sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Kaka sixgates ndo jaramba la kujiunga na ccm limeanza nini? maana huko kusifia
Nchemba leo umejitahidi sana kaka kuja kistaarabu na kujibu kistaarabu sana, achilia mbali mapungu yako mengi leo angalau!
Mkuu Ba E's thenx siku zote nmekuwa nina mawazo huru sema hampendi kuyasikia. Sijakutana na mwigulu kwa sababu nataka kujiunga ccm ila nlikutana nae katika maisha ya mimi kuwa mwanafunzi na yeye kuwa mwanafunzi at udsm. That all.
Otherwise naona sio mbaya kukisaidia chama kilichopo madarakani kw sababu ndicho kinachoongoza,kina dola sina sababu ya kutokuiunga na kuisuport serikali yetu chini ya Rais Kikwete mtu ninayemheshim sana.
Last edited by a moderator: