Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!

Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!

wat do you care????? hizo ni shida zake na wala si zako....isitoshe ni jukumu la wify wake kuilinda ndoa yake/mume wake....na ni jukumu la huyo mume kumkeep mkewe safe and not you for God's sake!!!! the safety of his wife is not your responsibility at all!!! otherwise useme umeanza kufall in love na huyo mume wa mtu......wivu ni dalili ya hilo!!!!

Hahahaaaaaaaaaa! Sio wivu hii ni moja ya charitable activity yangu kumake sure ndoa inadumu kwa manufaa yetu wote!:cheer2:. He is my friend na mkewe nae ni kama my firiend pia coz i know kila kinachoendela ndani kwake, hata plans za familia yao in 5 years nazijua!!!!!! Sasa shangingi likija likmsambaratisha mama wa watu na kale kababy siwezi kujifanya kama siwajui vile!!!!!!!!!! LOL!

Mi naona kumpotezea sio ustaarabu, baada ya wema wote alionitendea contless times nijifanye sasa ndo namuona hana maana it will be unfare!!!!!!!! Maybe tu ni renew guide lines na rules za kumbana zaidii ili ashindwe mwenyewe tu!!!!!!!
 
kuna jamaa ana mke wake, na huwa anaenda kwake na mwanamke mwingine kamtambulisha hadi wife kuwa yule ni rafikia ake, kumbe kiburudisho chake huo si ufala unafanyiwa....
kwangu mie hiyo kitu hakuna, hata rafiki angu mazoea na shemejiye sitaki!!!!

HAHAHAAAAAAAAAAAA! Mjini mipango bibi weweeeeee! Kikulacho ki nguoni mwako!
 
heeee!!!! leo acha tu niwe mrengo wa kushoto kwakweli.....
urafiki na mupenzi hapana asee, labda kama nitakuwa part of that outings....
na penyewe ni labda.... yani naongea kwa herufi kubwa SITAKI!!!!!

@lara1 kama rafiki mwenyewe ni wewe .. To me big nooo lol.

Sitaki kabisa uje mtega myhuby mwishowe akupe utamu wangu.. Noo plzzzziiiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kale kababy; so the guy is not old after all. Sijui kwanini nilifikiria ni mtu wa in his late 40s au 50s.

Do kama wana katoto kamoja, mkewe anaweza kuwa in her 30s at most. Duh!
 
HAHAHAAAAAAAAAAAA! Mjini mipango bibi weweeeeee! Kikulacho ki nguoni mwako!

I had shostito mwingine ful kuaminiana, kupendana, langu lake lake langu
he he he anajua hadi leo nimevaa pichu ya rangi gani!!!!
ikafika besidey ya mupenzi mi nipo far, nkatuma hela amplekee zawadi, ya nini asitake kunionjea vitu vyangu...
yani i like rafiki angu akae mbali kabisa na mupenzi, wala kujitia wamjua SITAKI!!!
 
Bwana there things l am not buying, moja wapo ni hilo la yellow card. Haya tufanye things are not well with ur BF; unafikiri kwa kutoka out na a married man itayafanya yawe better?

Haya kama you don't feel guilty kwa mume wa mtu kuprefer kumaliza Mwaka na wewe badala ya Mke wake au rather familia yake, sidhani kama kuna kitu nitakwambia uone dhambi. Kuna mtu alisema akiDO na condom anakuwa hajatenda dhambi kwani niliplastic na sio nyama. Na ukifuata reasoning yaks she might be right. Usimtie mwenzio KATIKA VISHAWISHI (sijui huwa anaSAY OUR FATHER) maana dhambi anazotenda ni pamoja na KUTOTIMIZA wajibu.
Ulisali jana? Unajua ilikuwa siku ya FAMILIA takatifu; assume lara 1 is keeping Joseph from Mother of God! (this one has to get you! LOL)

Hahahaaaaaaaaaa! Hilo la yellow card huyu haliaffect sanaa coz huyu Mbaba alikuwa my friend and aliendelea kuwa my friend for all these 3 yrs na hakuwahi kuaffect anything!!

Jana kweli aisee ni siku ya The Holy Family na nikuwamo church na lile neno la Collosians na Wisdom lilinichoma kweliii!!!!!!!

