Urais 2015: UKAWA waanza safari

Urais 2015: UKAWA waanza safari

Ukweli ni kuwa,wengi tunapenda Dr.Slaa awe mgombea wa UKAWA lakini kumbuka CUF teyari wanakusudia kuwasilisha jina la Lipumba mezani hivyo tusijipe uhakika wa asilimia mia.

..mgombea wa Upinzani atapatikana kwa kupishwa na mwenzake.

..CUF watakuwa na mchango mkubwa zaidi kama watatoa mgombea mwenza kutokea Zanzibar.

..Prof.Lipumba asigombee ubunge, bali azunguke nchi nzima akimnadi mgombea Uraisi na mgombea mwenza kwa ticket ya Ukawa.

..tena itakuwa vizuri zaidi kama wenyeviti wote wa Ukawa hawatagombea Ubunge safari hii, badala yake kazi yao iwe kuzunguka maeneo mbalimbali ya Tanzania wakiwanadi wagombea wa Ukawa.

cc Ben Saanane, Nguruvi3, Molemo, Mag3
 
Last edited by a moderator:
kwani umri wake na wasira au pinda ni tofauti ?!! au afya yake utailinganisha na Mamvi!!?

Usijustify kosa kwa kulinganisha na kosa jingine, huu ni.ushauri wa afya kwake, hata MUSHUMBUSHI anaukubali
 
Uko sahihi...tulipata shida sana Geita...mjini kwenye S/M...wenzetu wanaomba tugawane mitaa ilhali wao hawana mizizi hata ofsi tu....tukaparaganyika tukakubaliana basi kila mwana ukawa asimamishe mgombea. ..CDM tulichakaza vibaya...tukifuatiwa na CCM....Cuf.vyama vingine walikuwa wanaambulia kura 5...



Mkubwa mambo ni vipi?? Tuna mengi ya kuongea kama una chanzi nicall!!!!
 
Kwa tathimini ya uchaguzi wa 2010 ambapo Dr. Slaa alishika nafasi ya pili, kama vyama vya ukawa havina ubinafsi na baadhi yake kutumika na ccm, ukawa wangekubaliana kumsimamisha Dr. Slaa angalau kwa miaka mitano na baadaye angefuata mgombea kutoka CUF kwa kuwa umri wa Dr. Kwa 2020 utakuwa umekwenda though Mugabe na 91 bado yuko madarakani.
 
Dr.Slaa akigombea atarudia kura zake za mwaka 2010.Hana jipya.
Hakubaliki Zanzibar na ukanda mzima wa Pwani. Mweneo yaliyobaki kama Dodoma ,Tabora,Kigoma , Rukwa,Mbeya,Ruvuma,Iringa,Morogoro,Singida,Arusha,Manyara atashindwa na CCM kiujumla au atagawana kura na CCM.
Mikoa atakayoweza kuizidi CCM ni Kilimanjaro pekee tena kwa kura chache kwani bado huwa kuna tofauti chache za kura.

Kifupi hapata kuwa na jipya kwa Slaa.
Ana uwezo wa kujenga hoja lakuni hana mvuto wa kuvuta hisia za watu awapo jukwaani kama alivyo Mbowe,Mbatia,Maalim Seif,Lowasa,Kinana ,Nape,Kikwete,Obama,Zuma,Zito,Mnyika,Lema,Ole Semdeka,Mtatiro n.k.
Slaa bado anatoa hotuba za Kipadri padri.
Kura alizokua amezipata Slaa sio kwa sababu ya mvuto wake kihotuba na kisiasa bali ni Chama chake kimekua ni chama kilichokubalika kwa wakati huu.
Tuachane na huyu padri ili CCM wasipate pa kuwaghilibu waislam.

Karata nzuri ni ya kijana Tundu Lisu ndani ya CDM
 
Kwani chadema wameshateua mgombea? Kama ni dr vipi kuhusu mwenyekiti dj wa zamani?? Ina maana chadema hakunnzaidi ya dr?? Vyama vingine vina uongozi wa kiimla.....nikitamani siku moja kuwa mwanasiasa kwa siasa za tz, nitajiunga ACT chama cha kizalendo.
 
Kwani chadema wameshateua mgombea? Kama ni dr vipi kuhusu mwenyekiti dj wa zamani?? Ina maana chadema hakunnzaidi ya dr?? Vyama vingine vina uongozi wa kiimla.....nikitamani siku moja kuwa mwanasiasa kwa siasa za tz, nitajiunga ACT chama cha kizalendo.

Act inakufaa kwa kuwa akili zako zimekaa ki ccm ccm
 
Dr.Slaa akigombea atarudia kura zake za mwaka 2010.Hana jipya.
Hakubaliki Zanzibar na ukanda mzima wa Pwani. Mweneo yaliyobaki kama Dodoma ,Tabora,Kigoma , Rukwa,Mbeya,Ruvuma,Iringa,Morogoro,Singida,Arusha,Manyara atashindwa na CCM kiujumla au atagawana kura na CCM.
Mikoa atakayoweza kuizidi CCM ni Kilimanjaro pekee tena kwa kura chache kwani bado huwa kuna tofauti chache za kura.

Kifupi hapata kuwa na jipya kwa Slaa.
Ana uwezo wa kujenga hoja lakuni hana mvuto wa kuvuta hisia za watu awapo jukwaani kama alivyo Mbowe,Mbatia,Maalim Seif,Lowasa,Kinana ,Nape,Kikwete,Obama,Zuma,Zito,Mnyika,Lema,Ole Semdeka,Mtatiro n.k.
Slaa bado anatoa hotuba za Kipadri padri.
Kura alizokua amezipata Slaa sio kwa sababu ya mvuto wake kihotuba na kisiasa bali ni Chama chake kimekua ni chama kilichokubalika kwa wakati huu.
Tuachane na huyu padri ili CCM wasipate pa kuwaghilibu waislam.

Karata nzuri ni ya kijana Tundu Lisu ndani ya CDM
kwataarifa yako ukawa hawaangalii sura au bashasha kama za baba riz...
UKAWA wanaangalia jembe litakalolima eneo lolote ndani ya nchi hii tukuka.
maamuzi ya ukawa ni kuhakikisha wanaiokoa nchi kutoka kwenye mikono ya utawala dhalim na dhalili huu tulionao sasa.
maamuzi yatakayofanywa na UKAWA yatakuwa ni maamuzi sahihi kwa pande zote ndani ya taifahili tukufu.
wananchi wapenda maendeleo tupo tayari kwa lolote litakalo amuliwa chini ya mwamvuli wa UKAWA.
 
Mgombea wa UKAWA ni Prof Lipumba, msomi, Ana busara, Hana Jazba. Hana misimamo mikali
 
Nilipenda Sana Shemeji Yake karume yule aliyekamatwa na bunduki na risasi ndani ndiye awe mgombea mwenza wa Dr slaa kwa hali hiyo hata karume atatoa mchango mzuri kwa UKAWA
 
Binafsi sipendekezi Dr. Slaa kugombea kupitia UKAWA.. Uwezo wake wa kuzungumza na Wananchi kwa Ushawishi ni mdogo na pia Mvuto wake Umepungua.. Ningeshauri Tundu Lissu au Abdallah Safari Apendekezwe kugombea Mara hii.
 
Ukawa, umma wa watanzania unawategemea nyie, kinamama, watoto, vijana -Mwenyezi Mungu awatangulie katika mchakato huu - nyie ndiyo tegemeo lao pekee.

Kumbukeni kushidwa kwenu basi ni kuirudisha Tanzania miaka 20 nyuma, kwani wananchi watakata tamaa kabisa.

Tuleteeni mgomea wa URAIS anayekubalika miongoni mwenu then tuachieni muione kazi yetu.
 
Dr.Slaa akigombea atarudia kura zake za mwaka 2010.Hana jipya.
Hakubaliki Zanzibar na ukanda mzima wa Pwani. Mweneo yaliyobaki kama Dodoma ,Tabora,Kigoma , Rukwa,Mbeya,Ruvuma,Iringa,Morogoro,Singida,Arusha,Manyara atashindwa na CCM kiujumla au atagawana kura na CCM.
Mikoa atakayoweza kuizidi CCM ni Kilimanjaro pekee tena kwa kura chache kwani bado huwa kuna tofauti chache za kura.

Kifupi hapata kuwa na jipya kwa Slaa.
Ana uwezo wa kujenga hoja lakuni hana mvuto wa kuvuta hisia za watu awapo jukwaani kama alivyo Mbowe,Mbatia,Maalim Seif,Lowasa,Kinana ,Nape,Kikwete,Obama,Zuma,Zito,Mnyika,Lema,Ole Semdeka,Mtatiro n.k.
Slaa bado anatoa hotuba za Kipadri padri.
Kura alizokua amezipata Slaa sio kwa sababu ya mvuto wake kihotuba na kisiasa bali ni Chama chake kimekua ni chama kilichokubalika kwa wakati huu.
Tuachane na huyu padri ili CCM wasipate pa kuwaghilibu waislam.
😡
Karata nzuri ni ya kijana Tundu Lisu ndani ya CDM

Nakubaliana na wewe 100% kusema karata nzr ni kwa Tundu Lisu
 
Dr Slaa anaongoza kwa wagombea urais. Wabunge wa upinzani mwaka huu watakuwa wengi
 
7e8efdf1a36b896de9a4e990a50a458b.jpg
 
Back
Top Bottom