Acha kula D2 na ukarudia D1 bila kujisafisha. Ukiamua kula D2 kaa huko huko tu. Ndiyo njia ya kukwepa UTIBaada ya kwenda kupima na kukutwa na uti 34 nilianza kutumia amoxilline kama doze mbili ivi bila mafanikio ya kupona nikaamua kwenda duka la dawa ya uti ya dose ya siku chache nikapewa AZUMA ambayo nimeitumia kwa siku tatu ambayo dose nimemaliza jana usiku lakini nimeishia kupata nafuu kiasi tu lakini nahisi bado uti ipo haijaisha ,au nina uti sugu au AZUMA sio dawa sahihi nimeingizwa mjini au nina uti sugu mana sielewi,NAOMBENI USHAURI MANA NAOGOPA NIDIJESHINDWA KUGEGEDA PAPUCHI NIKIRUDI ARUSHA MANA NIPO RIKIZO SASA HIVI MORO YAPATA MWEZI SASA
Sijakuelewa mkuu d1 na d 2 ndo nini?Acha kula D2 na ukarudia D1 bila kujisafisha. Ukiamua kula D2 kaa huko huko tu. Ndiyo njia ya kukwepa UTI
Mkuu hapana, mi mwenyewe nashangaa nimeipataje mana nina mwezi mmoja sasa sijagegedaMwanaume UTI umeitoa wapi??..au mambo yenu ya kifirauni
Na hivi vihospitali uchwara ukienda tu unaumwa wanakuambia UTI..huwezi kuconfirm kuwa mtu ana UTI 100% bila kufanya culturing ni bacteria gani aliyeleta infection na ili pia iwe rahisi kutibu
Unapotumia antibiotics unatakiwa kuzingatia muda wa dawa, kumaliza dose na kuacha pombe.
Nielekeze jinsi ya kutumia naombaTumia Bicarbonate of soda
Huwezi kupona uti kama bado unakula/unakunywa/unatumia vitu vinavyo chochea bacteria wasababishaji kuzidi kuzaliana
Bicarbonate of soda nusu kijiko cha chakula,changanya na maji safi na salama ya kunywa kiasi cha Mils 400(nusu lita kasoro mils 100),koroga mpk B/soda iyeyuke,kunywa maji yote.Subiri baada ya dk 45 ndio unywe chai.Nielekeze jinsi ya kutumia naomba
YeaKweli unachosema natakiwa niache kula baadhi ya vyakula vya sukari mana naskia ni chakula cha bacteria
Doc ileUnapotumia antibiotics unatakiwa kuzingatia muda wa dawa, kumaliza dose na kuacha pombe.
Mimi si daktari bwana ila sindano hutibu haraka kwani inaingia moja kwa moja kwenye mzunguko wa damu wakati vidonge vinapitia tumboni kwanzaDoc ile
1. dose ya sindano ni effective kiasi gani ?
3. Ni kweli kwamba dose ya sindano inatibu haraka/kwa usahihi Severe UTI kuliko dose ya Vidonge ?
Vipi kuhusu usahihi. Kwamba sindano zinatibu vizuri UTI iliyokomaa kuliko vidonge ?Mimi si daktari bwana ila sindano hutibu haraka kwani inaingia moja kwa moja kwenye mzunguko wa damu wakati vidonge vinapitia tumboni kwanza
Umeshawahi kufukiria kuwa ni kwa nini baada ya ajali majeruhi walioumia sana wanapewa dawa kwa njia ya mishipa ta damu? Ni quick recovery and healing process.Vipi kuhusu usahihi. Kwamba sindano zinatibu vizuri UTI iliyokomaa kuliko vidonge ?
Hapo nimekupata docUmeshawahi kufukiria kuwa ni kwa nini baada ya ajali majeruhi walioumia sana wanapewa dawa kwa njia ya mishipa ta damu? Ni quick recovery and healing process.
Ushapima ukajua una UTI?Nataka nikanunue cipro kujitibu U.T.I je ni dawa nzuri itakayoniponesha?