Kwanini Gaza ni zaidi kuliko Mariupol na Bakhmut

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia. Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi.

Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu kuweza kufanikiwa kulitia mkononi.

Urusi ilitumia silaha nzito kupambana na kikosi cha Azov kilichokuwa na silaha nzito na kusaidiwa na jeshi mama la Ukraine ambalo nalo lilikuwa na silaha nzito ikiwemo ndege za kivita.Hatimae kikosi cha Azov kilijichimia ndani ya mahandaki ya kiwanda cha Azovstal ambayo yalikusudiwa kujilinda kutokana na mashambulio ya nyuklia.

Katika kukamilsha Ili kukamilisha kulidhibiti eneo hilo Urusi ilitumia zaidi mizinga mizito kwa kuhofia kutumia ndege za kivita wakati Ukraine ilikuwa bado ina uwezo wa kuzitungua ndege za Urusi
Sehemu nyingine iliyoshuhudia vita vikali vilicyohusisha silaha nzito ni Bakhmut ambapo jeshi la Urusi chini ya vikosi vya Wagner vilivyoendeshwa na Prigozhin lilipigana kwa muda mrefu pembeni na ndani ya mitaa ya Bakhmut. Mwishowe vikosi vya jeshi la Ukraine vilishindwa.

Maeneo hayo mawili mapigano yalikuwa ni baina ya majeshi mawili makubwa yenye sialha nzito moja likisaidiwa na jumuiya ya nchi za NATO.

Tukija Gaza katika kumbukumbu za kivita hakuna jeshi liliotumia silaha nzito zaidi na zenye nguvu kuliko jeshi la Israel.Jeshi hilo limekuwa huru kutumia aina zote za silaha ilizonazo.Majumba ya ghorofa yameshuhudiwa yakiporomoka kama maboksi kwa sekunde chache.na kufukia wote waliokuwemo humo.

Mashimo makubwa yamechimbuliwa na silaha hizo zinazopigwa kwa mfululizo usiku na mchana.Cha kushangaza na kinyume na Mariupol na Bakhmut silaha hizo nzito zinazosababisha moto unaoenea Gaza nzima na kusababisha ardhi kutetemeka zinatumika dhidi ya wanamgambo wa Hamas ambao silaha zao zote ni hafifu sana.

Mbali na kwamba mtu atasema huo ni ukatili lakini papo hapo atajiuliza mbona hazileti matokeo yaliyotajwa kama ndio malengo ya kupigwa kwa kiwango hicho.Malengo hayo ni kuwamaliza Hamas na kuwaokoa mateka.

Hapa ni wazi kuwa malengo yaliyotajwa ilikuwa ni sababu na ajenda zimebadilika.Lengo si kuwafuta Hamas pekee wala hakuna umuhimu mkubwa kuokoa mateka kwani kwa akili za kibinadamu inaonesha upigaji wa kiwango hiki kwa asilimia kubwa mateka watakufa pamoja na watekaji wao
Tofauti nyengine kati ya vita vya Mariupol na Bakhmut dhidi ya Gaza ni kuwa vita vya Gaza vinaoneshwa mubashara kupitia kamera zilizotegeshwa na mashirika mbali mbali ya habari yakiongozwa na Aljazeera.

Suali la kujiuliza ni jee ukali wa silaha zinazotumika na ukatili wa Gaza utaishia kwa kushindwa kwa Hamas tu au kuna kitu kingine Mwenyezi Mungu kakipanga kuwaonesha viumbe wake waovu katika kuwaokoa wao na adhabu ya moto mkali kuliko huo na ya milele.Kwa maana vita vitakapomalizika kwa kushindwa Israel kufikia malengo ya wazi waliyoyataja basi binadamu wote watajua kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mwenye nguvu na mshindi wa mwisho.

Kwani Yeye siye yule aliyemuokoa mtume wake Ibrahim a.s kutoka katikati ya rundo la moto wa kuni.Moto ulipomalizika waliotaraji kuona majivu ya Ibrahim a.s wakamuona akiwa amekaa kitako yuhai.

