Kama ukiwepo basi ni lazima mmoja au wote wawe na kasoroSidhani kama upo, maana huyu rafiki yangu wa kike namtamani kiasi kwamba akiangalia pembeni nami humwangalia kwa tamaa kubwa.
Yaani nikiwa naye sharti nivae boksa mbili hadi tatu Ili kuzuia mchi wangu usitune sana.
Ni mtihani kwa kweli!
Ni mtihani sana.Kama ukiwepo basi ni lazima mmoja au wote wawe na kasoro
Mkiwa mnakutana mara chache mnaweza kuzungumza ya maana, mkiwa mnakutana mara nyingi basi mazungumzo huishia kwenye ujinga.Mazungumzo ya jinsia mbili tofauti zinazojiita marafiki daima huishia kwenye ujinga
Nikiwa form 6 kipindi cha necta nilikua na marafiki zangu wa kiume wawili tulikua tunadiscuss hadi usiku wa manane tukichoka tunalala kiroho safiJe mnaweza kulala kitanda kimoja bila shida?
Mbona ndo ingekua 3some ya kibabeKwakuwa mlikuwa watatu.. Mission impossible
Ewaaaah hawana noma kabisa
Au walikuogopa kwa kua na sura ya baba??Mbona ndo ingekua 3some ya kibabe