Urais 2015: Bosi mstaafu TISS matatani

Urais 2015: Bosi mstaafu TISS matatani

Huyo Boss aangalie wasije waka MKOMBE lol maana mpaka leo najiuliza kwanini KOMBE aliuwawa vibaya namna ile pamoja na kujisalimisha !!!
 
Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, TISS ambaye gazeti la SAUTI HURU limesema jina lake linalo kwenye mabano ameingia matatani baada ya kukiri kujiingiza katika sia
Imedaiwa pia kuwa kibosile huyo wa zamani wa TISS Amemrubuni Mwenyekiti wa NCCR, James Mbatia ili aweze kuwashawishi Wakatoliki na UKAWA ili kumuunga mkono LOWASSA.

View attachment 180970

source: SAUTI HURU.

Thatha umekurupuka. Lowasa sio mkatoliki, ni mrutheli, atakama atatakushinda urais ambayo ni ngumu atahitaji uungwaji mkono sio tu na wakatolic bali madhehebu na dini zote. Mstaafu Apson kuwa mkurugenzi/meneja wa kampeini sio dhambi ni haki yake. Cha msingi kwake yeye na zaidi kwa watanzania atwambie kwa uwazi na bila kuwa na kificho atawafanyia nini watanzania na wapi atato fedha kughalimia hicho anachotuahidi. Bado tunakumbuka ahadi tulizopewa mwaka 2010 bila kujua zinatekelezwaje.
 
Nadhani taarifa inamlenga Apson Mwang'onda, Mkurugenzi wa TISS mstahafu. Waliopo maadili ya kazi yanawabana. Hawawezi kujiingiza kwenye siasa za makundi

Hivi imeandikwa wapi kuwa kama mtu aliwahi kuwa usalama wa Taifa haruhusiwi kufanya siasa yoyote, mbona Marando, Mrema wanafanya siasa? CCM yamewabana sana kwa Lowasa huyu jamaa mnayemhusudu hamuwezi Lowasa , Lowasa anawezwa na Dr. Slaa pekee sio maccm yaliyobaki, kama mnabishi aje Pinda, Wasira January muona wanavyoangukia pua
 
Magazeti mengi habari wanachukua JF. Ni bora ushinde ukisoma jf kuliko kusoma magazeti!
 
Huwezi kupata uraisi kama wewe siyo sehem ya usalama wa taifa,Lowasa ajitathmin mno,
 
Thatha umekurupuka. Lowasa sio mkatoliki, ni mrutheli, atakama atatakushinda urais ambayo ni ngumu atahitaji uungwaji mkono sio tu na wakatolic bali madhehebu na dini zote. Mstaafu Apson kuwa mkurugenzi/meneja wa kampeini sio dhambi ni haki yake. Cha msingi kwake yeye na zaidi kwa watanzania atwambie kwa uwazi na bila kuwa na kificho atawafanyia nini watanzania na wapi atato fedha kughalimia hicho anachotuahidi. Bado tunakumbuka ahadi tulizopewa mwaka 2010 bila kujua zinatekelezwaje.

Na wewe umekurupuka lowassa sio mrutheli ni mlutheri
 
sasa na wewe hii habari si wameitoa humu, eti jina kwenye mabano wakati ndugu chabruma kashaweka yote humu jamvini. tatizo la makundi linakusumbua na malipo ya post.
 
Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, TISS ambaye gazeti la SAUTI HURU limesema jina lake linalo kwenye mabano ameingia matatani baada ya kukiri kujiingiza katika siasa za Chama cha Mapinduzi , CCM.
Imedaiwa pia kuwa kibosile huyo wa zamani wa TISS Amemrubuni Mwenyekiti wa NCCR, James Mbatia ili aweze kuwashawishi Wakatoliki na UKAWA ili kumuunga mkono LOWASSA.

View attachment 180970

source: SAUTI HURU.
Habari zenu wanajamvi;-
Kwa mara ingine tena mh. waziri wa ardhi ambaye mwanzoni alikua mkurugenzi mkuu umoja wa mataifa Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka katoa safu yako mpya ya ushindi,
1. UADILIFU
2. UZALENDO
3. UCHAPA KAZI
3. TANZANIA NA WANANCHI KWANZA MAS ALA BADAE
4. RASILIMALI ZA TAIFA ZITUMIKE KWA MASLAHI YA WATANZANIA NA WANANCHI KWA UJUMLA
5. KUTATUA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
6. KUBORESHA HUDUMA ZA KIJAMII KM SHULE, HOSPITALI, MIUNDOMBINU N.K
7. KUTOKUWA NA MAKUNDI NA KUNDI ILI KUEPUKA KWENDA IKULU NA KUNDI LAKE
8. KUTEKELEZA ILANI YA CCM NA SEREKALI KWA UJUMLA
9. KUDHIBITI MAPATO NA KUONDOA UMASIKINI SAMBAMBA NA KUINUA UCHUMI ILI WASIOJIWEZA KUPEWA POSHO N.K
10. N.K
NAWASILISHA NDG. ZANGU.
 