Na jeeYeye siye Yule aliyemfanya Firauni akaukushanya umma wa watu wake washuhudie ushindi wake dhidi ya uchawi wa Mussa a.s.Matokeo yake Mussa akawa mshindi mbele ya macho yake na kuadhirika mbele ya aiowakusanya washuhudie ushindi huo.
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.
Urusi inapigana kustaarab kwa kufuta taratibu zote za vita Israeli anaoiga tu ilimradai amepiga
 
Ingekua ni sis ndio tunapigana na hamas ndio mngejua hamas wako strong namna gan wewe upigiwe rockets 5000 kwa dakika mwez mzima miji yote ingejaa magofu hebu tuache kuwaongelea hamas as if mnaongelea watu wenye serious disabilities ukweli lazima usemwe bila the iron dom Israel wangekua wanarepot vifo daily kama kipind Cha COVID 19
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.
Mkuu umemaliza, Huwezi tegemea technology na machines kukuokoa especially kwenye vita kwa 100%, Israel inadhani iron dome na advanced tech walizozonazo zitawakoa lakini beleive it or not hakuna machines wala tech itakayo mu outsmart mwanadamu, hata katika zama hizi ukifahamu signal intelligence kusikiliza watu katika mawasiliano,wakigundua watakutana ana kwa ana na kuzungumza mipango yao ya siri, hizi tech ukiacha nchi zenye wataalamu kuna hackers wanaojitegemea unaweza kuwalipa wenye uwezo wa juu sana kutimiza unachotaka, mfano Lazarus group ni kundi hatari sana la hackers wenye uwezo wa ajabu ku hack system ya aina yeyote unayofahamu ambayo ni highly secured, hawa jamaa hata NSA hadi leo wanaumiza kichwa kuwafahamu.

Ukiwa na akili nyingi fahamu kwamba upande wa pili kuna wenye akili kukuzidi wewe tena mara kadhaa, akili sio kabila fulani wanazo nyingi, dini fulani, nchi fulani. Kila kabila na taifa hapa duniani wana watu wenye akili nyingi ni jinsi utakavyowatumia, Hapa Tanzania kuna watu wenye akili za kutengeneza Iron Dome kama wakiwezeshwa, kumbuka kuna wenye akili hawana elimu, kuna wenye elimu hawana akili halafu kuna wenye akili na wana elimu hilo kundi ogopa sana. Mexico watu wengi hawafahamu ni nchi ambayo ilitengeneza drones za kivita zenye uwezo kuliko za Israel, Trump alitaka kutoa viwanda China kuvileta Mexico kuna watu pale ni skilled labour but cheap as Chinese, huu uxenge wa kusema taifa flani wana akili sana ni kukosa elimu cause no technology is foolproof, it is idiotic to entirely rely on technology no matter how advanced, and a determined group of individuals can always find a way around the most advanced tech.

Hayo ni maoni yangu.
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.
Sasa kwanini jeshi kubwa duniani linapigana na unauita uozo na wahuni na katika siku ya 30 haijatoboa.
Badala yake inaua watoto kwa maelfu na kuwatia huruma walimwengu
 
Ingekua ni sis ndio tunapigana na hamas ndio mngejua hamas wako strong namna gan wewe upigiwe rockets 5000 kwa dakika mwez mzima miji yote ingejaa magofu hebu tuache kuwaongelea hamas as if mnaongelea watu wenye serious disabilities ukweli lazima usemwe bila the iron dom Israel wangekua wanarepot vifo daily kama kipind Cha COVID 19
Ndicho kinachotaka kizingatiwe na wenye akili timamu.
Ukweli katika vita vya moto vita vya Gaza vitaandika historia.Dday landing katika vita vya pili vya dunia haikutumia silaha nzito kama za IDF ndani ya Gaza.
 
