Upungufu wa kinga za kiroho

Upungufu wa kinga za kiroho

Mshana hivi Mungu wa wachina "wabudha" Mungu wa wakorea kaskazini "ukoo wa kim" na mungu wa wa Africa yupi mwenye nguvu,? Lkn pia vipi kuhusu Mungu wa walokole wakeshao makanisani usiku kucha wakimuomba Mungu wakati huo huo hali zao ki maisha ni mbaya unamzungumziaje?

Je, unawazungumziaje watu wasemao mafanikio yoyote hapa duniani yanategemeana na uelewa na maarifa ya mtu?
Kuna mhubiri mmoja alidiriki kusema nanukuu: "its not about halelujah halelujah... Its all about possessing understanding and how things work. " mwisho wa kunukuu
 
Mshana hivi Mungu wa wachina "wabudha" Mungu wa wakorea kaskazini "ukoo wa kim" na mungu wa wa Africa yupi mwenye nguvu,? Lkn pia vipi kuhusu Mungu wa walokole wakeshao makanisani usiku kucha wakimuomba Mungu wakati huo huo hali zao ki maisha ni mbaya unamzungumziaje?

Je, unawazungumziaje watu wasemao mafanikio yoyote hapa duniani yanategemeana na uelewa na maarifa ya mtu?
Kuna mhubiri mmoja alidiriki kusema nanukuu: "its not about halelujah halelujah... Its all about possessing understanding and how things work. " mwisho wa kunukuu
Kila mmoja wetu ana kipimo chake hapa duniani iwe kipato, umaarufu elimu hata vipawa
Mungu hagawi fedha.. Inabidi umwabudu huku ukijibidiisha na kazi, ukijibidiisha na elimu...
Hallelujah hallelujah ni jambo la spiritual divinity sio njia ya kukupa kipato.. Inabidi ufanye kazi kwa bidii na kukumbuka kutoa pia kwakuwa ni kwa kutoa ndio tunapokea
 
Kwa uelewa wangu dini ni utaratibu aliojiwekea mwanadamu katika kuboresha namna ya kumcha Mungu, ndiyo maana unakuta baadhi ya dini kuna madhehebu zaidi ya moja na hii ni kutokana na mshiriki mmoja kuona mwingine hafanyi sawa sawa katika kuishiriki imani wanayo iamini.

Kwa vile wewe umesema ni mKristo, ukisoma Biblia waraka mmoja wapo wa mtume Paulo unaona wazi anaelezea taratibu za dini ya imani fulani nje ya kumjua Mungu Muumba mbingu na nchi, kwamba dhamiri zao ndiyo zilikuwa zikiamua kama ameiharifu ile sheria ya imani yao au laa, na kama ameiharifu basi anahukumiwa kutokana na hiyo.

Lakini angalizo linalotolewa ni kwamba, kama umesikia habari njema na kutochukua hatua, huna tena udhuru, ni bora usinge sikia.

Swali ni kwamba kwa nini waAfrika tusiendelee na imani zetu kama hapo awali kabla ya hizi dini za nje kuja? Kwa upande wangu nadhani hii hutokana na ubora wa elimu inayotelewa na weledi wa hao waalimu wenyewe wanaofundisha juu ya imani au dini husika.

Lakini ukirejea kwenye kitabu kinachokupa mwongozo unaona kuwa kuna taifa teule ambalo Muumba mbingu na nchi ameliteua ili kupitia hilo mataifa yote ulimwenguni yapate kumjua Mungu wa Kweli na kuamini imani sahihi. Kwa ufupi tu niishie hapa.
Asante , Japo hapo kwa taifa teule mimi huwa sielewi kabisa, especial jinsi wanavyo wachukia watu weusi wanaoishi katika taifa lao teule.
kama unasema dini sasa ni utaratibu tuliojiwekea namna ya kumcha Mungu, basi naona haya makanisa ya wazee wa upako, kina Gwajima nk yanahubiri upendo kuliko haya makanisa ya kizamani.
Ningependa siku moja haya makanisa yafundishe watu upendo, wa ki Mungu, wafundishe kumcha Mungu wa kweli, kutii kanisa la kweli (MWILI) kuheshim miili yetu kwa kuilisha na kuinywesha vyema(sio pombe) Kutendea wengine vile ungependa kutendewa, uwongo uwongo makanisni ni mwing, majungu majungu, umbea na kusema sema watoto wa kike vibaya. Huwa napata shida sana kuelewa kwa nini haya baadh ya makanisa wanaaminisha waumini wao wamwone Mungu kama jitu katili?! Mungu atatuchoma na moto jehanam? mkuu kweli moto? Mimi naona moto upo hapahapa duniani, kila tulitendalo jema au baya huturudia katika maisha yetu.
Na hapo kwa Wa Africa na dini zetu, mimi naona Wa Africa tuna imani sana katika Mungu wetu, ila sasa ndio sijui tunaamini katika dini za wengine, labda ndio mambo ya ukoloni wenyewe
 
