Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,067
- 4,739
Hongera sana mheshimiwa, inatia moyo kuona bado kuna viongozi wawajibikaji. Pongezi nyingi sana kwako
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa tayari, nimepokea, nampigia sasa hivi. Huwa napatikana binafsi kwa ujumbe kupitia simu namba 0765345777 na 0734124191. Pia siku hizi Wizara tumezindua JAMII CALL CENTER siku na saa za kazi simu na. 0734986503 na 026 2160250. Karibuni sana Wadau JF na jamii yote kwa ujumla. Umoja ni nguvu, ukatili wa kijinsia haukubaliki.
Sent using Jamii Forums mobile app