Urusi: Marekani ndiye mhusika mlipuko Kremlin

Urusi: Marekani ndiye mhusika mlipuko Kremlin

Russia angekuwa na uwezo basi kipindi kile Marekani alipoamua kumsaidia Ukraine silaha ndio angeivamia Marekani lakini akaamua kufyata hivyo hamna anachoweza kufanya, ni blaa blaa tu.
Vita vya Vietnam na USA China na Russia walikuwa wana wapa support Vietnam.

Vita ya North korea na South korea marekani/Europe walikuwa na south na China/Russia walikuwa na north.
Vita vya Afghanistan na Russia. USA alikuwa ana support Afghanistan
Cold War ya Cuba na USA Russia alikuwa na Cuba.
Ukombozi wa Afrika Russia alikuwa na Afrika na USA alikuwa na wakoloni.
 
Russia HAINA UWEZO WA KUFANYA SHAMBULIO LOLOTE NDANI YA ARDHI YA US.
Unasema tu wewe. Russia ni muungwana anapima madhara yatakayotokea. Russia inaongozwa na Putin, kiongozi anayejitambua, angekuwa sampuli za akina Adolf Hitler leo hii makombora kadhaa yameshatumwa kule US na kimewaka.

Mataifa kama Iran, North Korea, Na wengineo wanaomtamani sana US watajoin vita hivi na hapata kalika utakuwa ndio mwisho wa dunia maana zitarushwa silaha za kinyuklia za kimaangamizi ambazo sumu yake itafunga anga kwa hewa nzito itakayo block jua kabisa na kisababisha mimea na mazao kufa ndani ya siku kadhaa.

Tutakula tu bidhaa za viwandani na za kusindika ambazo nazo baada ya muda zitaisha then itabidi tuanze kulana wanadamu then tutaisha wachache watasurvive na itachukua miaka kadhaa kwa hali kuwa shwari.

Sasa wadhani mrussia ni mjinga kiasi hicho hadi kuhatarisha amani na usalama wa Dunia ili tu kumjibu huyu mbumpavu m'moja, mleta chokochoko duniani asiyejua vibaya ambaye kutwa kucha matako yake anahangaika na mataifa mengine kuyaingilia malaya mkubwa huyu Marekani. Shenzi kabisa.
 
Zile drone Putin anaonyeshwa kwamba hayuko salama anga lake akileta fyokofyoko zaidi atashughulikiwa on the spot, sasa kama ni Washington basi putini arushe japo kajiwe kadogo kule Marekani kama hatashuhudia vumbi Kremlin
Hakuna kitu atafanya Marekani ni taifa coward sana. Yeye anabakia kuonea vitaifa vidogo tu.
 
Urusi yadai, Marekani ndiye alihusika na drone na si Ukraine.

Je, tutegemee nini?

BREAKING: Russia claims the US is behind drone attack on Kremlin and that decisions to conduct such operations are taken in Washington DC, not Kyiv

Imesema inapanga jinsi ya kulipa

Kumbe ndo maana hawajajibu

-----

Just in from Moscow: Putin spokesman Dmitry Peskov claims without evidence that the US is behind the drone attack on the Kremlin. "We know very well that decisions on such actions and such terrorist attacks are made not in Kyiv but in Washington." via Russian state media
Russia whooh! Whooh! Nyingi kama Mbwa Koko 😅😅
 
Urusi anatapa tapa tu

Mwanzo alisema Ukraine ndo kahusika na atajibu

Leo anasema Marekani ndiye mhusika

Marekani amekanusha kuhusika

Alafu yule anaejiita mkuu wa usalama kule ambae anatoaga maneno ya vitisho mwanzo mwisho mbona baada ya taarifa hii kimya
 
Back
Top Bottom