Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,110
- 2,786
Kweli kabisa , tutauza ile Korosho ya MtwaraWakipigana dollar 1 itafika 10000
Maana tutakosa mafuta, watalii hawatakuja
Kweli kabisa , tutauza ile Korosho ya MtwaraWakipigana dollar 1 itafika 10000
Maana tutakosa mafuta, watalii hawatakuja
Atasingizia Marekani mbaliZile drone Putin anaonyeshwa kwamba hayuko salama anga lake akileta fyokofyoko zaidi atashughulikiwa on the spot, sasa kama ni Washington basi putini arushe japo kajiwe kadogo kule Marekani kama hatashuhudia vumbi Kremlin
Wanajiingizia kidole na kucheka we yes WarusiAibu ndio inepelekea watamke hivyo.kuwa.Marekani ndio.imeshambulia Kremlin
Wameona wakisema Ukraine ndio kushambulia hata warusi wangekosa imani na serikali na jeshi.
Wameona wataje taifa kubwa
Lakini uongo Ukraine ndie kamtwanga
Anapambambanaje kwenye ardhi ya Ukraine?Aisee Vita ni Mbaya.
Ila najiuliza ni kwa Jinsi gani Russia anaweza kupambana na Karibia Dunia Yote akatoboa.
Mbona mafuta yapo Zanzibar kweli waafrika hatuna akiliWakipigana dollar 1 itafika 10000
Maana tutakosa mafuta, watalii hawatakuja
Sura yako ni ya ki-jihadist kabisa wala huwezi kupinga.Unasema tu wewe. Russia ni muungwana anapima madhara yatakayotokea. Russia inaongozwa na Putin, kiongozi anayejitambua, angekuwa sampuli za akina Adolf Hitler leo hii makombora kadhaa yameshatumwa kule US na kimewaka.
Mataifa kama Iran, North Korea, Na wengineo wanaomtamani sana US watajoin vita hivi na hapata kalika utakuwa ndio mwisho wa dunia maana zitarushwa silaha za kinyuklia za kimaangamizi ambazo sumu yake itafunga anga kwa hewa nzito itakayo block jua kabisa na kisababisha mimea na mazao kufa ndani ya siku kadhaa.
Tutakula tu bidhaa za viwandani na za kusindika ambazo nazo baada ya muda zitaisha then itabidi tuanze kulana wanadamu then tutaisha wachache watasurvive na itachukua miaka kadhaa kwa hali kuwa shwari.
Sasa wadhani mrussia ni mjinga kiasi hicho hadi kuhatarisha amani na usalama wa Dunia ili tu kumjibu huyu mbumpavu m'moja, mleta chokochoko duniani asiyejua vibaya ambaye kutwa kucha matako yake anahangaika na mataifa mengine kuyaingilia malaya mkubwa huyu Marekani. Shenzi kabisa.
Nadhani wame revenge lile dude lao lililoangushwa bahari nyeusiSo tutegemee respond kutoka kwa Mrusi au ataachwa Mmarekani na kugeukiwa Ukraine ambaye hakuhusika?
Hii Urusi yenu imekua bonge la useless, sasa wanalia nini, wafanye tuone.Ni mjinga Tu asiyeamini Hilo Kwa Sababu wapanga mipango WA Ukraine ni wanajeshi au wataalam wa NATO.
Wewe hujielewei hujaona watu wa Ukraine wanauawa Kwa Sababu ya drone?yaani hawajapata madhara lakini Ukraine wamepata misiba.Hii Urusi yenu imekua bonge la useless, sasa wanalia nini, wafanye tuone.
Drones zinafika hadi chumbani.
Hata akiqeza tutegemee mabaya kwa Urusi kuumizwa kwa wazi au kwa siriRussia HAINA UWEZO WA KUFANYA SHAMBULIO LOLOTE NDANI YA ARDHI YA US.
Joti ameishangaza duniaMasanja mkandamizaji wa Ukraine anamjambisha Putin, itafika muda Putin ataelewa tu.
Wewe hujielewei hujaona watu wa Ukraine wanauawa Kwa Sababu ya drone?yaani hawajapata madhara lakini Ukraine wamepata misiba.
Jana usiku Kiev ikipigwa Kwa milipuko huku Kherson ya Ukraine watu 12 Waliuawa Kwa Sababu ya hizo drone ambazo hazikuwa na madhara.Hii Urusi yenu imekua bonge la useless, sasa wanalia nini, wafanye tuone.
Drones zinafika hadi chumbani.
Hamn madhara yoyote kuna air defence system wakati Ukraine wengi walipoteza Maisha Kwa Sababu ya ugaidi WA serikali Yao.Mzee wa nonsense lini umekua na akili, drone inachezea ikulu ya supapawa.
Avae mabomu sasaSura yako ni ya ki-jihadist kabisa wala huwezi kupinga.
Endelea kuota ukiamka utajua hujuiRussia HAINA UWEZO WA KUFANYA SHAMBULIO LOLOTE NDANI YA ARDHI YA US.
Putin sio mjinga kiasi hicho wakati hapo alipo ana msala hapo Ukraine.Waache wazidi kuchokoana wakichoka watazipiga kavukavu
Usinisahihishe nimesema "Respond" na hiyo correction yako ni flawedResponse not respond