Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 1,167
- 2,131
Eee!! Kama yy kidume ajibu sasa tuone!
Kuna mchezo tu unaofanywa na RussiaTukuulize wewe je ADs zilikuwa usingizini?
Aisee Vita ni Mbaya.Waache wazidi kuchokoana wakichoka watazipiga kavukavu
Kama wanapinga uonevu waanze kujitoa huko ukraine kuonesha hawapendi migogoroUrusi yadai, Marekani ndiye alihusika na drone na si Ukraine
Je tutegemee nini?
BREAKING: Russia claims the US is behind drone attack on Kremlin and that decisions to conduct such operations are taken in Washington DC, not Kyiv
Imesema inapanga jinsi ya kulipa
Kumbe ndo maana hawajajibu
-----
Just in from Moscow: Putin spokesman Dmitry Peskov claims without evidence that the US is behind the drone attack on the Kremlin. "We know very well that decisions on such actions and such terrorist attacks are made not in Kyiv but in Washington." via Russian state media
kama kawaida ya urusi anabwekea ukraine ila hata poland anaiogopaSo tutegemee respond kutoka kwa Mrusi au ataachwa Mmarekani na kugeukiwa Ukraine ambaye hakuhusika?
kwa jibu lako bado unabisha kuwa warusi wana matatizo maana unainesha jinsi usa walivyo na busara ya kuona mbele kumpiga mrusi wanaweza ila hatima ya ushindi ni nzuri?Jidanganye ila ukweli ni kwamba russia ikipiga usabasi marekani awawezi kufanya chochote zaidi ya kutafuta upatanishi
ila ushangai ukomavu wa kidume kimoja kinaitwa Zele kulila dubwana kubwa jinga kama askar wa zenjiAisee Vita ni Mbaya.
Ila najiuliza ni kwa Jinsi gani Russia anaweza kupambana na Karibia Dunia Yote akatoboa.
Mbinu tuKwamba huenda ni watu wake wanataka wamuue Putin afu wasingizie wengine?
Kwanini jana walisema ni Kyiv, leo wanasema Washington?
Urusi ameshaona Ukraine amesimika hivyo akiendelea kumsingizia ni kuendelea kujidharirisha sababu watu watatarajia makubwa zaidi, ambayo hataweza kuyafanya sababu hana jipya.Aibu ndio inepelekea watamke hivyo.kuwa.Marekani ndio.imeshambulia Kremlin
Wameona wakisema Ukraine ndio kushambulia hata warusi wangekosa imani na serikali na jeshi.
Wameona wataje taifa kubwa
Lakini uongo Ukraine ndie kamtwanga
Waweeke ushahidi....Urusi yadai, Marekani ndiye alihusika na drone na si Ukraine.
Je, tutegemee nini?
BREAKING: Russia claims the US is behind drone attack on Kremlin and that decisions to conduct such operations are taken in Washington DC, not Kyiv
Imesema inapanga jinsi ya kulipa
Kumbe ndo maana hawajajibu
-----
Just in from Moscow: Putin spokesman Dmitry Peskov claims without evidence that the US is behind the drone attack on the Kremlin. "We know very well that decisions on such actions and such terrorist attacks are made not in Kyiv but in Washington." via Russian state media
Na akifanya hivyo ndio utakuwa mwisho wake.Russia HAINA UWEZO WA KUFANYA SHAMBULIO LOLOTE NDANI YA ARDHI YA US.
Ni mjinga Tu anayeweza kuamini unachosemaRussia HAINA UWEZO WA KUFANYA SHAMBULIO LOLOTE NDANI YA ARDHI YA US.
Huna akili kusema hivyo Kwa Sababu Russia naye anamabomu hatari zaidi ya nuclear kuliko hata USANa akifanya hivyo ndio utakuwa mwisho wake.
Ni mjinga Tu asiyeamini Hilo Kwa Sababu wapanga mipango WA Ukraine ni wanajeshi au wataalam wa NATO.Urusi yadai, Marekani ndiye alihusika na drone na si Ukraine.
Je, tutegemee nini?
