DOKEZO URGENT: Binti wa miaka 16 ameozeshwa kwa lazima kama mke wa pili, huko Laela, Sumbawanga

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Dkt. Gwajima D , umefeli kutatua jambo dogo kama Hilo.

Maafisa uliowatuma wamechotewa mgao kwenye Mahari wewe ukaambiwa ametoroka. Hiyo RB haitadaidia, hata mtuhumiwa na mkewe wakikamatwa watoa maokoto na kuachiwa..

Next time ukipatiwa taarifa za namna hiyo tumia watu wenye weredi na sio hao maafisa maendeleo ya jamii.

Kumbuka, ulimwaguza sirro amkamate gwajiboy akakugomea na hili vijana wako wamekugomea na Kuna dalili wamepigia noti.


Naomba ujiuzulu Kwa kuwa unatoa amri zisizotekelezeka.

Mchizi amesema mtoto aolewe wazaz wakiridhia, sheria haisema waziri akiridhia.


Rekebisheni kwanza sheria mnawasumbua polisi Bure, na watawagomea kistaarabu.



Umeshindwa, jiuzulu uwaziri Dr Gwajima d
Sasa ndugu statistics jitokeze Sasa wewe uje utoe ushahidi wa haya yote Ili tuwaunganishe wote hao unaowatuhumu. Hii ndiyo iwe hatua ya kwanza kabisa, kupata ushirikiano toka kwako, maana mambo ya Jamii ni yetu wote. Mawasiliano yangu yote yako hapo au fika kituo chochote cha Polisi kaseme nimekuja na huu ushahidi. Mimi nitajulishwa sasa rasmi. Haya nasubiri. Mchana mwema na Baraka kwako.
 
Dkt Dorothy Gwajima, binafsi nikushukuru sana Kwa hatua ulizo chukua , lakini nikupongeze Kwa jinsi ulivyo jibainisha waziwazi kwenye jukwaa hili, Kwani wengine tumekuwa na uhakika kuwa kupitia JF baadhi ya taarifa zetu Huwa zinawafikia viongozi wetu. Tutaendelea kutoa ushirikiano kwenye wizara yako ili tuweze kukomesha kabisa ukatili wa kijinsia hasa Kwa watoto wetu. Hakika nimekuelewa sana. Mungu akubariki.
Karibu sana tushirikiane. Bila ushirikiano na jamii ni changamoto. Ahsante Sana kwa.muda wako na juhudi zako. Ubarikiwe.
 
Dkt. Gwajima D , umefeli kutatua jambo dogo kama Hilo.

Maafisa uliowatuma wamechotewa mgao kwenye Mahari wewe ukaambiwa ametoroka. Hiyo RB haitadaidia, hata mtuhumiwa na mkewe wakikamatwa watoa maokoto na kuachiwa..

Next time ukipatiwa taarifa za namna hiyo tumia watu wenye weredi na sio hao maafisa maendeleo ya jamii.

Kumbuka, ulimwaguza sirro amkamate gwajiboy akakugomea na hili vijana wako wamekugomea na Kuna dalili wamepigia noti.


Naomba ujiuzulu Kwa kuwa unatoa amri zisizotekelezeka.

Mchizi amesema mtoto aolewe wazaz wakiridhia, sheria haisema waziri akiridhia.


Rekebisheni kwanza sheria mnawasumbua polisi Bure, na watawagomea kistaarabu.



Umeshindwa, jiuzulu uwaziri Dr Gwajima d
Na kwa heshima nimerudi tena kwa faida yako na Jukwaa hili kuwa, taarifa ulizotoa wewe statistics siyo za kweli, jambo haliko hivyo. Labda unalenga kukatisha tamaa kazi nzuri iliyofanywa na Maafisa wetu wa Dawati la Jinsia na Watoto lililopo Jeshi la Polisi wakiwemo maafisa ustawi. Taarifa za kuhusu jinsi gani hatua zimechukuliwa, zitatolewa Ili jamii ifahamu jinsi gani Dawati la Jinsia na Watoto linafanya kazi kwa ushirikiano na jamii. Na tukitoa hiyo taarifa, ikikupendeza basi na wewe upate elimu hapo kuhusu ufanyaji kazi wa mifumo hii. Ubarikiwe Sana kwa kufuatilia kazi zetu. Tunahitaji ushirikiano wa Kila mwana jamii ikiwemo wako ndugu statistics. Mchana mwema na Baraka kwako.
 