Mkuu umemaliza, Huwezi tegemea technology na machines kukuokoa especially kwenye vita kwa 100%, Israel inadhani iron dome na advanced tech walizozonazo zitawakoa lakini beleive it or not hakuna machines wala tech itakayo mu outsmart mwanadamu, hata katika zama hizi ukifahamu signal intelligence kusikiliza watu katika mawasiliano,wakigundua watakutana ana kwa ana na kuzungumza mipango yao ya siri, hizi tech ukiacha nchi zenye wataalamu kuna hackers wanaojitegemea unaweza kuwalipa wenye uwezo wa juu sana kutimiza unachotaka, mfano Lazarus group ni kundi hatari sana la hackers wenye uwezo wa ajabu ku hack system ya aina yeyote unayofahamu ambayo ni highly secured, hawa jamaa hata NSA hadi leo wanaumiza kichwa kuwafahamu.

Ukiwa na akili nyingi fahamu kwamba upande wa pili kuna wenye akili kukuzidi wewe tena mara kadhaa, akili sio kabila fulani wanazo nyingi, dini fulani, nchi fulani. Kila kabila na taifa hapa duniani wana watu wenye akili nyingi ni jinsi utakavyowatumia, Hapa Tanzania kuna watu wenye akili za kutengeneza Iron Dome kama wakiwezeshwa, kumbuka kuna wenye akili hawana elimu, kuna wenye elimu hawana akili halafu kuna wenye akili na wana elimu hilo kundi ogopa sana. Mexico watu wengi hawafahamu ni nchi ambayo ilitengeneza drones za kivita zenye uwezo kuliko za Israel, Trump alitaka kutoa viwanda China kuvileta Mexico kuna watu pale ni skilled labour but cheap as Chinese, huu uxenge wa kusema taifa flani wana akili sana ni kukosa elimu cause no technology is foolproof, it is idiotic to entirely rely on technology no matter how advanced, and a determined group of individuals can always find a way around the most advanced tech.

Hayo ni maoni yangu.
Maoni yako yako vizuri sana.
Kwanza tukumbushe kuwa siku ya oktoba 7 Israel ilipigwa na kumewashangaza sana kwani waliamini kwa teknolojia waliyonayo hakuna mdudu atakayepenya.Vijana wa Hamas itakuwa waliweza kuudukua mfumo mzima wa mawasiliano wa Israel na siku ya tukio walianza kwa kuuzima kwenye maeneo ya kusini.Zaidi ya kuuzima kwa teknolojia za hack,vijana 10 kwenye pikipiki 5 waliingia ndani ya Israel kutokea kwenye mahandaki na wakaenda mpaka kwenye kituo cha mawasiliano ambacho kiko sehemu ya ulinzi mkali wakazibomoa kompyuta na kutenganisha nyaya.
Baada ya hapo ndipo mvua za makombora na kuvunja kuta za zege vilipoanza.Majenerali wa jeshi la IDF wa kusini na kaskazini walishindwa kuwasiliana na kujua kinachoendelea kwa takriban masaa 7.Walipata taarifa kutoka kwa wananchi juu ya walichokionaj ndipo wakaanza kujizoa zoa na kujipanga kuanza kujibu mapigo.
Muhimu ninachotaka kusema na kukuunga mkono ni kuwa binadamu tusiwe jeuri sana kwa kujiamini na hizi teknolojia ambazo ni kuwezeshwa na Mwenyezi Mungu.ilikuwa binadamu wazitumie vyema kutengeneza maisha ya akhera yao
Ukitumia vibaya neema za Allah s.w basi ni mara moja kukunyang'anya au kuwapa wengine teknolojia kuliko uliyonayo wewe.
Tunachoshuhudia Gaza kwa uhakika ni matumizi makubwa ya nguvu yasiyowahi kutumika kupiga watu dhaifu na hatimae hakuna ushindi kwa dhalimu isipokuwa ni kutumbukia shimoni kwa US na Israel mbele ya mcho ya walimwengu.
 
Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia.
Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi.
Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu kuweza kufanikiwa kulitia mkononi.
Urusi ilitumia silaha nzito kupambana na kikosi cha Azov kilichokuwa na silaha nzito na kusaidiwa na jeshi mama la Ukraine ambalo nalo lilikuwa na silaha nzito ikiwemo ndege za kivita.Hatimae kikosi cha Azov kilijichimia ndani ya mahandaki ya kiwanda cha Azovstal ambayo yalikusudiwa kujilinda kutokana na mashambulio ya nyuklia.
Katika kukamilsha .
Ili kukamilisha kulidhibiti eneo hilo Urusi ilitumia zaidi mizinga mizito kwa kuhofia kutumia ndege za kivita wakati Ukraine ilikuwa bado ina uwezo wa kuzitungua ndege za Urusi
Sehemu nyingine iliyoshuhudia vita vikali vilicyohusisha silaha nzito ni Bakhmut ambapo jeshi la Urusi chini ya vikosi vya Wagner vilivyoendeshwa na Prigozhin lilipigana kwa muda mrefu pembeni na ndani ya mitaa ya Bakhmut.Mwishowe vikosi vya jeshi la Ukraine vilishindwa.
Maeneo hayo mawili mapigano yalikuwa ni baina ya majeshi mawili makubwa yenye sialha nzito moja likisaidiwa na jumuiya ya nchi za NATO.
Tukija Gaza katika kumbukumbu za kivita hakuna jeshi liliotumia silaha nzito zaidi na zenye nguvu kuliko jeshi la Israel.Jeshi hilo limekuwa huru kutumia aina zote za silaha ilizonazo.Majumba ya ghorofa yameshuhudiwa yakiporomoka kama maboksi kwa sekunde chache.na kufukia wote waliokuwemo humo
Mashimo makubwa yamechimbuliwa na silaha hizo zinazopigwa kwa mfululizo usiku na mchana.Cha kushangaza na kinyume na Mariupol na Bakhmut silaha hizo nzito zinazosababisha moto unaoenea Gaza nzima na kusababisha ardhi kutetemeka zinatumika dhidi ya wanamgambo wa Hamas ambao silaha zao zote ni hafifu sana.
Mbali na kwamba mtu atasema huo ni ukatili lakini papo hapo atajiuliza mbona hazileti matokeo yaliyotajwa kama ndio malengo ya kupigwa kwa kiwango hicho.Malengo hayo ni kuwamaliza Hamas na kuwaokoa mateka.
Hapa ni wazi kuwa malengo yaliyotajwa ilikuwa ni sababu na ajenda zimebadilika.Lengo si kuwafuta Hamas pekee wala hakuna umuhimu mkubwa kuokoa mateka kwani kwa akili za kibinadamu inaonesha upigaji wa kiwango hiki kwa asilimia kubwa mateka watakufa pamoja na watekaji wao
Tofauti nyengine kati ya vita vya Mariupol na Bakhmut dhidi ya Gaza ni kuwa vita vya Gaza vinaoneshwa mubashara kupitia kamera zilizotegeshwa na mashirika mbali mbali ya habari yakiongozwa na Aljazeera.
Suali la kujiuliza ni jee ukali wa silaha zinazotumika na ukatili wa Gaza utaishia kwa kushindwa kwa Hamas tu au kuna kitu kingine Mwenyezi Mungu kakipanga kuwaonesha viumbe wake waovu katika kuwaokoa wao na adhabu ya moto mkali kuliko huo na ya milele.
Kwani Yeye siye yule aliyemuokoa mtume wake Ibrahim a.s kutoka katikati ya rundo la moto wa kuni.Moto ulipomalizika waliotaraji kuona majivu ya Ibrahim a.s wakamuona akiwa amekaa kitako yuhai.
Na jeeYeye siye Yule aliyemfanya Firauni akaukushanya umma wa watu wake washuhudie ushindi wake dhidi ya uchawi wa Mussa a.s.Matokeo yake Mussa akawa mshindi mbele ya macho yake na kuadhirika mbele ya aiowakusanya washuhudie ushindi huo.
Akili zako ni finyu ustaadh, Gaza hakuna vita pale acheni kujidanganya misikitini, Gaza kinachoendelea pale ni msako wa magaidi walio kimbilia kujificha kwenye mashimo bwana😁😁😁😁😁😁

