Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,167
mlutheran
Ukishasema Mlutheri huna haja ya kusema Mlutheran ni sawa na kusema Mtanzania eti useme Mtanzanian! Hii kitu haipo! Kama kuna mtu alikufundisha hivyo alikulisha matango pori!
mlutheran
TISS sio wajinga, hawawezi kujiingiza huko, msiwagombanishe na wananchi
Hivi imeandikwa wapi kuwa kama mtu aliwahi kuwa usalama wa Taifa haruhusiwi kufanya siasa yoyote, mbona Marando, Mrema wanafanya siasa? CCM yamewabana sana kwa Lowasa huyu jamaa mnayemhusudu hamuwezi Lowasa , Lowasa anawezwa na Dr. Slaa pekee sio maccm yaliyobaki, kama mnabishi aje Pinda, Wasira January muona wanavyoangukia pua
Hata Mbatia ni walewale.
TISS sio wajinga, hawawezi kujiingiza huko, msiwagombanishe na wananchi