Na kwa heshima nimerudi tena kwa faida yako na Jukwaa hili kuwa, taarifa ulizotoa wewe statistics siyo za kweli, jambo haliko hivyo. Labda unalenga kukatisha tamaa kazi nzuri iliyofanywa na Maafisa wetu wa Dawati la Jinsia na Watoto lililopo Jeshi la Polisi wakiwemo maafisa ustawi. Taarifa za kuhusu jinsi gani hatua zimechukuliwa, zitatolewa Ili jamii ifahamu jinsi gani Dawati la Jinsia na Watoto linafanya kazi kwa ushirikiano na jamii. Na tukitoa hiyo taarifa, ikikupendeza basi na wewe upate elimu hapo kuhusu ufanyaji kazi wa mifumo hii. Ubarikiwe Sana kwa kufuatilia kazi zetu. Tunahitaji ushirikiano wa Kila mwana jamii ikiwemo wako ndugu statistics. Mchana mwema na Baraka kwako.
Mama nikupe maua yako, yaani wewe ni lulu kwa taifa hili. Namna ambavyo umelifuatilia hili suala hadi sasa, japokua bado mafanikio hayajapatikana kwa asilimia 100, ila hadi sasa umechukua hatua muhimu kulifuatilia kwa haraka sana. Pia, namna ambavyo ume respond kwa baadhi ya wanaoku criticize humu, ni kwa busara na utulivu mkubwa. Mungu akubariki sana, usife moyo kwa comment za wanaoponda, bali zikupe nguvu zaidi. Wahenga wanasema 'uongozi ni jalala', kwa hiyo yapokee yote. Najua kama kiongozi huwezi kujieleza sana hapa kazi kubwa unayofanya kwa mfano katika suala la kuweka sawa hizo sheria zetu ambazo zimekaa tenge, na hili suala ni mtambuka na gumu, lina mambo mengi sana. Endelea kupambana, kwa sababu nina uhakika asilimia 100 kuwa unapambana sana kurekebisha hili kwa kutumia vyombo sahihi na forums sahihi kama kiongozi.
Mungu azidi kukubariki na kukutia nguvu, nakupa maua yako ukiwa bado una uwezo wa kuyanusa na kushuhudia umaridadi wake!!
 

Dkt. Gwajima D , umefeli kutatua jambo dogo kama Hilo.

Maafisa uliowatuma wamechotewa mgao kwenye Mahari wewe ukaambiwa ametoroka. Hiyo RB haitadaidia, hata mtuhumiwa na mkewe wakikamatwa watoa maokoto na kuachiwa..

Next time ukipatiwa taarifa za namna hiyo tumia watu wenye weredi na sio hao maafisa maendeleo ya jamii.

Kumbuka, ulimwaguza sirro amkamate gwajiboy akakugomea na hili vijana wako wamekugomea na Kuna dalili wamepigia noti.


Naomba ujiuzulu Kwa kuwa unatoa amri zisizotekelezeka.

Mchizi amesema mtoto aolewe wazaz wakiridhia, sheria haisema waziri akiridhia.


Rekebisheni kwanza sheria mnawasumbua polisi Bure, na watawagomea kistaarabu.



Umeshindwa, jiuzulu uwaziri Dr Gwajima d
Ndugu yetu mpendwa Statistics na wote kwenye Jukwaa: ni dhahiri ndugu katika JMT 🇹🇿 wapeanapo taarifa sahihi katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia na kwa watoto, hapo ndipo hujenga jamii njema yenye umoja katika kuikabili vita hii.

Ni hivi; ni kweli mtoto alitoroka kama nilivyotoa mrejesho awali. Baada hapo, Maafisa wa Dawati la Jinsia walifuatilia hadi Kijijini ambako, walifanikiwa kutumia mbinu zilizowezesha kumpata Binti huyo na hata Sasa Yuko mikono salama na taratibu mbalimbali zinaendelea kwa mujibu wa mwongozo wa Dawati.

Sasa hizi habari za kuwa fulani kapewa rushwa, tafadhali mwenye taarifa sahihi afike kwenye vyombo rasmi kusaidia Ili kama kweli kuna mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wakamatwe, kwani kazi ya Jamii ni yetu wote wapendwa.