Sasa hiyo vita unaozungumzia wewe ustaadh, sisi wengine mbona hatuioni? Hamas hawapo wote walikimbilia kujificha mashimo, wakikimbia msako wa IDF, na hata nyie maustaadh mnakiri wanaouawa ni watoto na wanawake tu na mnalilia ceasefire😁😁😁😁😁😁
 
Akili zako ni finyu ustaadh, Gaza hakuna vita pale acheni kujidanganya misikitini, Gaza kinachoendelea pale ni msako wa magaidi walio kimbilia kujificha kwenye mashimo bwana😁😁😁😁😁😁

Sasa hiyo vita unaozungumzia wewe ustaadh, sisi wengine mbona hatuioni? Hamas hawapo wote walikimbilia kujificha mashimo, wakikimbia msako wa IDF, na hata nyie maustaadh mnakiri wanaouawa ni watoto na wanawake tu na mnalilia ceasefire😁😁😁😁😁😁
Akili yako mbovu wala hujapata maudhui ya huu uzi.Vyenginevyo umesoma kichwa cha habari halafu ukajivutia shuka ukakoroma
 
Mkuu acha kufananisha Battelle ya Maliupol na Bhakhiumut na huo uozo unao endelea hapo gaza.

Ground ya miji hiyo ilikuwa inapiganwa na wanaume wakati kinacho endelea hapo gaza ni mapambano kati ya wahuni wa hamas na mashoga walio jaa woga na ukatiri mpaka matakoni kazi yao kuuwa wanawake na watoto maana ndo wanalo weza.
Allah akbarr!!! Maustaadh wamechanganyikiwa kila sikunde ni thread na wanajijibu wenyewe allah akbarrr!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣

7 oktoba mlifurahi kweli allah akbarr!!! mliongelea ushindi kwa allah!!! baada ya kubaka, kuua watoto, kuchoma watoto, kuteka na kila aina ya uovu mlioelekezwa kuwafanyia watoto.

Ukiua kwa upanga na wewe utauawa kwa upanga, hamkujua matokeo yake, leo hadi Misri, Jordan, Lebanon, Syria, Iran, nk, wamewatelekeza, moto mnaopata ni hatari, Mwenyezi Mungu awatangulie ndugu zangu allah akbarr!!😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Maoni yako yako vizuri sana.
Kwanza tukumbushe kuwa siku ya oktoba 7 Israel ilipigwa na kumewashangaza sana kwani waliamini kwa teknolojia waliyonayo hakuna mdudu atakayepenya.Vijana wa Hamas itakuwa waliweza kuudukua mfumo mzima wa mawasiliano wa Israel na siku ya tukio walianza kwa kuuzima kwenye maeneo ya kusini.Zaidi ya kuuzima kwa teknolojia za hack,vijana 10 kwenye pikipiki 5 waliingia ndani ya Israel kutokea kwenye mahandaki na wakaenda mpaka kwenye kituo cha mawasiliano ambacho kiko sehemu ya ulinzi mkali wakazibomoa kompyuta na kutenganisha nyaya.
Baada ya hapo ndipo mvua za makombora na kuvunja kuta za zege vilipoanza.Majenerali wa jeshi la IDF wa kusini na kaskazini walishindwa kuwasiliana na kujua kinachoendelea kwa takriban masaa 7.Walipata taarifa kutoka kwa wananchi juu ya walichokionaj ndipo wakaanza kujizoa zoa na kujipanga kuanza kujibu mapigo.
Muhimu ninachotaka kusema na kukuunga mkono ni kuwa binadamu tusiwe jeuri sana kwa kujiamini na hizi teknolojia ambazo ni kuwezeshwa na Mwenyezi Mungu.ilikuwa binadamu wazitumie vyema kutengeneza maisha ya akhera yao
Ukitumia vibaya neema za Allah s.w basi ni mara moja kukunyang'anya au kuwapa wengine teknolojia kuliko uliyonayo wewe.
Tunachoshuhudia Gaza kwa uhakika ni matumizi makubwa ya nguvu yasiyowahi kutumika kupiga watu dhaifu na hatimae hakuna ushindi kwa dhalimu isipokuwa ni kutumbukia shimoni kwa US na Israel mbele ya mcho ya walimwengu.
Nikishaona mpuuzi anaweka masuala ya mungu namuona mpuuzi!