Asante , Japo hapo kwa taifa teule mimi huwa sielewi kabisa, especial jinsi wanavyo wachukia watu weusi wanaoishi katika taifa lao teule.
kama unasema dini sasa ni utaratibu tuliojiwekea namna ya kumcha Mungu, basi naona haya makanisa ya wazee wa upako, kina Gwajima nk yanahubiri upendo kuliko haya makanisa ya kizamani.
Ningependa siku moja haya makanisa yafundishe watu upendo, wa ki Mungu, wafundishe kumcha Mungu wa kweli, kutii kanisa la kweli (MWILI) kuheshim miili yetu kwa kuilisha na kuinywesha vyema(sio pombe) Kutendea wengine vile ungependa kutendewa, uwongo uwongo makanisni ni mwing, majungu majungu, umbea na kusema sema watoto wa kike vibaya. Huwa napata shida sana kuelewa kwa nini haya baadh ya makanisa wanaaminisha waumini wao wamwone Mungu kama jitu katili?! Mungu atatuchoma na moto jehanam? mkuu kweli moto? Mimi naona moto upo hapahapa duniani, kila tulitendalo jema au baya huturudia katika maisha yetu.
Na hapo kwa Wa Africa na dini zetu, mimi naona Wa Africa tuna imani sana katika Mungu wetu, ila sasa ndio sijui tunaamini katika dini za wengine, labda ndio mambo ya ukoloni wenyewe
Kwanza ujue wazi kuwa taifa teule haina maana wao hawakosei au hawana mapungufu, nao ni wanadamu kama sisi tu. Pia kuna sehemu inasema wazi kwamba Israel si kwamba yeye ni mwema sana au anahaki sana ila Mungu amempenda na kumchagua, na zaidi sana imeandikwa kuwa hawa jamaa wana shingo ngumu!

Halafu pamoja na wao kuwa taifa teule, dini ya kiKristo kwao ipo kwa uchache sana ukilinganisha na huku kwetu au kwenye mataifa mengine. Wao dini ya kiyahudi ina wafuasi wengi zaidi na kwa sehemu kubwa wanaongozwa sana kwa sheria na wanafuata sana Agano la kale.

Wewe jitahidi tu kusimamia unachokijua na kukielewa, kila mtu na kiasi chake, usipate taabu na mtu mwingine sababu na yeye anayo mapungufu mengi tu. Wala usitishwe na majina ya mlokole, nabii, wa upako nk, kipimo cha mtu anaye kijua ni Mungu Mwenyewe

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
 
Kwanza ujue wazi kuwa taifa teule haina maana wao hawakosei au hawana mapungufu, nao ni wanadamu kama sisi tu. Pia kuna sehemu inasema wazi kwamba Israel si kwamba yeye ni mwema sana au anahaki sana ila Mungu amempenda na kumchagua, na zaidi sana imeandikwa kuwa hawa jamaa wana shingo ngumu!

Halafu pamoja na wao kuwa taifa teule, dini ya kiKristo kwao ipo kwa uchache sana ukilinganisha na huku kwetu au kwenye mataifa mengine. Wao dini ya kiyahudi ina wafuasi wengi zaidi na kwa sehemu kubwa wanaongozwa sana kwa sheria na wanafuata sana Agano la kale.

Wewe jitahidi tu kusimamia unachokijua na kukielewa, kila mtu na kiasi chake, usipate taabu na mtu mwingine sababu na yeye anayo mapungufu mengi tu. Wala usitishwe na majina ya mlokole, nabii, wa upako nk, kipimo cha mtu anaye kijua ni Mungu Mwenyewe

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
slide_13.jpg
 
Kwanza ujue wazi kuwa taifa teule haina maana wao hawakosei au hawana mapungufu, nao ni wanadamu kama sisi tu. Pia kuna sehemu inasema wazi kwamba Israel si kwamba yeye ni mwema sana au anahaki sana ila Mungu amempenda na kumchagua, na zaidi sana imeandikwa kuwa hawa jamaa wana shingo ngumu!

Halafu pamoja na wao kuwa taifa teule, dini ya kiKristo kwao ipo kwa uchache sana ukilinganisha na huku kwetu au kwenye mataifa mengine. Wao dini ya kiyahudi ina wafuasi wengi zaidi na kwa sehemu kubwa wanaongozwa sana kwa sheria na wanafuata sana Agano la kale.

