Ombea amani na usalama wa dunia. Huna maswali ya msingi. Yote uliyouliza ni mepesi na inaonyesha kuna vitu huvijui. Amani amani. 🙏🙏🙏Wabongo mna shida sana.
Unaulizwa maswali unashindwa kuyajibu na badala yake unapiga blablaa ambazo ni tofauti na ulichoulizwa. Si bora ungeuchuna tu ungeepuka aibu ya kukosa hoja.