Hakuna technology isiyokuwa na faults kadhaa. Mbona huzungumzii iron dome kupangua makombora 5000 hiyo sio faida ya technology!?

Ingekuwa ni nchi isiyokuwa na iron dome kupigwa makombora 5000 si nchi ingebaki magofu.




Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Allah akbarr!!! Maustaadh wamechanganyikiwa kila sikunde ni thread na wanajijibu wenyewe allah akbarrr!!!

7 oktoba mlifurahi kweli allah akbarr!!! mliongelea ushindi kwa allah!!! baada ya kubaka, kuua watoto, kuchoma watoto, kuteka na kila aina ya uovu mlioelekezwa kuwafanyia watoto.

Ukiua kwa upanga na wewe utauawa kwa upanga, hamkujua matokeo yake, leo hadi Misri, Jordan, Lebanon, Syria, Iran, nk, wamewatelekeza, moto mnaopata ni hatari, Mwenyezi Mungu awatangulie ndugu zangu allah akbarr!!
Mapumbavu hayo

Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
 
Akili yako mbovu wala hujapata maudhui ya huu uzi.Vyenginevyo umesoma kichwa cha habari halafu ukajivutia shuka ukakoroma
Mimi uwa siangaiki na ujinga wako huu, make najua unahitaji ceasefire, Netanyau kasema No! pole sana ustaadh🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Lakini pia, hakuna kamera iliyofungwa kuguatilia huu msako wa wanawake(Hamas) media zenu ustaadh, zinajaribu kufanya juu chini ceasefire ipatikane ok

