Urafiki wa Jinsia Tofauti

Urafiki wa Jinsia Tofauti

Mazungumzo ya jinsia mbili tofauti zinazojiita marafiki daima huishia kwenye ujinga
Sio lazima. Kwani wafanya biashara au wale wanaofanya shughuli zinazofanana e.g. wanajeshi, wachungaji n.k. mbona wanaweza? Cha msingi usiingize au kuruhusu "visungura" au dengelua.
 
Urafiki upo ila the moment mmoja wenu akilewa au kupata stress za kuachwa, hiyo kweli huwa inabadilika na kuwa story nyingine kabisa!
Kwani urafiki ni nini? Tofauti ya Urafiki na Mahusiano ikizingatiwa naona hakuna shida. Kumbuka marafiki wanaweza kuachana i.e. Kusitisha urafiki baina yao mara moja ikiwa mmoja atafanya maudhi/machukizo kwa mwenzake.
 
Kwani urafiki ni nini? Tofauti ya Urafiki na Mahusiano ikizingatiwa naona hakuna shida. Kumbuka marafiki wanaweza kuachana i.e. Kusitisha urafiki baina yao mara moja ikiwa mmoja atafanya maudhi/machukizo kwa mwenzake.
Kwenye hoja yangu umeona kuna sehemu nimepinga hiki ulicho kiandika hapa?

Au hujui kusoma vizuri?
 
Ukishaanza kufikiri habari za mwanamke kuvutia itakuwia ni shidakwa sababu urafiki utabadilika na kuwa ni Mahusiano. Lakini kama ni kufahamiana,uwa na interest/hobbies zinazofanana au shughuli zinazo waweka karibu e.g. biashara, au majirani, urafiki wa jinsia tofauti unawezekana kabisa e.g. Ndo mana watoto Ke wa mjomba wanaweza hata kulala kwako.

Ukishaanza kufikiri habari za mwanamke kuvutia itakuwia ni shidakwa sababu urafiki utabadilika na kuwa ni Mahusiano. Lakini kama ni kufahamiana,uwa na interest/hobbies zinazofanana au shughuli zinazo waweka karibu e.g. biashara, au majirani, urafiki wa jinsia tofauti unawezekana kabisa e.g. Ndo mana watoto Ke wa mjomba wanaweza hata kulala kwako.
Nilishayaona mnakua marafk badae mtu anakugeuka mwisho wake unakua ugomvi mkubwa
 
Miaka mingi huko nyuma, nilikuwa na rafiki wa kike. Alikuwa anakuja gheto tunapiga stori hadi saa nne usiku kisha nampeleka kwao tunasongesha stori hadi saa saba. Eeeh buana weee mungu siyo Dotto Biteko wala Dott Magari-vyuma vikaumana na kung'ang'ania kwa lisaa na huu ndio ukawa mwisho wa urafiki wetu.
 
Je, kuna urafiki wa kweli usio na hisia za mapenzi kati ya mwanaume na mwanamke?
Kiukweli mimi ninaweza yaan demu tukianza tu kuwa marafiki mimi inakua ngumu kumgegeda kuna demu mmoja mm nilimchukulia rafiki tulikua tukishare mawazo sasa kumbe mwenzangu ananivizia kwenye kona alikua ananialika kwake utakuta ananunua k vant anawasha mziki halafu ye hanywi sana ile k vant mi nikilewa nasepa zangu tulikua tunamshikaji wetu mwingine wa kiume alikua haamini kama yule demu mi simli ye aliamini namla
 
I'm Girl's best friend..nina Marafiki wa hivyo kama wanne,na wazo la kufanya kua nao kimapenzi halijawahi ku cross my mind,nawachukulia kama my boys,and yeah I call them brothers...
Chukua hii ♥️
marafiki wa jinsia moja ni mara chache kua real hasa wanawake
Wivu chuki na roho mbaya kunafikianani🤞

Ukiacha wale ninao engege nao mtandaoni
Sina rafiki wakike in real life ninao kaka zangu wa kiume ambao hata nikikwama wao wapo na mimi na tunaheshimiana mnoo nikizingua wana nichana bila unafiki 🧡
 
Chukua hii ♥️
marafiki wa jinsia moja ni mara chache kua really hasa wanawake
Wivu chuki na roho mbaya kunafikianani🤞

Ukiacha wale ninao engege nao mtandaoni
Sina rafiki wakike in real life ninao kaka zangu wa kiume ambao hata nikikwama wao wapo na mimi na tunaheshimiana mnoo nikizingua wana nichana bila unafiki 🧡
Kitu ambacho siwezi mwanamke nikishakua nae kwenye mahusiano baadae tuachane tuwe marafiki,huwa siwezi hata nikijaribu..
 
Back
Top Bottom