Urusi: Marekani ndiye mhusika mlipuko Kremlin

Urusi: Marekani ndiye mhusika mlipuko Kremlin

Mkuu kuna habari humu za kuaminika kwamba Joe Biden aliwasilina na Putin kuhusu ujio wake huko Ukraine baada ya ziara yake mchini Poland - lengo la mawasiliano hayo ni kwamba pasije pakatokea miscalculation ya kuburumisha maroketi mabom wakati Biden aliwa ziarani huko Ukraine - yote hayo yalikuwa ni maigizo tu, Putin,Biden na Zelensky hata Rais wa Poland walijua in advance nini kinaendelea nyuma ya pazia - wana siasa walivyo wa ajabu Bifen alipo wasili tena Poland akitokea Kiev akaanza kumsema vobaya tena Putin kasahau kwamba yeye na washauri wake ndio walimsihi Putin hasishabulie Kiev, Biden akiwa ziarani huko, kichekesho kingine: baada ya Biden kuondoka Kiev Zelensky akaanza kuvurumisha makombora eti ya kutungua roketi na ndege za Urusi zilizokuwa zinataka kushambulia mji wa Kiev - hivyo wakazi wa Kiev wajione wako salama kabisa - kumbe ni ulaghai wa litaka kuwachota watu akili, siku hiyo hakuna kombora wa ndege za Urusi zilizoingiananga la Ukraine.
Sahihi Mkuu. usipokuwa mtu wa kufikiri uwezi kujua ninachoendelea kwa Siri. Ni nini.
 
unamaanisha utashi au vifaa?
Mambo mengine ukiyasikiliza ndio utajua kwamba uelewa wa baadhi ya waswahili bado ni mdogo sana - wametekwa sana kiakili na make believe Hollywood movies pamoja na MSM karibu zote - kwao Dunia ni Amerika uwambii chochote wakakuelewa,inasikitisha sana kusema kweli - waswahili wala hawashituki kumuona makamu wa Rais akija Afrika kuhamasisha ndoa za jinsia moja, wakati yeye kaolewa ingawa hana moto!!!!
 
Mambo mengine ukiyasikiliza ndio utajua kwamba uelewa wa baadhi ya waswahili bado ni mdogo sana - wametekwa sana kiakili na make believe Hollywood movies pamoja na MSM karibu zote - kwao Dunia ni Amerika uwambii chochote wakakuelewa,inasikitisha sana kusema kweli - waswahili wala hawashituki kumuona makamu wa Rais akija Afrika kuhamasisha ndoa za jinsia moja, wakati yeye kaolewa ingawa hana moto!!!!

Afrika kusini memba mwenzenu wa BRICS ni mhamasishaji mkubwa wa huo ushoga,sio kila siku kusingizia wazungu.

India kubomoana mitaro ruksa,hapo Brazil ni ruksa tena ni moja ya watengenezaji wakubwa wa Porn....Ila warusi wa kibera kila siku mpo na America na Europe.
 
Back
Top Bottom