Si hamuogopi kufa ustaadh, but nashangaa mmekimbilia mashimo kama panya, kwa taarifa yako Gaza imegawanywa mara mbili IDF washajimegea kipande chao🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia.
Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi.
Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu kuweza kufanikiwa kulitia mkononi.
Urusi ilitumia silaha nzito kupambana na kikosi cha Azov kilichokuwa na silaha nzito na kusaidiwa na jeshi mama la Ukraine ambalo nalo lilikuwa na silaha nzito ikiwemo ndege za kivita.Hatimae kikosi cha Azov kilijichimia ndani ya mahandaki ya kiwanda cha Azovstal ambayo yalikusudiwa kujilinda kutokana na mashambulio ya nyuklia.
Katika kukamilsha .
Ili kukamilisha kulidhibiti eneo hilo Urusi ilitumia zaidi mizinga mizito kwa kuhofia kutumia ndege za kivita wakati Ukraine ilikuwa bado ina uwezo wa kuzitungua ndege za Urusi
Sehemu nyingine iliyoshuhudia vita vikali vilicyohusisha silaha nzito ni Bakhmut ambapo jeshi la Urusi chini ya vikosi vya Wagner vilivyoendeshwa na Prigozhin lilipigana kwa muda mrefu pembeni na ndani ya mitaa ya Bakhmut.Mwishowe vikosi vya jeshi la Ukraine vilishindwa.
Maeneo hayo mawili mapigano yalikuwa ni baina ya majeshi mawili makubwa yenye sialha nzito moja likisaidiwa na jumuiya ya nchi za NATO.
Tukija Gaza katika kumbukumbu za kivita hakuna jeshi liliotumia silaha nzito zaidi na zenye nguvu kuliko jeshi la Israel.Jeshi hilo limekuwa huru kutumia aina zote za silaha ilizonazo.Majumba ya ghorofa yameshuhudiwa yakiporomoka kama maboksi kwa sekunde chache.na kufukia wote waliokuwemo humo
Mashimo makubwa yamechimbuliwa na silaha hizo zinazopigwa kwa mfululizo usiku na mchana.Cha kushangaza na kinyume na Mariupol na Bakhmut silaha hizo nzito zinazosababisha moto unaoenea Gaza nzima na kusababisha ardhi kutetemeka zinatumika dhidi ya wanamgambo wa Hamas ambao silaha zao zote ni hafifu sana.
Mbali na kwamba mtu atasema huo ni ukatili lakini papo hapo atajiuliza mbona hazileti matokeo yaliyotajwa kama ndio malengo ya kupigwa kwa kiwango hicho.Malengo hayo ni kuwamaliza Hamas na kuwaokoa mateka.
Hapa ni wazi kuwa malengo yaliyotajwa ilikuwa ni sababu na ajenda zimebadilika.Lengo si kuwafuta Hamas pekee wala hakuna umuhimu mkubwa kuokoa mateka kwani kwa akili za kibinadamu inaonesha upigaji wa kiwango hiki kwa asilimia kubwa mateka watakufa pamoja na watekaji wao
Tofauti nyengine kati ya vita vya Mariupol na Bakhmut dhidi ya Gaza ni kuwa vita vya Gaza vinaoneshwa mubashara kupitia kamera zilizotegeshwa na mashirika mbali mbali ya habari yakiongozwa na Aljazeera.
Suali la kujiuliza ni jee ukali wa silaha zinazotumika na ukatili wa Gaza utaishia kwa kushindwa kwa Hamas tu au kuna kitu kingine Mwenyezi Mungu kakipanga kuwaonesha viumbe wake waovu katika kuwaokoa wao na adhabu ya moto mkali kuliko huo na ya milele.Kwa maana vita vitakapomalizika kwa kushindwa Israel kufikia malengo ya wazi waliyoyataja basi binadamu wote watajua kuwa Mwenyezi Mungu ndiye mwenye nguvu na mshindi wa mwisho.
Kwani Yeye siye yule aliyemuokoa mtume wake Ibrahim a.s kutoka katikati ya rundo la moto wa kuni.Moto ulipomalizika waliotaraji kuona majivu ya Ibrahim a.s wakamuona akiwa amekaa kitako yuhai.
Na jeeYeye siye Yule aliyemfanya Firauni akaukushanya umma wa watu wake washuhudie ushindi wake dhidi ya uchawi wa Mussa a.s.Matokeo yake Mussa akawa mshindi mbele ya macho yake na kuadhirika mbele ya aiowakusanya washuhudie ushindi huo.
Mimi nashangaa nguvu kubwa inatumika kuitetea Gaza ambayo magaidi wake Hamas waliorusha maroketi 5000 Israel walioteka raia wa Israel naona waislamu na wasio waislamu mkipaza sauti kuwatetea raia wa Gaza wanaumia sioni nguvu kubwa kwa waislamu kuwatetea raia wa Ukraine wanauawa na urusi,miji ya Ukraine iliyoharibiwa na mingine kuchukuliwa na urusi ili hali Ukraine hakurusha hata maroketi urusi zaidi waislamu wengi mlimshabikia Putin kuipiga Ukraine niwaulize hivi mnatumia vigezo gani kutetea taifa lolote linalonewa

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Ninachojua Mimi matumizi ya technology kwenye masuala ya ulinzi kushinda ni rahisi lakini pia kushindwa ni rahisi zaidi kama ikitokea mtu akaingilia mifumo ya mawasiliano.
 
Nikishaona mpuuzi anaweka masuala ya mungu namuona mpuuzi!


Hakuna technology isiyokuwa na faults kadhaa. Mbona huzungumzii iron dome kupangua makombora 5000 hiyo sio faida ya technology!?

Ingekuwa ni nchi isiyokuwa na iron dome kupigwa makombora 5000 si nchi ingebaki magofu.




Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Kweli kila teknolojia ina mapungufu na hakuna sababu ya kuiona Israel kama Mungu kwa kuwa teknolia ya hali ya juu,
Kama yalitunguliwa 5000 mbona mengi yalipenya na kuleta vilio miji kadhaa ya Israel mpaka mji mkuu Tel Aviv.
Huo udhaifu Hamas waliusoma na kuufanyia kazi.
Wakileta mpya watu wataisoma tena.Usicheze na binadamu aliyepewa akili na Mungu.Ukitaka uishi vizuri duniani heshimu majirani zako
 
Back
Top Bottom