AOB: utaratibu wa jamii kupatana Ili kuficha na kudhulumu haki haufai, jamii ibadilike.

Haya mbarikiwe wote kila mmoja kwa kadri alivyochangia. Usiku mwema kwenu wote na Baraka🙏🏽
 
Mama nikupe maua yako, yaani wewe ni lulu kwa taifa hili. Namna ambavyo umelifuatilia hili suala hadi sasa, japokua bado mafanikio hayajapatikana kwa asilimia 100, ila hadi sasa umechukua hatua muhimu kulifuatilia kwa haraka sana. Pia, namna ambavyo ume respond kwa baadhi ya wanaoku criticize humu, ni kwa busara na utulivu mkubwa. Mungu akubariki sana, usife moyo kwa comment za wanaoponda, bali zikupe nguvu zaidi. Wahenga wanasema 'uongozi ni jalala', kwa hiyo yapokee yote. Najua kama kiongozi huwezi kujieleza sana hapa kazi kubwa unayofanya kwa mfano katika suala la kuweka sawa hizo sheria zetu ambazo zimekaa tenge, na hili suala ni mtambuka na gumu, lina mambo mengi sana. Endelea kupambana, kwa sababu nina uhakika asilimia 100 kuwa unapambana sana kurekebisha hili kwa kutumia vyombo sahihi na forums sahihi kama kiongozi.
Mungu azidi kukubariki na kukutia nguvu, nakupa maua yako ukiwa bado una uwezo wa kuyanusa na kushuhudia umaridadi wake!!
Ubarikiwe, neema ya Mungu itatufunika hata ikamilikapo kazi hii kwa zamu tuliyopewa kwa kusudi lake. Hatutakata tamaa wala kurudi nyuma. Ni mbele. 🤲🙏
 
Ndugu yetu mpendwa Statistics na wote kwenye Jukwaa: ni dhahiri ndugu katika JMT 🇹🇿 wapeanapo taarifa sahihi katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia na kwa watoto, hapo ndipo hujenga jamii njema yenye umoja katika kuikabili vita hii.

Ni hivi; ni kweli mtoto alitoroka kama nilivyotoa mrejesho awali. Baada hapo, Maafisa wa Dawati la Jinsia walifuatilia hadi Kijijini ambako, walifanikiwa kutumia mbinu zilizowezesha kumpata Binti huyo na hata Sasa Yuko mikono salama na taratibu mbalimbali zinaendelea kwa mujibu wa mwongozo wa Dawati.

Sasa hizi habari za kuwa fulani kapewa rushwa, tafadhali mwenye taarifa sahihi afike kwenye vyombo rasmi kusaidia Ili kama kweli kuna mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wakamatwe, kwani kazi ya Jamii ni yetu wote wapendwa.

AOB: utaratibu wa jamii kupatana Ili kuficha na kudhulumu haki haufai, jamii ibadilike.

Haya mbarikiwe wote kila mmoja kwa kadri alivyochangia. Usiku mwema kwenu wote na Baraka🙏🏽

Asate sana mheshimiwa Dkt. Gwajima D , sikuwa na nia ya kukukatisha tamaa, lakini Kwa polisi ya Tanzania, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na maafisa maendeleo/ustawi Moja ya majukumu yao ni kukusanya rushwa za ndoa za utotoni na wanafunzi.


Mtendaji wa Kijiji au afisa maendeleo mwenye mwaka mmoja kazini Kwa tgs b2 ana ng'ombe 25 na hana mkopo popote, je amezipata wapi na kwao ni masikini?

Mkuu, mie ni mdau wako lakini ukiwapelekea polisi au WEOs wapiga maokoto na danadana kibao.


Kwa sakata hili watavuta muda usahau na upepo utulie Kisha "anatoroka tena".


Vinginevyo piga amshaamsha ya adabu. Atakayekukwamisha umfyeke, kama ni rpc ongea vzr na mama amle kichwa.

NB, kesi za mimba Kwa watoto na wanafunzi huku mitaani sio issue tena, hata ukidakwa uko kifuani Kwa mtoto ukiwa mpooele na "mfuko umetuna" utalala selo siku mbili wakivuta upepo mwanasiasa gani anafuatilia.

