atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,545
- 9,774
Dhibitisha uongo wake
Dhibitisha uongo wake
Ni wakati mtu mwovu(mfano mbakaji,muuaji mchoyo nk alikuwa akiyafanya mambo hayo akiwa duniani halafu Mara anapokufa anageuka kuwa mtu mwema(mzimu)kiasi cha kuombwa msaada na walio hai?
Yaani mfano baba yako au babu yako alikuwa muuaji,mbakaji au mtu wa dhuluma akifa mtu huyuhuyo awe mwema kiasi cha kwenda kuombwa baraka na mafanikio? Ni wakati gani uovu unamtoka anageuka kuwa mwema?
Sasa kwa maana hiyo baba yako kama alikuwa mtu mbaya,Je akifa akishageuka kuwa mzima ukaenda kumuomba akusaidie mambo yako atafanya au ndio atayaharibu zaidi?Mzee kama ilivyokuwa duniani na upande wa pili ndio hivo hivo. Kwa kiswaili sijui inaitwaje lakini kwa kingereza inaitwa soul group. Ni kundi la watu wa asili moja. Kama wewe ni mtu mbaya lazima kuna watu wa baya wapo nyuma yako kukuunga mkono na kama wewe ni mtu mzuri jua kuna watu wako nyuma yako kukuunga mkono. Hii ipo kila jamii yesu alikuwa binadamu akafa huu ni mzimu mtume muhamadi alisha kufa lakini watu bado wanamtaja kwenye sala zao na wakati alisha kufa. Wale watu wa vita ya al badr wanatajwa mpaka sasa na ni mizimu ya waarabu.
Sasa kwa maana hiyo baba yako kama alikuwa mtu mbaya,Je akifa akishageuka kuwa mzima ukaenda kumuomba akusaidie mambo yako atafanya au ndio atayaharibu zaidi?
Mzee wa yanga wasap makao makuu
🤣Watu wanaogopa moto kuliko kumuogopa Mungu yani kwanza watu wengi dini awazipendi basi wanqogopa story za moto tu.
WAKIJBU NISHTUEMbona Wazungu nao walipelekewa Injili kama sisi lakini wameendelea.Maana ukweli ni kwamba nao walikuwa na dini zao,walipelekewa Injili wakaachana na dini zao za asili,...tusihalalishe kutokuendea kwetu kwa sababu nyepesi.
basi itoshe kusema kila mtu ana kitu anachokiamini, kuabudu ni matokeo ya kuamini, kwa kua ukiomba mizimu anakupa kwa wakati basi nao wanaoamini katika Mungu(uliesema wa wazungu) anawapa kwa wakati wale wanao muamini. Imani ndio msingi.Siabudu kitu lakini naamini kitu.
basi itoshe kusema kila mtu ana kitu anachokiamini, kuabudu ni matokeo ya kuamini, kwa kua ukiomba mizimu anakupa kwa wakati basi nao wanaoamini katika Mungu(uliesema wa wazungu) anawapa kwa wakati wale wanao muamini. Imani ndio msingi.
SWALI: vipi kama lugha ya kiingereza unayotumia/unayosoma ni Mungu wa kizungu kasema waitumie, haikufanyi kua moja ya muamini dini ya kizungu?