BREAKING: Russia claims the US is behind drone attack on Kremlin and that decisions to conduct such operations are taken in Washington DC, not Kyiv
Imesema inapanga jinsi ya kulipa
Kumbe ndo maana hawajajibu
-----
Just in from Moscow: Putin spokesman Dmitry Peskov claims without evidence that the US is behind the drone attack on the Kremlin. "We know very well that decisions on such actions and such terrorist attacks are made not in Kyiv but in Washington." via Russian state media
Mambo mengine jaribuni kufanyaka kautafiti kidogo au kusoma historia - hivi VietNam ilipo kuwa inasaidiwa na Urusi kwenye ya silaha za kutungulia ndege zikiwemo phantom na B-52, helicolpters - more than 20thousand American military flying machines were brought down by VietNamese air defense systems (S-75) and MiG-21 (a supersonic fighter by that time). Mbona hamsemi kwa nini Amerika haikuivamia Urusi kwa sababu ya kuwapatia silaha WavietNam walikuwa wanapukutusha ndege za Kimerikani kila kukicha mwisho wa siku Amerika ikafunga virago na kuondoka VietNam kwa aibu - check video clip wakati wanajeshi wa Kimerinani na majenerali wakitimka bila viatu wakikimbia vifaru na jeshi la VietCong huko Saigon - huwa sielewi kwa nini baadhi ya waswahili wana tendency ya ku-inflate uwezo wa kijeshi wa Taifa la Merikani - mbona uwezo huo hakuoona huko VietNam, Cambodia na Laos, mbona hakuuuona huko Afghanistani - wanapigana na Watebanani kwa miaka ishirini halafu wana waachia tena watelibani kutawala ie on drivers seat - hii wapi na wapi.Russia angekuwa na uwezo basi kipindi kile Marekani alipoamua kumsaidia Ukraine silaha ndio angeivamia Marekani lakini akaamua kufyata hivyo hamna anachoweza kufanya, ni blaa blaa tu.
Mambo mengine jaribuni kufanyaka kautafiti kidogo au kusoma historia - hivi VietNam ilipo kuwa inasaidiwa na Urusi kwenye ya silaha za kutungulia ndege zikiwemo phantom na B-52, helicolpters - more than 20thousand American military flying machines were brought down by VietNamese air defense systems (S-75) and MiG-21 (a supersonic fighter by that time). Mbona hamsemi kwa nini Amerika haikuivamia Urusi kwa sababu ya kuwapatia silaha WavietNam walikuwa wanapukutusha ndege za Kimerikani kila kukicha mwisho wa siku Amerika ikafunga virago na kuondoka VietNam kwa aibu - check video clip wakati wanajeshi wa Kimerinani na majenerali wakitimka bila viatu wakikimbia vifaru na jeshi la VietCong huko Saigon - huwa sielewi kwa nini baadhi ya waswahili wana tendency ya ku-inflate uwezo wa kijeshi wa Taifa la Merikani - mbona uwezo huo hakuoona huko VietNam, Cambodia na Laos, mbona hakuuuona huko Afghanistani - wanapigana na Watebanani kwa miaka ishirini halafu wana waachia tena watelibani kutawala ie on drivers seat - hii wapi na wapi.
Labda nikukumbushe kwamba Urusi inajulikana kama Super power for a good reason - nyie endeleeni na imani zenu za ajabu sana - hivi kwa akili za kawaida Amerika inaweza kwelikudhubutu kuoiga vita ya ana kwa ana na URUSI - msilete utani, kuhusu Ikulu ya Merikani kushambuliwa kirahisi Urusi ikihamua hilo ni suala dogo kwao - wanatuma hyoersonic missiles au glide vehicles hata SARMAT ambazo Amerika nzima haina kinga yoyote dhidi ya makombora hayo hatarishi au wewe huna habari na ukweli huo.
Akili kisoda.kama ni kweli, kivyovyote vile urushwaji wa hizo drone ulifanywa ndani ya jiji la Moscow. Nakataa kukubali drone zilirishwa kutokea UkraineTukuulize wewe je ADs zilikuwa usingizini?