URAIS 2015: Pinda Vs Lowassa

okay wale wa team pinda mnahitajiwa huku.
Team lowasa kaeni pembeni kwa sasa, team nchemba
msilete majungu, team muhongo muda wenu bado..
Team...........

Ccm kuna mabaka si utani.
asante baba kueleza ukweli
 
Kuna watu hawaelekei kuwa maraisi kabisaa huyu pinda mmoja wapo km sura yake ilivokuwa mbaya na nchi yetu itachukua sura mbaya duniani na hapati hata kwa ligi
 
Hivi wewe umetumwa.Jamani,Pinda, kaa!Ni Pinda mwingine au huyu huyu anayelia na kulalama badala ya kutatua matatizo ya Watanzania.
 

Akiingia ikulu tutapigwa kweli kweli
 

Alishindana na nani?
 

Huyu mkuu ndo kasema kweli kabisa, ivi hakuna mtanzania mwingine wa kupewa nchi hii kuongoza hadi tufikirie kumpatia mtu aliyefukuzwa kazi ya PM na bunge la jamhuri ya muungano tanzania tena kwa tuhuma za ufisadi high level.
ivi hata dunia watatucheka na kutuona wapuuzi na wajinga,yule jamaa hasafishiki tena kaoza mno.
Sija m trust sana pinda na ofcourse hana mvuto lakini naona kama hatuoni mwingine basi bora tumpe huyo huyo jamaa wa kulialia.japo naona kuna candidates wengine ccm wapo fit sana kama hili jamaa la barabara.
 
Hivi kama mtu analia unategemea atachukua uamuzi gani katika taifa hili.pinda afai
 












Mkuu;uko vyema & mzalendo kabisa. Wengine tunaamua kumpigia upatu #Pinda humu ndani just kujibu na kupinga hoja za hawa vijana wa Luwasa!!

Mtu ni mchafu hadi inaboa ujue! As for me,nilipumua kidogo(kwa upande wa CCM) baada ya Mizengo kutangaza nia (kimyakimya). Maana wengne walotangulia akiwemo Lowasa, ni #ngedere tu kwenye mashamba ya mahindi. Uozo. Anagalau PINDA unaweza ukamnadi kwa ushahidi kabisa kuwa ni Muadilifu & Mzalendo hakika.

Umeongelea suala la hili libwana la Barabara, sipendi kukupinga. Liko vyema mno. Ila,naamini efficiency yake inaweza kuonekana endapo atakuwa under someone! Magufuli ni mzuri sana. ila,yuko more "" #EMOTIONAL "".

Needs someone above to govern & control his deeds.

Vinginevyo,naomba kukupongeza tu kwa uwazi na utashi wako usiopenda kutangamana na makundi ya ajabuajabu (kama ya akina Lowasa-WEZI).
 

Lowassa hajatangaza nia
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya taswira ya kumchagua rais kutoka ccm haijaota mizizi:inatupasa kusoma nyakati watanzania wanazopita kwa sasa.Wengi sasa wanaamini wamekuwa masikini kwa sababu ya ufisadi Wa serkali ya sisiem.Na bahati mbaya ushahidi Wa escrow umetokea sawia na kuvikataa vipengele mhimu vya katiba ya time ya jaji warioba.katika Hali hii nyuso za wabongo wengi zinaonyesha kukatishwa tamaa na serial I hii.Tuombe Mungu isitokee kashifa nyingine kabla ya octoba
 

Mkuu, watanzania hawahitaji rais MPOLE na MNYENYEKEVU bali wanahitaji rais MTENDAJI na MWENYE UWEZO. Kama sifa ya urais ni upole, unyenyekevu, ukarimu na uzuri, basi hata mimi nafaa kuwa rais wa Tanzania (ijapokuwa sijawahi kushika wadhifa wowote hata wa uMONITA wa darasa)....nitatangaza nia basi kama vigezo vya uraisi wa nchi hii ni rahisi kiasi hicho. Ikiwa Pinda amelia mara mbili yangu awe PM, je akiwa rais atalia mara ngapi? Mwacheni mzee wa watu akalime na kufuga nyuki huku akila pensheni yake ya uwaziri mkuu. Ni afadhli Chenge awe rais wa nchi hii kuliko Pinda.
 
Alishindana na nani?
Haya HG ndio mambo gani unauliza ama ni issue zako za How are You kiswahili cha Mombasa Hawa si yule na mambo ya Ghasia mtu unauliza nini sasa hiki?...........Mwinisita mzima...aibu pole sanaaa na hakika historia haitajiludia.Ndio maana kumbe kauri ya nshazoea...kwa swali hili ningekuwa nunda ningemwaga ...saa ukiwa GT basi staha jambo la muhimu.
 

Jibu swali:

By FaizaFoxy

Alishindana na nani?

Kama ni kivuli, sema tu usione haya.
 
Kwa CCM Ni zamu ya Zanzibar sasa.
Tumempata mwadilifu wa waadilifu.Augustino Ramadhani anatosha ndani ya CCM.
 
Rais anayesema hata hajui kwa nini wananchi wake ni maskini?rais gani huyo?pinda amepinda kama jina lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…