Urusi watengeneza Satan 2

Ndo maana nkakwambiaje haina madhara russia labda ije itutishie sie kajamba nan! Wherever na kazyake....
HA ha ha,
My point: huwez jua madhara ya f22 kwa russia wala madhara ya PAK FA kwa USA unless otherwisd kungekuwa na battle tena real battle ndio tungejua,

Ila kwa sasa siwez comment chochote kwenye hilo, Pia kumbuka si kwamba kila kitu kijeshi kinaanikwa hadharani, Kuna baadhi ya vitu ni CLASSFIED

MY POINT: tunajua vitu vichache tu vingi ni classfied, Kwa mfano MINUTEMAN 3 ICBM ya USA ukisoma online wanasema ina range ya 13000km (real range classfied)

So tunajua vitu vidogo tu, Kuna siri kubwa chini ya uwezo wa F22 na PAK FA, pia kuna siri kubwa sana katika anti-balistic and anti-aircraft


Ila kwa sasa the only air supremacy fighter ni f22
 

Samahan saana nilicrash point yako bila kumalizia kusoma,

Hayo maandishi mekundu kiukweli umeyaandika kiufundi sana, MAneno mafupi ila yenye maana kubwa sana,
 
Sure aisee humu jf kuna wadau wanajikuta wao wachambuzi wa kivita wakati hata upinde hawajui unashikwaje..
 
Sure aisee humu jf kuna wadau wanajikuta wao wachambuzi wa kivita wakati hata upinde hawajui unashikwaje..
Upinde mkubwa wote huoo,
Mkuu hata manati,

Yan watu tunapata info kutoka source kama wikipedia ila mtu anakuuuza mambo, Niliambia jamaa wa russia alitekwa na isis wakamfunga ila aliwajulisha wenzake mahali alipo, Kumbe sivyo

Nimeambiwa sept 11 ilijumuisha ndege 5, Ilahali mi najua ni 4 na source yangu inasema ni 4,

2 kwenda zile jengo pacha, 1 pentagon, 1 moja ilidondoka baada ya abiria kujaribu kufanya ukombozi wenyewe
 
huwa sioni sababu za kumlinganisha URUSI na USA sabubu hizi zinaonyesha kuwa URUSI ndio kidume duniani Kijeshi
1. NATO (muungano wa nchi 28 + USA ) ulianzishwa na hadi leo bado upo unadumu lengo lao kupambana na URUSI tena sote tunajua nchi hizo nazo zipo vzr kiuchumi na kijeshi.Taifa moja kuhofiwa na mataifa 28 bado unadharau hilo taifa utakuwa na matatizo
2. establishment ya USA military bases,USA inahangaika kila siku kuweka base zake karibu na urusi-lengo kubwa ni kujilinda kama urusi angekuwa si chochote kwa nini USA atumie budget kubwa ya kijeshi kuhakikisha hizo base zinafanya kazi-unadhani usa ni mjinga kiasi hicho ni wazi anajua uwezo wa urusi kutuzidi sisi.

nashangaa wabongo wanao dharau taifa la urusi!
 
Russia bado yupo nyuma sana ya USA, USA wanawekeza mabilion ya bajeti,

Shikamoo area-51

USA siyo ya sasa, zamani ndiyo...na sasa (baada ya uchaguzi) USA iko kwenye matatizo zaidi...baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kijamii wanaanza kuzungumzia uwezekano wa kuwepo kwa civil war, dalili ni mauaji ya polisi wa Marekani dhidi ya watu weusi na malipizo ya weusi dhidi ya polisi na watu weupe, pia maandamano ya maelfu ya Wamarekani wakipinga ushindi wa 'mbabe' Trump...The Americans are 'increasingly' becoming a rotten society: kuhalalisha ndoa za jinsia moja; kujiona wao ndio bora kuliko jamii nyingine duniani; kuhubiri demokrasia wakati wao hawaithamini demokrasia; kuwaua viongozi wa nchi nyingine duniani-Irak, Libya na kadhalika; kukithiri kwa vitendo vya ukatili na ubaguzi wa rangi; kuupuzia masuala ya dini....
 
