Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!

Urafiki Na Mume wa Mtu!!!!!!!!!

hahahahah hakuna marudio babu dc....mwaka ujao ciello anakuja kivingine kabisa......tunasubiri mashosti wapewe viti maalumu nao wafunguke....

Wala siyo marudio Ciello,

Ni kukamilisha mapishi tu, ... kwani ile kitu ilikuwa half baked...lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Sasa urafiki hadi awe mme wa mwenzio ? wanawake wenzako huwaoni ! yaani mwanamke mwenzio anahangaika kufua mijinzi, kiulaini kabisa we unatafuna nae bata, shame on you !!
Afu naomba kuuliza hiyo avatar ni real ndo ulivo? maana unaonekana mjanja mjanja sana!!

Hahahaaaaaaaaa! You real made me feel bad hiyo part ya kufua mijeans!!!!!! Afu ndo anazovaaga akinitreat!!!!!!! Shame on me i accept! Ila necha ya kazi ya huyo bwana hata akirudi asubuhi ni rahisi kuamini alikuwa kazini!!!!! Otherwise mumeo saa 9 usiku hajarudi utasema alikuwa wapi?
 
hahahah babu dc bana....mbona mapishi yalikamilika?? wapi kulikuwa half baked??? wenzio wote walokula walisema msosi nimeuivisha vyema....
Wala siyo marudio Ciello,

Ni kukamilisha mapishi tu, ... kwani ile kitu ilikuwa half baked...lol!!

Babu DC!!
 
Subutu na we mda huo ushazama utamkumbusha kweli

unaheshimu mipaka. yaani hata kama mnapata maji ya dhahabu mahali ukiona jamaa hana hata dalili ya kuondoka unamstua awahi nyumbani kwa wife.
 
ukiteleza uwezekano wa kutoanguka ni asilimia 0...!!!

labda kama na wewe unammezea mate ndio uruhusu hayo makitu. ila mnaweza kuwa friends kwa roho safi kabisa.......
hivi @lara1 huyo nae ataingia kwenye category ya uzombi au? lol
 
hilo linaeleweka, najua inauma to stay away from ur friend bt you have to do it !!! binafsi nina marafiki wa hivyo wa kike na kiume, ila the moment wametake vows, nilikeep my distance....iliniuma sana ila nilitambua napaswa kufanya hivyo....si kuwa unaua friendship ila unatoa yale mazowea ya kuwa karibu nao like 24/7 kama ilivyokuwa awali...

narudia tena hiyo ndoa yake si jukumu lako wewe..ni jukumu lake muoaji...kwani alioa akijua anamudu changamoto hizo za ndoa....anajisikia mpweke coz anamchukulia mkewe kama mtu wa kutengeneza naye familia tu...hajamfanya mkewe kuwa best friend wake....mwambie amtreat mkewe more than a wife....yeye ni rafiki wake wa kwnza b4 anyone else..ndomana wanasema utawaacha baba na mama ...mtaambatana wawili...

sisemi umpe makavu ila jaribu kuchomoka kwenye huo urafiki kimyakimya....yeye ni mtu mzima...atasoma reactions zako na atakuelewa...
Hahahaaaaaaaaa! Ujue Ciello huyu alikuwa rafiki yangu wa kawaida kabla hajawa besteee!!!!!!! Mambo ya familia ananieleza ili nimshauri lazima ujue mimi mtoto wa mjini so akitaka kiwanja au gari au chochote lzima aniombe opinion kama ni deal zuri au apotezeee! Na nikisikia ishu lazima nimwambie kama ana hela asababishe!

Ndoa yake ni jukumu langu as what are friends for? Siwezi kufurahi kitoto kile kisupu kikirudishwa kijijini kwa bibi mtu! Na hata yeye ndoa ikisambarika itamuumiza plus malengo yake hayatatimia! So kama rafiki na mtu anaemtakia mema i dont wish ndoa isambaratike!

