Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,800
- 2,859
JaMwenzako Russia aki-endorse kopo lake la nyuklia hiyo navy na anga na ardhi utavitumia wapi na atakuwa kashaifanya nchi majivu pamoja na hiyo mibomu yenu(us)
Kumbuka Russia ni Mobile missile hahitaji kuja kwako yeye yupo ofisini anpoga na azam mango anakudondoshea tu kwako.
Sorry sijui juice ya Russia
Nimekuelewa vizur kabisaaOk ni draw fact zangu kutoka kwa watanzania wenzetu.. Ambao wanazijua hizi nchi vizur.. Kama ukikumbuka kuanzia kpind Cha cold war during 19..Urusi tulikuwa na uhusiano nao mzur tu.. Ko Kuna wanajeshi wetu wengi waliopata mafunzo ya ndani ya kiusalama ndani ya jeshi la Urusi.. Na pia ndo hao hao baada ya tz kutoumana na na upande wowote walinusa pia upande wa pili.. Ko nlipata uchambuzi mkubwa toka kwa jamaa hao.. Kias kwamba Kama ulivyosema kuna vitu vingine u can't write them here..
Watu hao ndo walinchambulia kwa kina na mifano..
Confident naamin Russian army is the best Army in relation to American.
Tafuta wataalum wa nyuklia dunian.. Ukiwapata Angalia the list ni wangapi wanaotoka nje ya Urusi.
Inaelekea una hasira kichiz,Mimi nina muelekeo labda walipue familia yako, mda huu nipo ofisini (Serikalini) jioni nitakua na wahudumu wangu wa Saloon zangu na Mgahawa wanipe Taarifa huku nikipata bia mbili tatu, jana nimelipa ada zote za wadogo wangu wawili waliokosa Mkopo UD na UDOM, Kesho naenda Kiwangwa kusimamia chanjo ya kuku shambani kwangu nikitoka huko narudi home nikae na familia yangu, jioni naelekea sehemu nimesikia patakua na Bendi. Kesho kutwa Jpili tukitoka ibada na familia tunaelekea Beach tukapigwe upepo mpaka jioni, then Jumatatu ratiba ya kazi inaendelea.... baada ya kusema hivi naomba tusilipuliwe mimi nafurahia maisha
Kumbuka USA Ana base nyingi sana katika nchi tofauti ambazo hizo ni anti-missile,Mwenzako Russia aki-endorse kopo lake la nyuklia hiyo navy na anga na ardhi utavitumia wapi na atakuwa kashaifanya nchi majivu pamoja na hiyo mibomu yenu(us)
Kumbuka Russia ni Mobile missile hahitaji kuja kwako yeye yupo ofisini anpoga na azam mango anakudondoshea tu kwako.
Sorry sijui juice ya Russia
HA ha ha, Mkuu kwa kukuza mambo shikamoo zako,Mateka anapress button ipi, umeshaona mateka wa vita wanavyokuwa, unajua kuwa mateka wa Isis wanakuwa striped off their original combat dressing?
Acha kufananisha jeshi la urusi na vitu vya kipumbavuMm niulize tu je! Jeshi letu wabongo na la urusi lipi liko imara, maana mko vizuri kweli kwenye majeshi ya nje.
Ha ha ha rambo style ilikua ndio last option, Maana wale waungwana wakikukamata lazima wakuchinje au wakutie moto, So rambo akaona ni bora afe kwa milipuko, Ni roho ya kishujaa, Ambayo hata ww ungewazia mziki wa isis lazima ungeipata.Rambo style ni habari nyingine. Yaani commando anaiita ndege na ndege inafika fasta na kutelemsha moto wa adabu.
Russian 'Rambo' kills ISIS thugs by calling airstrike on HIMSELF when surrounded
Jeshi morali mkuu, kijana alikuwa na moyo wa kizalendo.Ha ha ha rambo style ilikua ndio last option, Maana wale waungwana wakikukamata lazima wakuchinje au wakutie moto, So rambo akaona ni bora afe kwa milipuko, Ni roho ya kishujaa, Ambayo hata ww ungewazia mziki wa isis lazima ungeipata.
Nakuunga mkono, Ila hata ingekua mimi wallah nisingekubali wale waungwana wanikamate, Niliona walichomfanya yule pilot wa jordan aisee nilitokwa machozJeshi morali mkuu, kijana alikuwa na moyo wa kizalendo.
Hutakiwi kusalimu amri maadui zako, unatakiwa kupambana hadi mwisho.Nakuunga mkono, Ila hata ingekua mimi wallah nisingekubali wale waungwana wanikamate, Niliona walichomfanya yule pilot wa jordan aisee nilitokwa machoz
Uzalendo+pinned + mziki wa isis+mavideo ya kuchinja= rambo style
NI kweli kabisa yan unajua hata kama una roho ya kukata tamaa ukiwazia tu kuhusu wale jamaa lazima mzuka wa vita ujeHutakiwi kusalimu amri maadui zako, unatakiwa kupambana hadi mwisho.
Hata huyo dogo nae alipata mafunzo ya ukatiri, ni nidhamu na moyo wa kizalendo tu ndio uliomtuma kujitoa mhanga kulinda heshima ya jeshi lake.NI kweli kabisa yan unajua hata kama una roho ya kukata tamaa ukiwazia tu kuhusu wale jamaa lazima mzuka wa vita uje
Hivi kwanini asilipue tu bongo ili tupotee tu maana hatuna muelekeo kabisa
Watu wana Generalize sanaInaelekea una hasira kichiz,
Umefanya siku yangu iwe ya furaha sana
mkuu kipi kinakuaminisha hivo??Kuzaliwa mwanzo sio hoja ya kufanikiwa ,kuna waliotangulia lkn wakachelewa kufikia malengo.naaamini rusia ipo juu zaidi
Inawezekana, Ila
Best army ni combination ya navy, Airforce na land forces,
Kwa best army kura yangu ningempa USA,
PIA IWAPO utafuatilia technology nyingi za kijeshi russia yupo nyuma ya USA, Yaani USA wanainvest pesa kubwa sana kutafiti na kugundua vitu vipya, Jiulize kina f15 eagle walitoka mwaka gani, Alaf russia alitoa 4th generation mwaka gani, nani alianzisha stealth technology,(kumbuka f117 night hawk), Fuatilia kuhusu NIMITZ CLASS CARRIERS, , yan ni mbo mengi,
My take: ni ugunduz mzuri, Najua halitatumika, Limewekwa mkwara tu. Ila ni hatua kubwa kwao(japo haina manufaa kwetu)
Ila je ipo vipi mbele ya anti-ballistic systems, Kumbumba us antiballistics system inadetect tangu pale ballistic inapokua launched.
US army still ni strongest n the best
KabisaKweli walioshiba utawatambua kwa porojo zao!