Kweli inawezakana ni nimeshakosea sanaaa, ukute anamuonea mkewe kwa jeuri ya kupata company yangu! I will redraw the guide lines and conditions!!!!!!! I jst didnt look at things from the wifes angle!!!!!!
 
Kale kababy; so the guy is not old after all. Sijui kwanini nilifikiria ni mtu wa in his late 40s au 50s.

Do kama wana katoto kamoja, mkewe anaweza kuwa in her 30s at most. Duh!


Ofcourse wote wako in their late 30's sema walizaa wadogo kababy kasichana kabisaa darasa la 3 kanaingia!!!!!! Kasweet kanadeka hako!!!!! Dady! Aunty! Kuna siku alikuja nacho hotelini, Mhudumu akaja kuulizia mnakunywa nini? Kakadakia Dady Mletee bia --------- baridi sana!!!(Isije kuwa bia ya mumeo ukaniua bureeeee), Nilichekaaaaaaaaje? IM QUITING FOR GOO NOW!
 
@lara1 kama rafiki mwenyewe ni wewe .. To me big nooo lol.

Sitaki kabisa uje mtega myhuby mwishowe akupe utamu wangu.. Noo plzzzziiiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Okay!!!!! Im retiring now for good!
 
Hahahaaaaaaaaaa! Hilo la yellow card huyu haliaffect sanaa coz huyu Mbaba alikuwa my friend and aliendelea kuwa my friend for all these 3 yrs na hakuwahi kuaffect anything!!

Jana kweli aisee ni siku ya The Holy Family na nikuwamo church na lile neno la Collosians na Wisdom lilinichoma kweliii!!!!!!!

Kweli inawezakana ni nimeshakosea sanaaa, ukute anamuonea mkewe kwa jeuri ya kupata company yangu! I will redraw the guide lines and conditions!!!!!!! I jst didnt look at things from the wifes angle!!!!!!

Sasa wewe unataka kunivunja mbavu.....

Yaani lara 1 husomeki kabisa....

Ngoja nikapumzike mie nisubiri kuuanga mwaka....

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
mmh mm urafik na mume wangu wala sitaki kabisa,basi tu its somethng automatically
 
na kwann udhani ni jukumu lako kufanya hiyo unayoiita charitable activity??? why you and nt smone else???

kosa lingine la huyo mume ni kuanika ishu za familia yake kwako....anakueleza mambo ya familia yake ili iweje???

hayo ya shangingi kusambaratisha hiyo ndoa wewe yanakugusa vipi??? kwani wewe ulikuwa msimamizi wa ndoa hiyo???

so kama angekuwa hajakutendea wema wowote ingekuwa kwako ustaarabu kumpotezea??? unalipa fadhila??? hadi lini??ili iweje?????

Hahahaaaaaaaaaa! Sio wivu hii ni moja ya charitable activity yangu kumake sure ndoa inadumu kwa manufaa yetu wote!:cheer2:. He is my friend na mkewe nae ni kama my firiend pia coz i know kila kinachoendela ndani kwake, hata plans za familia yao in 5 years nazijua!!!!!! Sasa shangingi likija likmsambaratisha mama wa watu na kale kababy siwezi kujifanya kama siwajui vile!!!!!!!!!! LOL!

Mi naona kumpotezea sio ustaarabu, baada ya wema wote alionitendea contless times nijifanye sasa ndo namuona hana maana it will be unfare!!!!!!!! Maybe tu ni renew guide lines na rules za kumbana zaidii ili ashindwe mwenyewe tu!!!!!!!
 
Kale kababy; so the guy is not old after all. Sijui kwanini nilifikiria ni mtu wa in his late 40s au 50s.

Do kama wana katoto kamoja, mkewe anaweza kuwa in her 30s at most. Duh!

Inauma sana Kaunga??

