Acha masihara.....au labda sijaona vizuri hebu andika vizuri hizo tarakimu
Hujui kazi yetu ni ya kujitolea au unafikiri we make profit...............Ok umesharusha ngapi?
Si mbaya!........ila ulivyo na heshima hapa jukwaani hebu ongeza angalau sufuri moja
usijali..........nifuate Simba kapakatwa Pub -Kijitonyama