Ofcourse angekuwa hajanitendea wema isingekuwa ishu kumpa makavu! Bt repaying badly mtu aliekufanyia nothing bt good deeds to the extent wema anatenda yeye ila mtendewa ndo najipangia kiwango its not that easy!!!!!!!!! Im always loyal to my friends!!!!!
 
hilo linaeleweka, najua inauma to stay away from ur friend bt you have to do it !!! binafsi nina marafiki wa hivyo wa kike na kiume, ila the moment wametake vows, nilikeep my distance....iliniuma sana ila nilitambua napaswa kufanya hivyo....si kuwa unaua friendship ila unatoa yale mazowea ya kuwa karibu nao like 24/7 kama ilivyokuwa awali...

narudia tena hiyo ndoa yake si jukumu lako wewe..ni jukumu lake muoaji...kwani alioa akijua anamudu changamoto hizo za ndoa....anajisikia mpweke coz anamchukulia mkewe kama mtu wa kutengeneza naye familia tu...hajamfanya mkewe kuwa best friend wake....mwambie amtreat mkewe more than a wife....yeye ni rafiki wake wa kwnza b4 anyone else..ndomana wanasema utawaacha baba na mama ...mtaambatana wawili...

sisemi umpe makavu ila jaribu kuchomoka kwenye huo urafiki kimyakimya....yeye ni mtu mzima...atasoma reactions zako na atakuelewa...

Hahahaaaaaaa! Nitachomoka kiutuuzima sawa SISTER MARIA CIELLO!!!!!!!?
 
Mie!sisemi kitu!!yashaaaanipata peupeeeeee!

SEMAAAAAAAA! SEMAAA! SEMA USIOGOPE!!!!!!!!!! SEMAAAAAAAAA! Tuko standby hapa tunangojea ushuhuda bwana ili tujifunze! Seeeeeeema ai weweeeeee!
 
labda kama na wewe unammezea mate ndio uruhusu hayo makitu. ila mnaweza kuwa friends kwa roho safi kabisa.......
hivi @lara1 huyo nae ataingia kwenye category ya uzombi au? lol

Hahahaaaaaaa! Huyu yupo category ya RELIABLE FRIENDS OF ALL FRIENDS!!!!!!!
 
urafiki haukatazwi after ndoa lakini isiwe too much kila akitoka kazini ampitiea Lara wakapombeke daily mkewe analinda nyumba, hii hapana kwa kweli,jiangalie vizuri shost

mke mwenyewe awe ni mimi we utanieleza.
Huyu rafiki wa kike kama hatembei na yeye basi atatembea na rafikiye au atakuwa kuwadi wake.
Hiyo kitu haipo we lara 1 hujaolewa na naona jimoyo lako gumu sana.
Unaona poa ila ukishikwa utajua uchungu wake.
Tena mie ukizidi urafiki nakubarasa mbele sitaki mchezo kabisa.
 
Last edited by a moderator:
mke mwenyewe awe ni mimi we utanieleza.
Huyu rafiki wa kike kama hatembei na yeye basi atatembea na rafikiye au atakuwa kuwadi wake.
Hiyo kitu haipo we lara 1 hujaolewa na naona jimoyo lako gumu sana.
Unaona poa ila ukishikwa utajua uchungu wake.
Tena mie ukizidi urafiki nakubarasa mbele sitaki mchezo kabisa.

Hahahaaaaaaaa! Jimoyo gumu!
 
labda kama na wewe unammezea mate ndio uruhusu hayo makitu. ila mnaweza kuwa friends kwa roho safi kabisa.......
hivi @lara1 huyo nae ataingia kwenye category ya uzombi au? lol

umesema "ukiona unateleza" si ndo kutamani kwenyewe au?
 
mke mwenyewe awe ni mimi we utanieleza.
Huyu rafiki wa kike kama hatembei na yeye basi atatembea na rafikiye au atakuwa kuwadi wake.
Hiyo kitu haipo we lara 1 hujaolewa na naona jimoyo lako gumu sana.
Unaona poa ila ukishikwa utajua uchungu wake.
Tena mie ukizidi urafiki nakubarasa mbele sitaki mchezo kabisa.

