Urais 2015, kundi langu ni CCM

Urais 2015, kundi langu ni CCM

Mwigulu haya majibu kama ungeyatoa kule kwenye thread yangu yangependeza zaidi.

Lakini hata hivyo wacha niseme matatu tu hapa kwa sasa;

Nimetoa maelekezo hayo mikoani na wilayani kwa barua. Haiwezekani nitoe maelekezo kuwazuia wenzangu halafu mimi niwe kwenye kundi lililowazuia wenzangu. Ndio maana sijawahi shiriki kikao, mazungumzo yeyote ya kundi la mgombea, wakala wa mgombea au mgombea.

Mkuu taarifa zilizopo chini ya kapeti zinapasha kuwa katika barua ulizosambaza mikoani na wilayani ukitoa maelekezo ya namna ya kuhakikisha kwamba mgombea wako Lowasa anawekewa mazingira mazuri ya kupeperusha bendera ya ccm come 2015.

Zoezi hilo linatajwa kufanyika kwa ustadi mkubwa sana kiasi kwamba mwanzoni wagombea wengine hawakuwa na shaka yoyote hadi pale walipokuja kubaini kuwa tayari mgombea mwenzao ameanza kuwazidi kete, amekuwa akipata mialiko mbalimbali kwenda mikoani na wilayani kwa mgongo wa kufanya shughuli za kijamii lakini kumbe ndio kampeni zenyewe hizo za kujipanga na kinyang'anyiro.

Nikuulize swali Mwita, umekiri mwenyewe kuwa wanaccm wanamatumaini makubwa namimi ya kuwavusha, umekiri pia kuwa napendwa na vijana.

Nimesema unapendwa na kutegemewa na vijana wengi wa ccm ukilinganisha na viongozi wengine wa ccm. Na hiyo inatokana na ukweli kwamba uvccm iko icu na angalau kwa mbali wewe unaonekana kutaka kuinusuru ccm kutokana na siasa zako chafu unazofanya ukivitumia vyombo vya dola kuwaangamiza wapinzani wenu wa kisiasa na hapa nawazungumzia makamanda wa Chadema ambao ndio tishio la utawala wenu wa zaidi ya miaka 50.

ULIWAHI KUNIULIZA BINAFSI NIKAKWAMBIA SIGOMBEI HATA UHANGAIKE KUBASHIRI KUWA MIKI NIMFUASI WA KUNDI FULANI.? MIMI NI KIUNGO NA KIONGOZI WA CCM NA MAKUNDI YOTE NDANI YA CCM.

Nadhani umenisoma kwa pupa ndio maana hukunielewa. Nilichoandika ni kwamba pamoja na kwamba wewe ni naibu katibu mkuu lakini unatajwa kumuunga mkono mgombea mmoja-nikabainisha kuwa ni Lowasa. Hata hivyo katika bandiko langu nilisema kuwa kwa upande mwingine wewe mwenyewe unajipanga kuwania uraisi incase mgombea unayemuunga mkono atakuwa hauziki na hana mvuto miongoni mwa wanaccm. Kwahiyo sijaku rule out kwamba huna mpango wa kugombea kabisa, isipokuwa unapiga jaramba kiaina kama mgombea mbadala, just in case.
 
Mwigulu Nchemba in short nlikuwa nakuchukia sana, ila nakumbuka we had a time tukaongea last week japo hatukuzungumzia siasa but I realized una akili sana and you ar good at heart.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ukifanya siasa safi utakuwa huna kundi ila siasa hizi za kuchanganya na masuala ya kusema una ushahidi utautoa hadi mbinguni sio nzuri.

Mob usichanganye mambo. Nakushauri fanya uchunguzi kabla ya kuamini au kutoamini. Jihangaishe kidogo tu
 
kiwofu lini umekuwa msemaji wangu? unapata faida gani kung'ang'aniza.?

The Film Director...Mzee wa Ushahidi wa Mbinguni na duniani...kidogooo...wa duniani ukabuma.....tunausubiri wa mbinguni mkuu......Eti mkuu zile picnic zako za kula ubwabwa marekani zilikua za kwako binafsi au za CCM?
 
Mob usichanganye mambo. Nakushauri fanya uchunguzi kabla ya kuamini au kutoamini. Jihangaishe kidogo tu

Mkuu..The Film Director...Lile fumanizi la Publicity director wako...a.k.a Nepe ulilipangaje mkuu?...nataka kufanya fumanizi pia...nipe mbinu mkuu....
 
Thanx sixgates. watu wengi hawanijui vizuri.

Mkuu mi nakuchukia sana kwa sababu una roho ya kishetani...Huwezi kumtembeza mgonjwa wa uso bwana Tesha Mussa na kumtumia kama kinyago...kumtembeza kumfanyia show.....Mkuu huo ni ushetwani the Film Director
 
Thanx sixgates. watu wengi hawanijui vizuri.

tunakujua kama mropokaji na gaidi namba moja tanzania,kwa ufupi ni hatari kwa usalama wa taifa letu
mbona umekuwa mpole leo kulikoni?nape kasema ile safari uliyoenda kuzurura marekani na UK haina baraka za chama,unajua nape ni kundi la sitta na wewe ni lowassa lakini mwenyekiti wenu alivyokuwa mjanja kawachanganya pamoja makusudi mparuane ampenyeze asha migiro wake anayemtaka.!!!!
 
Mob usichanganye mambo. Nakushauri fanya uchunguzi kabla ya kuamini au kutoamini. Jihangaishe kidogo tu
9.jpg
 
wingi wa matusi ni ishara kuwa wengi waliokuwa na mtazamo kama wa Mwita Maranya(ambao walitakiwa kufikiwa na ujumbe) tayari wamesoma na kuelewa msimamo wako, suala la kupinga/kutukana halikuhusu-GO ON KIONGOZI, badilikeni kidogo tu mfanye kazi-bado tuna imani kubwa na ninyi kuliko YANAYOENDELEA SASA HIVI NDANI YA CHADEMA-hatukujua kama ni SACCOS ya KANDA na kwamba maamuzi sio ya kichama bali ya WENYE HISA ZAO
 
Thread ya Mwita Maranya ilikuwa inabeba ujumbe ndani yake kwa wenye fikra pevu kwa kutumia jina lako kama kiwakilishi lakini vile vile ninakubaliana na wewe kulitolea ufafanuzi kuondoa mafundo mafundo kwa sababu Tanzania imebarikiwa watu wachache kuelewa mantiki ya ujumbe unaotolewa.

Ninaamini unafahamu mantiki ya ujumbe lakini pia ninakubaliana na wewe kuwa njia iliyotumika kufikisha ujumbe inaleta picha nyingine katika macho ya wanaCCM wasiofahamu mantiki ya hoja iliyoletwa.

Deep down, lazima utakuwa na kundi ndani ya CCM hata kama wewe unataka kuwa mgombea basi nalo ni kundi lakini kwa vile kwa sasa hii hoja iko ndani ya political correctness kama ulivyobainisha, huwezi kusema ukweli.

Siasa bana.
 
Mkuu acha kuropoka, usifikiri kila saa tunazungumzia siasa tu. Kuna maisha zaidi ya siasa.

Ni kweli mkuu...Kuna mabomu pia ...Jamaa wa Ushahidi wa Mbinguni unaona mambo yake hayo......

MAJANGAAAA.jpg
 
Back
Top Bottom