Unazungumza vitu gani lakini?? Operation Babarosa si ilianzishwa na jeshi la Hitler kwa kuivamia Urusi mapema mwaka 1941, Kama Hitler angetumia nguvu hizo hizo kuvamia Continental Europe -Ulaya nzima ingekuwa inazungumza kijerumani hivi sasa, kitu kingine Urusi haikuomba msaada kutoka Merikani vifaa vyote has a High Explosives,Malori na chakula cha makopo kwa ajili ya wanajeshi - vyote hivyo ilipewa kama mkopo siyo bure na wamerudisha/lipia mkopo huo mpaka kwenye miaka ya 1960s.
Bottom line is: Urusi ingeshinda vita with or without Americans' help hapo ndipo watu upenda penda sana ku-distort ukweli WA MAMBO, we unafikiri kwa nini kwa mfano Merikani ilidondosha mabom ya Nuclear Hiroshima na Nagasaki wakati wakijua Japan alikuwa mbioni kusitisha VITA, hapakuwepo umuhimu wowote WA kodondosha mabomu hayo Japan, Truman alitoa idhini ya kudondosha mabom hayo akiwa na lengo la kuzuia Jessi LA Urusi lisivamie Japan maana Urusi ilitangaza vita dhidi ya Japan baada ya kuishinda huko Manchuria, kilocho kuwa kinaendelea pale ni Truman kujaribu kumtunia misuri Stalin lakini Stalin ndani ya miaka mitatu akalipua LA kwake kuanzia hapo ndiyo arm race na cold war vikahibuka, soma kiundani madhumuni ya Urusi kuunda bomb LA Tzar LA Bomba karibu miaka sitini imekwisha pita tangu bomb hilo lijaribiwe na hakuna Taifa lolote lilo wahi kuvunja record ya nguvu za mlipuko WA Tzar La Bomba na kumbuka wana sayansi wali water down nguvu za Tzar La Bomba kutaka 100 Mega Ton za TNT to 50 MT, je kama lingebakia na 100 MT kungetokea nini, si ingekuwa balaa!! Hivi sasa wenzetu wana SARMAT, 100MT submarine drones, Hypersonic Missiles, Glide Vehicles, nuclear propulsion missiles ambazo zinaweza kubaki anga za juu miaka na miaka bila ya kuhitaji kuwa refueled - hawa watu siwa kuchezea, lakini wakitaka kuwajarobu let them try, yetu macho.