Nikipata taarifa za ukatili nitakutaarifu kupitia jf pm
 
Asate sana mheshimiwa Dkt. Gwajima D , sikuwa na nia ya kukukatisha tamaa, lakini Kwa polisi ya Tanzania, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na maafisa maendeleo/ustawi Moja ya majukumu yao ni kukusanya rushwa za ndoa za utotoni na wanafunzi.


Mtendaji wa Kijiji au afisa maendeleo mwenye mwaka mmoja kazini Kwa tgs b2 ana ng'ombe 25 na hana mkopo popote, je amezipata wapi na kwao ni masikini?

Mkuu, mie ni mdau wako lakini ukiwapelekea polisi au WEOs wapiga maokoto na danadana kibao.


Kwa sakata hili watavuta muda usahau na upepo utulie Kisha "anatoroka tena".


Vinginevyo piga amshaamsha ya adabu. Atakayekukwamisha umfyeke, kama ni rpc ongea vzr na mama amle kichwa.

NB, kesi za mimba Kwa watoto na wanafunzi huku mitaani sio issue tena, hata ukidakwa uko kifuani Kwa mtoto ukiwa mpooele na "mfuko umetuna" utalala selo siku mbili wakivuta upepo mwanasiasa gani anafuatilia.

Nikipata taarifa za ukatili nitakutaarifu kupitia jf pm
Ndugu yetu statistics na wapendwa wote humu salaam. Ni kweli kabisa huwa wako watu fulani fulani ambao wao binafsi hupoteza uadilifu na kufanya yao kinyume na utaratibu na miongozo ya utumishi wa umma. Ndiyo maana nabeba wajibu wa kuisogeza wizara ya Jamii mikononi mwa jamii Ili tushirikiane wote kuwaibua watu aina hii Ili mamlaka zao za nidhamu ziwajue zichukue hatua kwa haki maana hii ni Wizara mtambuka (multisectoral). Hivyo, naendelea kutoa wito wa ushirikiano.

Ubarikiwe Sana sana, karibu Sana wakati wote, na nikichelewa kuona humu basi tumia mawasiliano yetu CALL CENTER YA WIZARA au hata namba zangu NITUMIENI SMS, Hakika nitajibu. Jamii yetu Fahari Yetu 🇹🇿 Kila la Heri 🙏🏽
 
Tatizo lako unaongea assumption kwenye hili suala, umeulizwa una uthibitisho kuwa rushwa imetoka kwenye hili suala? Unaongea kitu huna uhakika
Asate sana mheshimiwa Dkt. Gwajima D , sikuwa na nia ya kukukatisha tamaa, lakini Kwa polisi ya Tanzania, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na maafisa maendeleo/ustawi Moja ya majukumu yao ni kukusanya rushwa za ndoa za utotoni na wanafunzi.


Mtendaji wa Kijiji au afisa maendeleo mwenye mwaka mmoja kazini Kwa tgs b2 ana ng'ombe 25 na hana mkopo popote, je amezipata wapi na kwao ni masikini?

Mkuu, mie ni mdau wako lakini ukiwapelekea polisi au WEOs wapiga maokoto na danadana kibao.


Kwa sakata hili watavuta muda usahau na upepo utulie Kisha "anatoroka tena".


Vinginevyo piga amshaamsha ya adabu. Atakayekukwamisha umfyeke, kama ni rpc ongea vzr na mama amle kichwa.

NB, kesi za mimba Kwa watoto na wanafunzi huku mitaani sio issue tena, hata ukidakwa uko kifuani Kwa mtoto ukiwa mpooele na "mfuko umetuna" utalala selo siku mbili wakivuta upepo mwanasiasa gani anafuatilia.

Nikipata taarifa za ukatili nitakutaarifu kupitia jf pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana Mhe. Waziri Dkt. Gwajima D kwa muda wako wa kuwasiliana na sisi wananchi hapa jf Mungu alibariki sana uwe na siku njema.
 
Asate sana mheshimiwa Dkt. Gwajima D , sikuwa na nia ya kukukatisha tamaa, lakini Kwa polisi ya Tanzania, wenyeviti wa vijiji, vitongoji na maafisa maendeleo/ustawi Moja ya majukumu yao ni kukusanya rushwa za ndoa za utotoni na wanafunzi.


Mtendaji wa Kijiji au afisa maendeleo mwenye mwaka mmoja kazini Kwa tgs b2 ana ng'ombe 25 na hana mkopo popote, je amezipata wapi na kwao ni masikini?

