Kutikisa kiuno ni urembo?

Kavideo huna?
Yupo mmoja kwenye mitandao ya short clip ka anawazimu ,yaani hajali,kapo kajizungu hivi kamejazia jazia tume namba 8 ,nalinganisha na hawa wa kwetu hana tofauti.
yaani ka tupo kijiweni basi sote inatokea ghafla tupo kimya,aafu tunasema kapita shetani.
sijajua kwanini wanamitetemo aafu unakuta kila mmoja na mtikiso wake?
 
Yupo mmoja kwenye mitandao ya short clip ka anawazimu ,yaani hajali,kapo kajizungu hivi kamejazia jazia tume namba 8 ,nalinganisha na hawa wa kwetu hana tofauti.
yaani ka tupo kijiweni basi sote inatokea ghafla tupo kimya,aafu tunasema kapita shetani.
sijajua kwanini wanamitetemo aafu unakuta kila mmoja na mtikiso wake?
Neema za Allah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom