Urais 2015: UKAWA waanza safari

Urais 2015: UKAWA waanza safari

Wanapaswa kuendelea kujipanga Mungu awaepushe na tamaa za kisiasa na uroho wa madaraka!!!!watafanikiwa
 
kwataarifa yako ukawa hawaangalii sura au bashasha kama za baba riz...
UKAWA wanaangalia jembe litakalolima eneo lolote ndani ya nchi hii tukuka.
maamuzi ya ukawa ni kuhakikisha wanaiokoa nchi kutoka kwenye mikono ya utawala dhalim na dhalili huu tulionao sasa.
maamuzi yatakayofanywa na UKAWA yatakuwa ni maamuzi sahihi kwa pande zote ndani ya taifahili tukufu.
wananchi wapenda maendeleo tupo tayari kwa lolote litakalo amuliwa chini ya mwamvuli wa UKAWA.





Suala la msingi ni mgombea atakayeleta ushindi kwa Ukawa.
Kwa hali ya kawaida kabisa DR. Slaa hana maadili mema kwenye jamii iliyostarabika.

Ktk jamii iliyostaarabika watu wote wanatafuta pesa na maendeleo au utajiri kulingana na sheria zilizopo. Lakini hakuna mtu anayekubaliana na suala la kuingilia na kuchafia ndoa za watu.
Huu ndio uliojulikana kama ufisadi tangu enzi za Manabii wetu watukufu.Na adhabu yake ilikua ni kupigwa mawe mpaka kufa.Uchafu wa Dr.Slaa mbele za Mwenyezi Mungu unaadhabu kali kuliko kawaida.Uzinzi ni jambo baya kwani linapoteza uadilifu.
Maadili ya dunia nzima yanapotea kutokana na uzinzi na ulevi wa kupindukia.
Wizi na ujambazi mara nyingi huishia kwenye matumizi ya uzinzi na ulevi.
Mara Nyingi mtu asiyeweza kudhibiti hivi vitu viwili hawezi kuwa mwadilifu katika mambo mengine yote.
Watu wanahonga wanawake vyeo na mara nyingine kuua waume za watu ili tu wapate nafasi ya kujihalalishia michepuko yao.Unategemea DR.Slaa akipata urais yule Mume halali wa mchumba wa Slaa atabaki salama.Je,ataweza kuendelea na kesi yake ya kudai fidia ya kuvurugiwa ndoa yake?Je,Dr.Slaa ataweza kulinda rasilimali za nchi wakati hawezi kudhibiti nafsi yake hata pale anapoambiwa kuwa mke aliyenaye ni mke wa mtu lakini bado anaendelea kuzini naye?

Kwa saikolojia tu ya kawaida inonyesha kuwa Dr.Slaa akiingia madarakani hataweza kumdhibiti Mbowe ,Lema,Ndesamburo, na huyo mchumba wake .

Na pia Dr.Slaa hawezi kuuzika kwenye kundi la wakina mama ambao ni wengi kwani ameonekana kuwa hawezi kuihandle familia hata moja ukianzia na ya kwake mwenyewe.
''Mzee mzima tena Padri anakua na hawara!!!''.Angehama hata dhehebu ili tujue kuwa amejitoa kwenye ukatoliki.
Anachafua sakramenti takatifu ya ndoa halafu anajinadi kuwa ikulu ni mahali patakatifu?
Anachukua mke wa mtu wakati wanawake wasio na waume wako wengi.!!!
Huu ndio ufisadi ,mtumishi wa Mungu nasema.!

Pia Suala la upadri bado ni tatizo kwenye jamii ya kiislam na madhehebu mengine ya kikristo tofuti na RC. Hii nchi waislam na madhehebu mengine ni zaidi ya 60%.Hivyo Huwezi kuyapuuza haya masuala kwenye jamii ya watu wa imani tofauti ,huku zote zikilaani suala la zinaa.
Je,kwa nini tujaribu kushindwa huku tukiwa tunaona wazi.

Nina uhakika Mwaka 2005 kama sio kifo cha mgombea mwenza wa Mbowe na ile hali ya Kikwete kukubalika mpaka kuitwa chaguo la Mungu ,Mbowe angepata kura nyingi sana kuliko Dr.Slaa 2010.
Dr.Slaa alikua hana mvuto pamoja na ukweli kuwa wananchi wenyewe wameshaichoka CCM.

Ukweli ni kuwa ndani ya CDM hakuna mtu anayefaa saaana kuuzwa kwa wapiga kura kwa sasa zaidi zaidi ya Lisu na Zito.

Kama mnabisha wekeni mdahalo wa kuwapima hawa watu.Slaa atadhalilika.
 
Ukawa waanza safari ya kutafuta mgombea wa urais, kukutana jumanne kuanza mikakati ya kupata mgombea wa kiti hicho, ubunge majimbo na udiwani kata zote.

Tuwasaidie kwa hapa kuwapa mwanga, kwa kila sehemu husika.

SOURCE: Mwananchi Leo.
kp10122013.jpg
 
Suala la msingi ni mgombea atakayeleta ushindi kwa Ukawa.
Kwa hali ya kawaida kabisa DR. Slaa hana maadili mema kwenye jamii iliyostarabika.

Ktk jamii iliyostaarabika watu wote wanatafuta pesa na maendeleo au utajiri kulingana na sheria zilizopo. Lakini hakuna mtu anayekubaliana na suala la kuingilia na kuchafia ndoa za watu.
Huu ndio uliojulikana kama ufisadi tangu enzi za Manabii wetu watukufu.Na adhabu yake ilikua ni kupigwa mawe mpaka kufa.Uchafu wa Dr.Slaa mbele za Mwenyezi Mungu unaadhabu kali kuliko kawaida.Uzinzi ni jambo baya kwani linapoteza uadilifu.
Maadili ya dunia nzima yanapotea kutokana na uzinzi na ulevi wa kupindukia.
Wizi na ujambazi mara nyingi huishia kwenye matumizi ya uzinzi na ulevi.
Mara Nyingi mtu asiyeweza kudhibiti hivi vitu viwili hawezi kuwa mwadilifu katika mambo mengine yote.
Watu wanahonga wanawake vyeo na mara nyingine kuua waume za watu ili tu wapate nafasi ya kujihalalishia michepuko yao.Unategemea DR.Slaa akipata urais yule Mume halali wa mchumba wa Slaa atabaki salama.Je,ataweza kuendelea na kesi yake ya kudai fidia ya kuvurugiwa ndoa yake?Je,Dr.Slaa ataweza kulinda rasilimali za nchi wakati hawezi kudhibiti nafsi yake hata pale anapoambiwa kuwa mke aliyenaye ni mke wa mtu lakini bado anaendelea kuzini naye?

Kwa saikolojia tu ya kawaida inonyesha kuwa Dr.Slaa akiingia madarakani hataweza kumdhibiti Mbowe ,Lema,Ndesamburo, na huyo mchumba wake .

Na pia Dr.Slaa hawezi kuuzika kwenye kundi la wakina mama ambao ni wengi kwani ameonekana kuwa hawezi kuihandle familia hata moja ukianzia na ya kwake mwenyewe.
''Mzee mzima tena Padri anakua na hawara!!!''.Angehama hata dhehebu ili tujue kuwa amejitoa kwenye ukatoliki.
Anachafua sakramenti takatifu ya ndoa halafu anajinadi kuwa ikulu ni mahali patakatifu?
Anachukua mke wa mtu wakati wanawake wasio na waume wako wengi.!!!
Huu ndio ufisadi ,mtumishi wa Mungu nasema.!

Pia Suala la upadri bado ni tatizo kwenye jamii ya kiislam na madhehebu mengine ya kikristo tofuti na RC. Hii nchi waislam na madhehebu mengine ni zaidi ya 60%.Hivyo Huwezi kuyapuuza haya masuala kwenye jamii ya watu wa imani tofauti ,huku zote zikilaani suala la zinaa.
Je,kwa nini tujaribu kushindwa huku tukiwa tunaona wazi.

Nina uhakika Mwaka 2005 kama sio kifo cha mgombea mwenza wa Mbowe na ile hali ya Kikwete kukubalika mpaka kuitwa chaguo la Mungu ,Mbowe angepata kura nyingi sana kuliko Dr.Slaa 2010.
Dr.Slaa alikua hana mvuto pamoja na ukweli kuwa wananchi wenyewe wameshaichoka CCM.

Ukweli ni kuwa ndani ya CDM hakuna mtu anayefaa saaana kuuzwa kwa wapiga kura kwa sasa zaidi zaidi ya Lisu na Zito.

Kama mnabisha wekeni mdahalo wa kuwapima hawa watu.Slaa atadhalilika.

si bure wewe ni wa kupimwa makalio yako
 
Kuelekea uchaguzi mkuu ni muda mfupi tu umebakia, Ili chama kiibuke kidedea panatakiwa timu imara ya ushindi inayoundwa na wanaokampeni yaani first eleven. Jee ukilinganisha UKAWA na CCM timu zao unaweza kujua nani ataibuka kidedea . Hebu fikiri ni kina nani wanaweza kubeba upande wao na kuibuka kidedea?
 
Ushindi siyo tim pekee kaka na pia kukublika kwa hito timu, so hapo tunaona umuhimu wa chamavhusika katika mchango wa kuisaidia timu ya ushindi vinginevyo utakuwa na timu y ukweli ila
wannchi hawataki hata kukisikia chama chenyewe

Ni takari.
 
Ndugu Yangu Umesahau Mshindi kwa Chaguzi za Bongo ya leo Unategemea :-

1. Team ya Mgombea na Kiasi Cha Pesa alichonacho Mkononi.

2. Mapenzi na Utashi wa Tume inayosimamia Uchaguzi.

3. Kuzilinda Kura hadi Kutangazwa Mshindi Kwa upande wa Upinzani.

4. Mwelekeo wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika Kutenda haki na Kujikita kwenye weledi.

5. Mshindwa Kukubali Kushindwa.
 
mleta hoja upo shallow sana. hoja gani hii?
 
Nakumbuka katika hall meeting iliyoandaliwa na kituo cha ITV wakati wa uchaguzi mwaka 2010,Dr Wilbrod Peter Slaa alipata kuzungumzia mambo mengi sana ambayo alipanga kuyafanya endapo atapewa ridhaa ya kuongoza nchi,lakini nilivutiwa zaidi na hoja zake mbili ambazo ni;

(1) kuwepo kwa udhaifu mkubwa kwenye mfumo na muundo wa serikali na utawala ambavyo unasababisha mwingiliano wa kimajukumu,yaani mamlaka zaidi ya moja kufanya kazi moja,kwamfano mkuu wa mkoa na mkurugenzi wa mkoa.

Akasema kwamba haoni umuhimu wa kuwepo kwa vyeo vya wakuu wa wilaya kwakuwa majukumu yao ni ya kichama zaidi na wanafanya shughuli za chama yaani CCM wakiwa serikalini na huku wakilipwa mishahara na posho kwa pesa za umma.

Kwamba wakuu wa wilaya ni makada wa CCM na wanatambulika katika katiba ya chama,aliapa kufanya mabadiliko makubwa ya kimuundo na kimfumo ikiwemo kuvifyeka baadhi ya vyeo ili kuondoa huu mkanganganyiko na kuongeza ufanisi wa kiutendaji wa serikali pamoja na kuokoa fedha za serikali zinazopotea bure.

(2) Aliahidi kushughulikia tatizo la miundombinu ya usafirishaji kama dharula.Alilizungumzia suala hili kwa msisitizo na uzito mkubwa kiasi cha kufananisha umuhimu wa miundombinu na mishipa ya damu mwilini katika kuziunganisha sehemu mbalimbali za nchi(mkoa hadi mkoa,wilaya hadi wilaya,kata hadi kata,na kijiji hadi kijiji).

Akasema ataleta treni itembeayo kwa kasi na kuifanya Tanzania kuwa taifa la kwanza katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kuwa na usafiri wa aina hiyo.

Nimefurahishwa na kuvutiwa na Dr Slaa baada ya kusikiliza hoja hizo mbili hapo juu.Sio Siri,ili tutoke hapa kwenye huu mkwamo tunahitaji kiongozi atakayezitambua changamoto halisi zinazolikabili taifa na namna ya kuzishughulikia.

Taifa hili linakabiliwa na changamoto kubwa za kimuundo na kimfumo zilizopitwa na wakati zinazochangia kukawia kwa maendeleo ya kiuchumi pamoja na utoaji wa huduma za kijamii usioridhisha kwa wananchi.Pia tunahitaji kiongozi mwenye maono ya kimaendeleo (vision).

Dr Slaa ana mambo yote hayo,kwa bahati mbaya sana kwa upande ule wa pili yaani CCM hajaonekana mgombea mwenye uwezo na sifa za kuliongoza taifa la Tanzania.

Angalau January Makamba ameandika kitabu chake kutuonyesha namna atakavyolijenga taifa hili,lakini akashindwa kuzitambua changamoto hizi muhimu ambazo kama hazitapatiwa dawa basi rais ajaye hata akiwa na mawazo mazuri kiasi gani hakuna atakalofanikiwa.

Ndiyo maana nikasema kwamba katika watu wote wanaofikiriwa kugombea urais au ambao wameshatangaza kugombea urais,ni Dr Wilbrod Peter Slaa tu ndiye mwenye uwezo wa kuliongoza hili jahazi linaloelekea kuzama kwakuwa alishatueleza kwa mapana nini alitanyia hili taifa na atafanyaje.

Dr Wilbrod Peter Slaa ni kwaajili ya mabadiliko!
 
  • Thanks
Reactions: jme
Leo unaskia watu fulani wenye nakisi ya uadilifu kwenye chama kilichoshindwa kwa Miongo zaidi ya 5(Nusu Karne) wanaibuka na kujifanya eti wao wana uwezo mkubwa sana wa kuliongoza kwa ufanisi taifa hili kwa kipindi hiki


Kama hatutatua suala la mfumo wetu mbovu ni ngumu kuleta mageuzi

Uchaguzi wa Mwaka ni uchaguzi wa njia ya mpito kuelekea mageuzi makuu ya kimfumo

Ni uchaguzi utakaoamua hatima ya Tanzania kama Mwanafamilia miongoni mwa familia kubwa ya kimataifa

Ni hatima ya vijana,akina Mama,wazee wa sasa na wa baadae wa taifa hili

Huu sio mwaka kufanya mchezo ule wa kutafuta kisafi katika jalala

Turudi katika misingi ya waasisi wa Taifa letu,tuangalie Dunia ambayo ni jamii pana inayoi-accomodate Tanzania inaelekea wapi

Tumepata nafasi mpya tena ya kistaarabu kufanya maamuzi.Hakuna atakayezuia maamuzi ya kuamua hatima yetu kama Umma wa Watanzania
 
Alivyoomba ridhaa kwa Josephine alitekeleza yote...? Je kwa nchi ataweza kama ya Ufipa yanamshinda...z
 
Dr slaa ndiye tunaye mtegemea
ccm kwisha habari yake awana mtu wa kumsimamisha tena waliopo wote tulishawazoea kwa Maneno yao
 
Kura yangu na wengine wengi tutampa cha msingi ni kusimamia kura zeu zisichakachuliwe ili apewe ushindi wake.
Na sisi wananchi tuwe tayari kwa mabadiliko makubwa ya kimfumo yatakayotutoa hapa tulipo! Uwajibikaji kwa maana ya uchapa kazi kwa kila mtu uwe umeajiriwa au hukuajiriwa utaleta ufanisi mkubwa sana ktk uzalishaji kwa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom