MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kaimu Kocha wa Simba SC Selemani Matola mara baada ya Michuano ya Mapinduzi Cup alipohojiwa na Press alisema kuwa amewapa Wachezaji likizo mpaka Ijumaa ya Wiki hii (22 January 2021) kisha watarejea Mazoezini upesi sana ili kujiandaa kikamilifu kabisa na Michezo Klabu Bingwa ambayo inaanza mapema tu Mwezi February.
Cha Kushangaza Kaimu Kocha huyo huyo Matola akijua Simba SC haina Kocha yoyote juzi ameenda Kuungana na Timu ya Taifa (Taifa Stars) na kuiacha Simba SC bila Kocha. Sasa naanza Kumuelewa Rais JPM pamoja na Wadau wengine wa Soka nchini Tanzania kuwa Timu mbili hizi Kongwe na Kubwa nchini Tanzania zimejaa Uhuni, Usanii na Upuuzi huku zikituchelewesha Kimaendeleo.
Hivi ni lazima tu Kocha Matola aende huko Cameroon? Kwani hakuna Makocha wengine? Hizi 10% za TFF na huu Usimba na Uyanga utatugharimu.
Cha Kushangaza Kaimu Kocha huyo huyo Matola akijua Simba SC haina Kocha yoyote juzi ameenda Kuungana na Timu ya Taifa (Taifa Stars) na kuiacha Simba SC bila Kocha. Sasa naanza Kumuelewa Rais JPM pamoja na Wadau wengine wa Soka nchini Tanzania kuwa Timu mbili hizi Kongwe na Kubwa nchini Tanzania zimejaa Uhuni, Usanii na Upuuzi huku zikituchelewesha Kimaendeleo.
Hivi ni lazima tu Kocha Matola aende huko Cameroon? Kwani hakuna Makocha wengine? Hizi 10% za TFF na huu Usimba na Uyanga utatugharimu.