Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,688
- 4,633
Ninyi endeleeni tu binti...
too much is harmful you women..!!
Lete stori mkuu,ilikuwaje?Kuna kisa kimoja cha ukweli, mwanamke alisababisha kifo cha mpenziwe kwa sababu ya hizo kucha za kubandika ila ni zile za mikononi.
uyu ndo yule malaika mtoa roho au!!!Urembo gani huu jamani kha!too much is harmful you women..!!
too much is harmful you women..!!
naamini nimesamehewa,...
Lete stori mkuu,ilikuwaje?
Umesamehewa na mwaah (kwenye vidimpoz vyako)
Kinaziba wewe mmh wataalamu wapo
kinazibika sana lumanyisa
tena naweza kukiondoa kabisa
akiamka asbh anakuta holaaaa!!
Mmmh!!! unaolewa tena daughter?