fangasi

  1. M

    Fangasi za Ajabu zinawawatesa wanajeshi Israel, wafariki. Laana za Allah zawaandama

    Laana ya Allah imeweza kuwakumba majeshi ya Isreal. Jeshi linahaha kufanya uchunguzi wa maradhi haya ambayo yanawasumbua sana huku maradhi ya saikolojia ya kiakili kwa wanajeshi wa Isreal wakiwa yawawasumbua zaidi. === Leo ikiwa ni siku ya 81 ya mapambano kati ya Jeshi la Israel (IDF) na...
  2. T

    Msaada: Fangasi zinateketeza sehemu zangu za siri kwa kasi sana

    Wakuu, Ni muda sasa kumekuwa na fangasi kwenye pumbu zangu lakini sikuchukulia serious , kila nilipofatilia naambiwa ni usafi tu , basi naongeza usafi na precaution zingine huku maisha yakiendelea. Nimeishia nayo kama miaka sita hivi. Rate ya kueneaa kwake ilikuwa ndogo tu lakini kilichonistua...
  3. P

    Fahamu zaidi kuhusu chanzo na dalili za ugonjwa wa fangasi ukeni (Vaginal Candidiasis)

    UGONJWA WA FANGASI UKENI (VAGINAL CANDIDIASIS) Maambukizi ya fangasi sehemu za siri imekua ni tatizo kubwa sana Duniani 75% ya wanawake wote Duniani wanasumbuliwa na tatizo hili. Fangasi ukeni ni miongoni mwa magonjwa ambayo hutesa wanawake kwa namna mbalimbali. Husababisha miwasho, harufu...
  4. fundi bishoo

    Msaada: Nimepata fangasi kwenye ulimi

    E bwana kwema wakuu? Nna week ya pili inaenda hii nimepata fangasi /weupe kwenye ulimi sasa nilienda pharmacy nikaambiwa nI fangas ila hakuna maumivu yyte wakuu nkapewa dawa ya Miconazole Oromucosal gel BP ambayo nliambiwa nitumie kwa week lkn bado akupata mabadiliko yaan ilipungua kidg sana...
  5. V

    SoC02 Kudhibiti usugu wa dawa za kutibu magonjwa yanayo sababishwa na bakteria na kuvu (Fangasi) Tanzania

    KUDHIBITI USUGU WA DAWA ZA KUTIBU MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA BAKTERIA NA KUVU (FANGASI) TANZANIA. Usugu(Upinzani) wa dawa ni hali ambayo vijidudu kama bakteria na fangasi kuzishinda dawa ambazo zimeundwa kuziharibu na hilo husababisha mtu kushindwa kupona ugonjwa fulani unaosababishwa na...
  6. Kwa Imani

    Dawa ya maambukizi (fangasi) kwenye ulimi (geographical toungue).

    Msaada anayejua dawa ya maambukizi kwenye ulimi kwa jina la Geographical toungue kama inavyoonekana hapo kwenye picha. Niliambiwa ni upungufu wa vitamin C, nikaandikiwa dawa za Vitamin C, nikaambiwa nile vyakula vyenye Vitamin C lakini wapi. Je, kuna yeyote anafahamu huu ugonjwa na dawa yake...
  7. Frumence M Kyauke

    Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu za Siri (Vaginal Candidiasis)

    Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu...
  8. MDAU JR

    Msaada: Matibabu ya fangasi ukeni

    Hellow wadau! Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali na dawa nyingine nyingi zikiwemo za kuinset ukeni lakini hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka. Naomba...
  9. JamiiForums

    Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    Wadau wengi wamekuwa wakiumizwa na maradhi haya; hebu tuyaangalie kwa mapana yake: What Is a Urinary Tract Infection? About half of women will get a urinary tract infection or UTI at some point in life. It happens when germs infect the system that carries urine out of your body...
  10. Rajab_Omar

    Je, una tatizo la fangasi? pita hapa nikusaidie

    Kama unatatizo la Fangasi za Muda mrefu au Muda mfupi kwenye Nyeti zako (Corodani, Mapaja, na Jogoo) basi dawa yako ni hii 👇 Kanunue Vidonge vya Vitamin B Complex (Vit. BCO) then kwa siku 3 za mwanzo kunywa Viwili asubuhi na Viwili jioni (2×2). Baadae kwa Muda wa Siku 14 kunya Vidonge 2 kwa...
Back
Top Bottom