Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, TISS ambaye gazeti la SAUTI HURU limesema jina lake linalo kwenye mabano ameingia matatani baada ya kukiri kujiingiza katika siasa za Chama cha Mapinduzi , CCM.
Imedaiwa pia kuwa kibosile huyo wa zamani wa TISS Amemrubuni Mwenyekiti wa NCCR, James Mbatia ili aweze kuwashawishi Wakatoliki na UKAWA ili kumuunga mkono LOWASSA.
source: SAUTI HURU.
Imedaiwa pia kuwa kibosile huyo wa zamani wa TISS Amemrubuni Mwenyekiti wa NCCR, James Mbatia ili aweze kuwashawishi Wakatoliki na UKAWA ili kumuunga mkono LOWASSA.
source: SAUTI HURU.