I wish Lara 1 ataelewa uzito wa hili jambo!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa urafiki hadi awe mme wa mwenzio ? wanawake wenzako huwaoni ! yaani mwanamke mwenzio anahangaika kufua mijinzi, kiulaini kabisa we unatafuna nae bata, shame on you !!
Afu naomba kuuliza hiyo avatar ni real ndo ulivo? maana unaonekana mjanja mjanja sana!!
 
na kwann udhani ni jukumu lako kufanya hiyo unayoiita charitable activity??? why you and nt smone else???

kosa lingine la huyo mume ni kuanika ishu za familia yake kwako....anakueleza mambo ya familia yake ili iweje???

hayo ya shangingi kusambaratisha hiyo ndoa wewe yanakugusa vipi??? kwani wewe ulikuwa msimamizi wa ndoa hiyo???

so kama angekuwa hajakutendea wema wowote ingekuwa kwako ustaarabu kumpotezea??? unalipa fadhila??? hadi lini??ili iweje?????

Bora na wewe Ciello umeyaona......!!

Maelezo ya lara 1 yanafanya kichwa kiume....

Hata ungekuwa Mother Theresa, sina hakika kama unaweza kuwa na wema wote huo mahali ambapo hakuna tija....!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Inauma sana Kaunga??

I wish Lara 1 ataelewa uzito wa hili jambo!!

Babu DC!!

Yaani nilikuwa na picha ya sad old man; si unajua wanakuwaga kama watoto kumbe ni kijana tu.

Ameshaona uzito, si umemsoma anatafuta njia ya kuchomoa. She is sweet inside ingawa anatumia nguvu nyingi kuprove otherwise!

Again; have a great day!
 
Last edited by a moderator:
heri ya mwaka mpya babu dc!!!


Ahsante sana Ciello,

Best wishes na wewe pia....

Nimepata tetesi kuwa mwakani tunarudia ile show na wewe ili ukamalizie kujibu yale maswali ya Zinduna na lara 1....

Nambie kama ni kweli ili nikae mkao wa kula...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Yaani nilikuwa na picha ya sad old man; si unajua wanakuwaga kama watoto kumbe ni kijana tu.

Ameshaona uzito, si umemsoma anatafuta njia ya kuchomoa. She is sweet inside ingawa anatumia nguvu nyingi kuprove otherwise!

Again; have a great day!

You too Kaunga,

Tunamfahamu sana huyu lara 1....lazima achangamshe jukwa kama anavyotingisha kwenye talk show...

She is a cute and nice girl though!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
hahahahah hakuna marudio babu dc....mwaka ujao ciello anakuja kivingine kabisa......tunasubiri mashosti wapewe viti maalumu nao wafunguke....
Ahsante sana Ciello,

Best wishes na wewe pia....

Nimepata tetesi kuwa mwakani tunarudia ile show na wewe ili ukamalizie kujibu yale maswali ya Zinduna na lara 1....

Nambie kama ni kweli ili nikae mkao wa kula...

Babu DC!!
 
na kwann udhani ni jukumu lako kufanya hiyo unayoiita charitable activity??? why you and nt smone else???

kosa lingine la huyo mume ni kuanika ishu za familia yake kwako....anakueleza mambo ya familia yake ili iweje???

hayo ya shangingi kusambaratisha hiyo ndoa wewe yanakugusa vipi??? kwani wewe ulikuwa msimamizi wa ndoa hiyo???

so kama angekuwa hajakutendea wema wowote ingekuwa kwako ustaarabu kumpotezea??? unalipa fadhila??? hadi lini??ili iweje?????

Hahahaaaaaaaaa! Ujue Ciello huyu alikuwa rafiki yangu wa kawaida kabla hajawa besteee!!!!!!! Mambo ya familia ananieleza ili nimshauri lazima ujue mimi mtoto wa mjini so akitaka kiwanja au gari au chochote lzima aniombe opinion kama ni deal zuri au apotezeee! Na nikisikia ishu lazima nimwambie kama ana hela asababishe!

Ndoa yake ni jukumu langu as what are friends for? Siwezi kufurahi kitoto kile kisupu kikirudishwa kijijini kwa bibi mtu! Na hata yeye ndoa ikisambarika itamuumiza plus malengo yake hayatatimia! So kama rafiki na mtu anaemtakia mema i dont wish ndoa isambaratike!

Ofcourse angekuwa hajanitendea wema isingekuwa ishu kumpa makavu! Bt repaying badly mtu aliekufanyia nothing bt good deeds to the extent wema anatenda yeye ila mtendewa ndo najipangia kiwango its not that easy!!!!!!!!! Im always loyal to my friends!!!!!
 
Back
Top Bottom