Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

Urusi yaunda nchi ya tatu ndani ya Ukraine

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,021
Reaction score
16,591
Serikali ya shirikisho la Urusi inaandaa kura ya maoni itakayolifanya jimbo la Kherson kuwa nchi kamili

Mpaka sasa kura hiyo inatarajiwa kuungwa mkono na wapiga kura zaidi ya 95% kutokana na ukweli kuwa wakatoliki-waukraine wa eneo hilo kwa sasa washasepa zao.

Endapo kura hiyo ikienda kama ilivyopangwa basi Kherson itakuwa nchi ya tatu kufanikiwa kuundwa ndani ya Ukraine

Uhuru wa hili jimbo utawezesha kupatikana kwa daraja la ardhini kwenda Crimea kitu ambacho Putin anakihitaji ili kulinda mabomba ya mafuta na logistics routes dhidi ya kitisho cha NATO.
 
Anachofanya Urusi ni kuifanya Ulaya weak sana maeneo yote strategically kwa Ulaya yaliyopo Ukraine, Urusi anahakikisha ni huru. Wasiojua ni kwamba Kherson ni moja ya maeneo yanayozalisha ngano nyingi sana Ukraine na ni ngano inayotegemewa na Ulaya kwa kiwango kikubwa sana. Narudia RUSSIA SIO ZIMBABWE NA PUTIN SIO MUGABE.
 
Halaf watakuja wale pro fulani fulani watakwambia RUSSIA wanapigwa ama wamepigwa.

Yaani kwampaka hapa hii OP imeishafanikiwa kwa %90 maana sioni hio kura ikienda kinyume na matakwa ya KREMLIN DUMA na PUT IN.

Nahilo eneo sijalifatilia kibinafsi ila nasikia nieneo lakimkakati sijajua kwenye angle gani?

Sema hii OP itaongeza sana umaarufu wa RUSSIA hapa DUNIANI jamaa kaichapa UKRAINE mbele ya wanaojiona ma GIANT tena mbaya zaidi waliochapwa wapo ndani ya ULAYA nawalikua wanaandaliwa kwamalengo fulani fulani dhidi ya RUSSIA ila ilipofikia kuchapwa jamaa zake wamemkwepa kama hawamuoni.

RUSSIA inatakiwa iendelee kutoa doze kisawa sawa mpaka kieleweke. Nakwahiki kinachoendelea UKRAINE wale wanaongojea FINI na SWED kujiunga na NATO mtangojea sana.

RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Back
Top Bottom