Civil war????? (onyesha uthibitisho wa kutokea civil war,
KAma ni vita vya polisi na watu weusi vipo kitambo tu labda hujui ndugu )
Sahau kabisaaa,

Demokrasia ipi unayoiongelea ww ambayk haipo USA? (hukuridhika na matokeo ya uchaguz ila kumbuka hakuna uchaguzi Part 2)

Kuruhusu ndoa za jinsia moja kunahusiana vipi na ubora wa jeshi lake?
 

Nimelisoma andiko lako, na nimesikitika tu...anyway, tuongelee mengine ya USA tuwaachie wenyewe...
 
Hii ni kawaida ya mijadala, lazme pawe na thesis and anti-thesis
 
Mkuu big Up.....!!
 
Nwat i meant z dat, km hzo ndege zinajigamba kuwa haziwez onekana kwny radar/ defence systems kwanin zisikatishe kwenye radar za urusi, au huwa zinakatisha mara kwa mara but hazionekani tu?
Hapo juzi kwenye kampeni Bi Hillary Clinton alisema kwamba akichaguliwa kuwa Rais lazima aweke No fly zone pale Syria.....

Mkuu wa majeshi wa Urusi akawaambia kwamba kama mna ndege zisizo onekana kwenye Radar basi zitie pua pale Syria muone kitakacho fuata..

Naye Mkuu wa majeshi Marekani Joseph Dunford aliionya seneta baada ya kale Kabibi Hillary Clinton kuhoji uwezekano wa kuweka No fly zone pale Syria. Akisema siwezi kuruhu upumbavu kama huo.
 
Ikitokea battle ndo tutajua nani mkaree kuna mambo mengine yapo chini ya kapeti kwan hata bomu la nyuklia mwaka 1960 hakuna aliejua..kuna nchi kama Germany huwezi kuzi ander estimate kwenye vita kuna mambo meeeengi sana nakumbuka japan walitumia war plane kama suicide bomber wakawa wanashuka nazo mguu wa shingo mguu wa roho kikinuka mtayaona ma biological weapons mpaka ma ebola vita ni vita mura acha kabisa
 
Na huu ndio ukwel hata kama mchungu watu waukubal tuu
 
Jamani CT SCAN NA MRI zimekufa Muhimbili tuzijadili hizi ni muhimu kwetu kuliko makombora ya Russia
Ha ha ha ha Mkuu Bujibuji kila jambo na wakati wake, ya kwetu tunadiscuss tukiamka na wakati wa kulala. Story za teknolojia kwa wenzetu huko majuu ndio tunadiscuss mchana. Matatizo yetu hayaishi siunajua. Ngoja tuangalie wenzetu wako wapi.
Unajua hawa jamaa bwana, muda mwingine huwa nawaza pengine hata mwisho wa dunia utaanza kwao kwanza halafu miaka elfu moja ndio utakuja kwetu(just a crazy thinking am not serious)
 
Hata tukizijadili hizo CT Scan na MRI ndo zitajifufua?
Ct scan za ovyo ovyo zimepoba leo hii mke wangu anaenda kupima alipata ajali so wana was was na kichwa.

So unaewaza kuhusu ct scan achana na hiyo kitu afadhal tujadil q400
 
Kuweka bases kwenye nchi mbalibali ni kawaida tu pia kujenga counter ICBM facilities kwenye nchi mbali mbali ni jus defensive measure,

Hakuna aliyeidharau urussi hata kidogo, Hakuna aliye under-estimate urussi hata kidogo, Binafsi najua kabisa how strong they are, ndio maana USA ana set defensive lines zake mapemaaaa

Ila in case of best/strong army and advanced technologies USA ndio Mume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…