ha ha ha umenichekesha bibie!!!!
 
hahahahahah najimoyo jigumu sana eeehhhhhh!!!!! hii kali kutoka kwa amu....hahahahahah
mke mwenyewe awe ni mimi we utanieleza.
Huyu rafiki wa kike kama hatembei na yeye basi atatembea na rafikiye au atakuwa kuwadi wake.
Hiyo kitu haipo we lara 1 hujaolewa na naona jimoyo lako gumu sana.
Unaona poa ila ukishikwa utajua uchungu wake.
Tena mie ukizidi urafiki nakubarasa mbele sitaki mchezo kabisa.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha umenichekesha bibie!!!!

hivi kweli utaruhusu mumeo kabisaaa awe na urafiki na mtu kama lara 1
na hapo bora angekuwa rafiki wa wote wa familia ye rafiki yake mume tu!!!!!
Wanawake wa mjini hawaaminiki hata kidogo.
lara 1 shost punguza ubest na huyo mume wa mtu
na hapo uzembe ni wa huyo mwanamke mpaka ushost wa mume wake na lara 1 kunoga hivyo
Ciello huyu lara 1 unamuonaje???ana jimoyo gumu balaa
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahah amu mbona unamkomalia lara 1 hivoooo?? hana jimoyo gumu ndomana akaleta hii ishu hapa tumshauri....anajua sio sahihi...amekuwa akielezwa hilo....yamemuingia moyoni yakamkera na ndo mana anataka viewz za wadau.....na amini ataamua kwa busara...kibongobongo kuwa na urafiki na mume wa mtu its an abomination !!!!
hivi kweli utaruhusu mumeo kabisaaa awe na urafiki na mtu kama lara 1
na hapo bora angekuwa rafiki wa wote wa familia ye rafiki yake mume tu!!!!!
Wanawake wa mjini hawaaminiki hata kidogo.
lara 1 shost punguza ubest na huyo mume wa mtu
na hapo uzembe ni wa huyo mwanamke mpaka ushost wa mume wake na lara 1 kunoga hivyo
Ciello huyu lara 1 unamuonaje???ana jimoyo gumu balaa
 
Last edited by a moderator:
hivi kweli utaruhusu mumeo kabisaaa awe na urafiki na mtu kama lara 1
na hapo bora angekuwa rafiki wa wote wa familia ye rafiki yake mume tu!!!!!
Wanawake wa mjini hawaaminiki hata kidogo.
lara 1 shost punguza ubest na huyo mume wa mtu
na hapo uzembe ni wa huyo mwanamke mpaka ushost wa mume wake na lara 1 kunoga hivyo
Ciello huyu lara 1 unamuonaje???ana jimoyo gumu balaa

Lara anaeza kuwa muungwana kabisa kama anavosema yeye....
kinachotokea, uungwana wake unakupumbaza unahisi wote waungwana ndo hapo unaletewa vidudu mtu hadi ndani eti rafiki wa baby!!!!
 
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho!
Asahvi hata mmshauri vip Lara1 hawez waelewa!!
She is not commited to anyone so she is free to mingle!!
Asiende kunywa bia anamuwah nani hme!?
She has all the tym to wait 4 jam to end!
When will all this stop(wakat huo hatahesabu hata huo urafiki wao una miaka mingap wala hatajiuliza anamkatalia vip), atakapokuwa mke wa mtu na mtoto m1 tu sio wawil wala watatu!
Nnachotaka kukwambia mydia si kweli huwez kuendup au kupunguza muda unaospend na huyo mume wa mtu hujaamua tu na haujaona sababu ya kufanya hivo!
Kwa hiyo muda ndo utakaokuamulia ila mantain heshima kati yenu mpaka huo mda utakapofika kama huwez kustop!
 
Back
Top Bottom