Wewe jitahidi tu kusimamia unachokijua na kukielewa, kila mtu na kiasi chake, usipate taabu na mtu mwingine sababu na yeye anayo mapungufu mengi tu. Wala usitishwe na majina ya mlokole, nabii, wa upako nk, kipimo cha mtu anaye kijua ni Mungu Mwenyewe

Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu ukisema nisipate taabu na mtu mwingine si ndio uchoyo wa maarifa huo, mi naona ni vema kila mmoja anapochangia anachokijua kisha kufikia muafaka kwa kushauriana ama kurekebishana.
Mfano:
1. kwanini nilisema wa Africa tusiwe na dini zetu? ni kwasababu nikiangalia u Kristo hasa katika haya mataría yalioendelea na ambako ni chimbuko la u Kristo, sijaona wakiwa na IMANI kama nchi za Ki Africa zinavyo amini katika Kristo.
Nilipokuwa mgeni moja ya Nchi hizo ninamo ishi kwa keli nilijitahidi sana kuhudhuria misa mbalimbali za makanisa mbalimbali. Lengo la kwanza ni upweke siku za weekend pili nikaanza kunogewa na kujifunza kuhusu IMANI yao katika Mungu.
Mavazi-Nilienda kanisa moja la kiroho, mavazi waliovalia hadi wahubiri ni very casual wake kwa waume, pensi fupifupi maana ilikuwa msimu wa joto kali sana.Lakini pia mahuburi yalikuwa hayana vitisho vya kwenda motoni au jehanam, mahubiri mengi yalikuwa ni upendo, upendo na upendo. Ndipo nikawaza ingekuwa nyumbani Tanzania hawa waumiini hata wasingeingia hapa kanisani. Shemasi angewarudisha wakavae nguo za kumtukuza Mungu.
Nilienda kanisa la Wasabato, huku nilikuta kanisa kubwa sana, zuri mno, kuingia ndani kuna waumini wachache mno kulingana na ukubwa wa kanisa lenyewe na idadi ya watu. Nikahesabu watu pale kanisani faster faster, kulikuwa na kama watu 40, kati yao wazungu walikuwa 9, wengine wanaobakia ni mataifa ya ki Afrika....yani kanisani hakunogiiiii
Mavazi yao kama ya kanisa la mwanzo tu, nguo fupi, hereni, cheni, na mambo mengine ambayo wa Sabato wa nyumbani TZ hawafanyi. nikazidi kujiuliza sasa haya makanisa ya nyumbani mbona yana mashariti mengi sana, shida ni nini? wanapata wapi hizo sheria.
Roman, rafiki yangu nafanya nae kazi yeye ni m Roma pure, siku moja tupo kazini akaingia mama mmoja kazini, huyu rafiki yangu akanambia mwangalie yule mama ni hawala wa mume wangu. Nikashangaa kuwa kumbe hata wazungu wanakuwa na mahawala, ndipo akaniambia yeye na mumewe walishatengana kitambo, sasa wapo kwenye process za talaka! nikashangaa talaka we si m Roma akasema ndio, na talaka akipata anaruhusiwa kuolewa tena kanisani.
Badae nikajifunza mambo mengi tu, kuwa kuna hawa ma sister wa Roman, badhi yao ni wanawake ambao waliwahi kuolewa na kuzaa, badae anaona ah wacha nikamtumikie Mungu. Ibada inajaza sana watu siku za msiba au harusi ndipo watu wengi huenda kanisani. Ni mengi sana ila nifanye kufupisha ili nisitoke sana kwenye uzi wa Mshana jr
 
View attachment 614977
Tunatumia damu kurekebisha mambo yetu yakae sawa... Lakini wakati huohuo damu hiyo ni kitu hai, damu ina roho na unaichukua baada ya kuteketeza roho isiyo na hatia.. Huku ni kujiingiza kwenye maagano mabaya zaidi na vita ya kiroho amabayo mwisho wake huiacha roho yako ikiwa taabani kwa kipigo na kuondolewa kinga zake zote.... Vita huleta udhaifu
nimekuelewa sana ujue..nimewafikiria wale wanganga wanaagiza njiwa achinjwe, mara vifaranga, mara kuku anachinjwa damu ikiisha anazikwa yaanii nimekuelewa
 
Huku unawekewa mkono wenye unabii bandia, mkono wenye nguvu za kichawi, mkono wa kuzimu unachukua kinga yako halisi na kukuachia bandia
Unaenda kule unapewa kitambaa chenye upako feki unakitumia huku tayari una nguvu ile nyingine
Mara unaenda kupewa kichupa cha maji ya baraka, mara maombezi ya usiku kucha, unaichosha roho yako kwa kukaribisha wageni wane tofauti ambao kila mmoja anataka kukumiliki kiroho
Kunywa kipapli bariiiiiiiiidi, kwani shs ngapi?
 
Bwana mtoa mada naona hii hali ya kutoa uzi mida mibovu unawafanya watu wanacomment huku wanausingizi hivi kweli leo hii wewe wakuitwa mtumishi wa Bwana?? Inamaana tunguli huna tena?? Anyway ngoja nivute shuka nlale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom