuwa juu. Hakuna hata mmoja wao anajua pinch ya health care premiums au interest rates za mikopo watu wa chini wanazotozwa. They can talk all the talk..politician way lakini hawa sio wenzetu. Nani wa kumnyooshea kidole mwenzake na kumwita elitist?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…