55#
kwa uti ilyo komaa uwez kuitibu kwa antbiotic za kawaida ila jarbu kumpatia AMOXCLAB
jamani wan JF naombeni msaada kwa hili! nina kaka yangu anasumbuliwa sana na UTI kama kuna mtu anafahamu dawa nzuri anielezee! ameshakunywa sana antibiotics (cipro,cephalexin,celexin etc) lakini wapi inatoka kwa muda then inarudi!
napendelea sana tiba asilia mwenye ujuzi amwage data
kwa uti ilyo komaa uwez kuitibu kwa antbiotic za kawaida ila jarbu kumpatia AMOXCLAB