Hawawezi kujaribu huo ujinga , as the matter of fact watu wengi hamna wanachojua kuhusu warfare na Marekani ,hamna taifa linaweza na linatamani kupigana vita na Marekani ni suicide , Marekani ana military bases 800 + ukiachilia mobile military ships na submarines ambazo nazo tu ni ngome za kivita na launching pads za missiles warfareba aina nyingine ya silaha nzito dhidi ya adui yake ,so hii inalifanya taifa la Marekani kuwa na uwezo wa ku lpigana vita Kona yoyote dunia hii , pia global satellite and telecommunications recounasance system ambayo ni unparraled dunia nzima , so we unalaunch hivyo vitakataka vyako wakati anajua locations zake na kila kinachoendelea kwako , atakutwanga na kukusambaratisha vibaya kabla hata hujafanya ulichowaza ,wewe ukijidai unalaunch missiles kupiga USA wao wana ngome zao karibu na wewe na washakunyoosha vibaya mno mapema.
Uncle Sam sio zwazwa ,pesa anayotumia kuendesha hizo ni combined Gdp sijui ya nchi ngapi ,acheni utani kabisa na hilo taifa