Mkuu, mie ni mdau wako lakini ukiwapelekea polisi au WEOs wapiga maokoto na danadana kibao.


Kwa sakata hili watavuta muda usahau na upepo utulie Kisha "anatoroka tena".


Vinginevyo piga amshaamsha ya adabu. Atakayekukwamisha umfyeke, kama ni rpc ongea vzr na mama amle kichwa.

NB, kesi za mimba Kwa watoto na wanafunzi huku mitaani sio issue tena, hata ukidakwa uko kifuani Kwa mtoto ukiwa mpooele na "mfuko umetuna" utalala selo siku mbili wakivuta upepo mwanasiasa gani anafuatilia.

Nikipata taarifa za ukatili nitakutaarifu kupitia jf pm
Sasa wewe mwenzako kumiliki ng'ombe 25 inakuuma sana, acha roho mbaya, husuda na unafiki watu kama nyie ndo baadae mnakuwa wachawi na wengi wenu ni wavivu, ng'ombe 25 zinakutoa povu na vipi kama huyo alikuwa na mali kabla ya kuajiriwa? Siku hizi watu wanafanya biashara kimya kimya sio lazima aje kukutangazia.

Mshamba kabisa.
 
Mkuu unaus bei ya cow,?
Sasa wewe mwenzako kumiliki ng'ombe 25 inakuuma sana, acha roho mbaya, husuda na unafiki watu kama nyie ndo baadae mnakuwa wachawi na wengi wenu ni wavivu, ng'ombe 25 zinakutoa povu na vipi kama huyo alikuwa na mali kabla ya kuajiriwa? Siku hizi watu wanafanya biashara kimya kimya sio lazima aje kukutangazia.

Mshamba kabisa.
 
Shukrani, ubarikiwe
Mheshimiwa hakika umeonyesha na kudhihiirisha kua ww ni kiongozi bora na cyo bora kiongozi, umeonyesha busara katika kujibu maswali na hoja za wadau hapa kwenye jukwaa kwa Busara na Hekima, Mungu asimame na ww katika kila hatua unayopiga na Historia itakukumbuka
 
Mheshimiwa hakika umeonyesha na kudhihiirisha kua ww ni kiongozi bora na cyo bora kiongozi, umeonyesha busara katika kujibu maswali na hoja za wadau hapa kwenye jukwaa kwa Busara na Hekima, Mungu asimame na ww katika kila hatua unayopiga na Historia itakukumbuka
Shukrani, ubarikiwe, Kila la Heri kwako pia. Mungu mwenye Neema ya Hekima ipitayo kiasi azidi kutuongoza kwenye utumishi wetu daima. Amina🙏
 
Ndugu yetu mpendwa Statistics na wote kwenye Jukwaa: ni dhahiri ndugu katika JMT 🇹🇿 wapeanapo taarifa sahihi katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia na kwa watoto, hapo ndipo hujenga jamii njema yenye umoja katika kuikabili vita hii.

Ni hivi; ni kweli mtoto alitoroka kama nilivyotoa mrejesho awali. Baada hapo, Maafisa wa Dawati la Jinsia walifuatilia hadi Kijijini ambako, walifanikiwa kutumia mbinu zilizowezesha kumpata Binti huyo na hata Sasa Yuko mikono salama na taratibu mbalimbali zinaendelea kwa mujibu wa mwongozo wa Dawati.

Sasa hizi habari za kuwa fulani kapewa rushwa, tafadhali mwenye taarifa sahihi afike kwenye vyombo rasmi kusaidia Ili kama kweli kuna mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wakamatwe, kwani kazi ya Jamii ni yetu wote wapendwa.

AOB: utaratibu wa jamii kupatana Ili kuficha na kudhulumu haki haufai, jamii ibadilike.

Haya mbarikiwe wote kila mmoja kwa kadri alivyochangia. Usiku mwema kwenu wote na Baraka🙏🏽
Habari mheshimiwa waziri, hongera sana kwa kazi nzuri.
Ningependa kufahamu muendelezo wa mrejesho zaidi kuhusu hili suala, je limefika wapi hadi sasa? Binti amesharudi kwa wazazi? Wazazi wamechukuliwa hatua kisheria?
Dkt. Gwajima D
 
Back
Top Bottom