TISS sio wajinga, hawawezi kujiingiza huko, msiwagombanishe na wananchi

nashangaa haya magazeti yanakurupuka tu kuandika upuuzi bila kujali hiyo ni sekta nyeti haitakiwi kuzungumzwa kwa mambo ya kipuuzi
 
Habari zenu wanajamvi;-
Kwa mara ingine tena mh. waziri wa ardhi ambaye mwanzoni alikua mkurugenzi mkuu umoja wa mataifa Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka katoa safu yako mpya ya ushindi,
1. UADILIFU
2. UZALENDO
3. UCHAPA KAZI
3. TANZANIA NA WANANCHI KWANZA MAS ALA BADAE
4. RASILIMALI ZA TAIFA ZITUMIKE KWA MASLAHI YA WATANZANIA NA WANANCHI KWA UJUMLA
5. KUTATUA TATIZO LA AJIRA TANZANIA
6. KUBORESHA HUDUMA ZA KIJAMII KM SHULE, HOSPITALI, MIUNDOMBINU N.K
7. KUTOKUWA NA MAKUNDI NA KUNDI ILI KUEPUKA KWENDA IKULU NA KUNDI LAKE
8. KUTEKELEZA ILANI YA CCM NA SEREKALI KWA UJUMLA
9. KUDHIBITI MAPATO NA KUONDOA UMASIKINI SAMBAMBA NA KUINUA UCHUMI ILI WASIOJIWEZA KUPEWA POSHO N.K
10. N.K
NAWASILISHA NDG. ZANGU.


hebu toa uchafu hapa,huyu mama ni mgojwa halafu hajitambui
 
Thatha umekurupuka. Lowasa sio mkatoliki, ni mrutheli, atakama atatakushinda urais ambayo ni ngumu atahitaji uungwaji mkono sio tu na wakatolic bali madhehebu na dini zote. Mstaafu Apson kuwa mkurugenzi/meneja wa kampeini sio dhambi ni haki yake. Cha msingi kwake yeye na zaidi kwa watanzania atwambie kwa uwazi na bila kuwa na kificho atawafanyia nini watanzania na wapi atato fedha kughalimia hicho anachotuahidi. Bado tunakumbuka ahadi tulizopewa mwaka 2010 bila kujua zinatekelezwaje.

Wewe ndiyo umekurupuka ndugu yamgu, najua LOWASSA ni mlutheri na anaouwezo wa kuwashawishi walutheri wenzake mwenyewe, ndiyo maana ametafuta mtu wa kuweza kuwashawishi wakatoliki kwa vile siyo dhehebu lake. Uko hapo kiongozi?
 
Kwa hiyo wewe ukiulizwa kwamba kuna tetesi unataka kuhamia Chadema halafu ukakanusha kwamba sio kweli lakini ukaongezea kwamba hata ukitaka kuhamia Chadema hakuna wa kukuzuia.. Utakuwa umekiri kwamba wataka kuhamia Chadema..?
Kwani mkataba wake unamzuia?
 
Mkurugenzi mstaafu wa Idara ya Usalama wa Taifa, TISS ambaye gazeti la SAUTI HURU limesema jina lake linalo kwenye mabano ameingia matatani baada ya kukiri kujiingiza katika siasa za Chama cha Mapinduzi , CCM.
Imedaiwa pia kuwa kibosile huyo wa zamani wa TISS Amemrubuni Mwenyekiti wa NCCR, James Mbatia ili aweze kuwashawishi Wakatoliki na UKAWA ili kumuunga mkono LOWASSA.

View attachment 180970

source: SAUTI HURU.

Majungu makubwa haya. Siku hizi sio wa kuambiwa na kukubali tu. TUMEELIMIKA tunachambua mambo kw Kina
 
Nadhani taarifa inamlenga Apson Mwang'onda, Mkurugenzi wa TISS mstahafu. Waliopo maadili ya kazi yanawabana. Hawawezi kujiingiza kwenye siasa za makundi

Naomba mnikumbushe kilichompata IMRAN KOMBE na sababu zake?!
 
nina imani na TISS, NDIO TAASISI PEKEE YA UMMA ILIYOBAKI TUNAYOIAMINI KUTUTETEA WANYONGE..HUYO ATAKUWA BOSS NJAA/MCHUMIA TUMBO

Kama hujapa kichaa cha mbwa, basi una cerebral malaria. TISS gani hiyo unayoiamini kwamba ndiyo mtetezi wa wanyonge?! TISS hii ya wang'oa kucha na meno ya akina Ramadhani Ighondi?! Give me a break dude.
 
Magazeti mengi habari wanachukua JF. Ni bora ushinde ukisoma jf kuliko kusoma magazeti!

Umeona Mkuu eeeh! Eti wenyewe wanaona bado ni siri mpaka wanaficha jina, wangekuwa wakweli tu kwa kumtaja na wakasema kwa mujibu Wa taarifa kutoka JF boss huyo no Apson! JF in zaidi ya habari hapa Tz!
 
Back
Top Bottom