Upotoshaji kuhusu mizimu

Sina haja ya kutoa salam. Kwani najua wengi hampo salama.

Nimeamua kuleta mada hii tata ili kuwafumbua macho walio wengi. Kwanza nakiri kwamba ukweli unashangaza sana. Truth is stranger tha finction. Asilimia 75% ya watu weusi ni watumwa.

Mizimu ni roho za watu ambao ni ndugu zetu waliokufa ambao wamekuwa trapped in 4th dimension na binadamu wa kawaida tupo third dimension. Wao ndio viumbe wa karibu na sisi sana ukizingatia kuna nine dimensions ulimwenguni. Wote sisi ni wasafiri. Na mwisho wa safari yetu ni tisa.

Wengi wa watu weusi wana laana ya asili kwa sababu ya utumwa wa fikra. Lakini silazimishi mtu akiamini kile nachotoa hapa. Kwani wengi wamekuwa trapped by by the matrix system.

Kila jamii zilizo tuzunguka zina miungu yao. Mfano wayahudi (waisraeli) wana mungu wao wa musa aliyetajwa kitabu cha mwazo. Wanasema ni mungu wa haki. Amesemwa ni mngu wa haki kwani ameweka sheria na adhabu kali kwa mwanadamu. Na mungu wa waisraeli ni mungu wa Time (muda) ambaye ameumba vitu. Sikatai.

Pili kuna mungu wa agano jipya chini ya yesu ambaye ni mungu wa upendo. Mungu huyu yupo na anaabudiwa na warumi( warumi ndio wazungu wa sasa hivi au roman empire)

Mungu wa waisraeli, warumi na waarabu ni mungu wa muda hata ukisoma vitabu vyao kila saa wanajisifu wao ndio wana control time.

Kila jamii za kidunia zina miungu yao mfano wahindi wana mungu brahma, kali, vishu na krishna nk., wachina wana budha pamoja na wajapani na watu wote wenye asili ya macho madogo mungu wao ni sanamu lenye tumbo kubwa linaitwa budha.

Waarabu mungu wao ni allah ambaye anawakiliswa na jiwe lipo maka linaitwa black stone jiwe jeusi ambalo lipo al kaba jiwe hilo lilishuka duniani toka kipindi cha adamu na hawa na watu wakienda kuhiji wanalibusu na kusujudia jiwe hilo kwa kulizunguka mara saba. Jiwe hilo linaitwa hajr al aswad.

Ni ibada ya kuabudu sanamu lakini waislamu wengi hawajui ukweli huu. Ndo mana wanipagana vita na kuwauwa watu weusi wenzao kwa makundi kama boko haramu na al shabab. Ni sawa na mawe yanayotumiwa kuchonga sanamu la yesu wa wakrito wakaliabudu. Haina tofauti wote waislamu na wakristo wote wanamuabudu Saturn au Kronos ndo mana waslamu wanaamini biblia ni kitabu cha mungu ambaye ni saturn katika nguzo zao za imani. Nasisitiza mungu wa wakristo ni Saturn pamoja na waislamu ili ujuwe huu ukweli lazima uwe INITIATE. Kawa wewe sio INITIATE utaishi kutoa sadaka na sijda.

Kronos Ndio mungu wa waislamu na wakristo. Na nguvu zake sio kamili kwani mungu halisi hatoi adhabu wala hataki kunyenyekewa ni mungu wa upendo haijalishi unafanya mabaya au hapana yeye yupo tuu wala hawezi kuhukumu kitu. Duniani tupo kwaajili ya kujifunza hivyo hakuna zuri wala baya. Inategemeana na tafsiri ya kile unachokiona nikzuri kwako kinaweza kuwa kibaya kwa mwenzako.

Kwa sasa kuna mawakala wengi sana makanisani na kisikitini wakiwaaminisha kuwa mizimu ni roho chafu za kuzimu ilihali wakijuwa wao wamepokea shahada za ki freemason ambazo ni ibqda za wazungu na hii ipo katika historia ya mqmbabu zao kwamba ndio asili yao wazungu. Wanawatoa watu weusi wenzao katika ukweli ili kulinda maslahi yao ya kidunia.

Wanachofanya hawa watu wazungu ni kututoa katika asili yetu na sisi kufata mambo yao.

Mzimu ni baba au mama yako aliyekufa je baada mzazi wako akifa utamchukia au utamkumbuka kwa wema aliokufanyia kwa malezi mpaka hapo ulipo fika.? Baba na mama yako nao wana wazazi wao ambao nao walisha tangulia mbele za haki mlolongo unaendela hivo. Lengo la ibada ya mizimu ni kutoa shukrani kwa walio tutangukia kwani wao wanatuona ila sisi hawatuoni ila sio kuwa abudu. Kuna tofauti ya kutoa shukranu na kuabudu mfano kujenga kaburi la ndugu au jamaa ni kuonyeaha shukrani fulani.

Wanachofanya watu wa dini mfano wakristo na waslamu kupiga vita mizimu hasara yake hutaiona hapa duniani na pindi utakapo kufa utawakuta ndugu zako na ma bibi na mababu zako ila hawata kupokea kama sehemu yao kwani wakati upo duniani uliwadhihaki na kuwa adui kwao.

Mizimu wanachotaka ni kuwa na hisia za kibinadamu kutowa sadaka mbali mbali kwao ikiwamo za wanyama kwani huwa wametuzunguka na mkikutana kama ukoo huwa wapo na hupenda.

Mizimu inapenda pombe maji au wanyama wanaochunjwa kwa hesma yao kwani ndio life style ya mwanadamu toka enzi watu wanakunywa pombe. Kwa vitu hivo unatengeza conection ya mafanikio yako hapa duniani na ukifa utakuwa na watu watakao kupokea. Ukifa unaenda sehemu ya ugenini lazima uwe na wenyeji walio kutangulia.

Kama ulivyo zaliwa hapa duniani ukapokewa na wazazi wako na ndugu zako na pia utakapo kufa jua kuna wenyeji ambao walisha kutangulia ambao watakupokea. Je hao wenyeji uliwafanyia jambo gani la maana kuonyesha heshima kwao. Wakati bila wao wewe usinge weza kuzaliwa. Kumbuka marehemu babu yako na bibi yako ndio walizaa wazazi wako ambao unawapenda. Na wazazi wako wana wazazi wao ambao wana wapenda na kuwakumbuka cheni ni ndefu sana kurudi nyuma mpaka wewe ukawepo hapo ulipo daganywa na stori za biblia ya warumi na kurani ya waarabu.

Dini zote ambazo mnaziabudu zote zililetwa na watesi wetu na kuwachukua babu na bibi zetu kama watumwa na wameua watu weusi wengi sana. Alafu leo unajifanya mlokole au mkristi safi au muslam safi jua unajidanganya na unaungana na maadui za wazee wetu na kusahau mila.

Ukoo hauishi, kama ulivyo pokelewa hapa duniani na wazazi wako utapokelewa na ahera na mizimu ya waliokutangulia kama ulikuwa unawatoa katika jina la yesu ndonutajua sasa utakapo ishia na mtu akifa kinachobakiwa nae ni kumbukumbu za maisha yake.

Watu weusi ni watumwa wa fikra za historia ipo wazi kuwa tulijishusha chini na kupokea tamaduni za watu wengine hasa waarabu na wazungu. Ili tufanikiwe gundueni tatizo lipo wapi kwanini tuna mali zote lqkini hatuna baraka tupo katika lindi la umaskini na kusalitiana?

Mfano wa wazi ni filamu ya vikings ambapo ragnar alisahau mizumi ya asili kwao kwa kupokea ukristo na mizimu ikamsahau. Ile filamu ni kwaajili ya kutoa fundisho usisahau ulipo toka.

Mimi siabudu mizimu ila natoa shukrani kwa wazee wangu wote waliotangulia mbele za haki ambao bila wao nisinge weza kuzaliwa na baba na mama yangu kwa kutia sadaka ya denge au maji au chochote nachotaka. Kuna mahali nimwekea alter maalumu ila hakuna anaye ishi hapo porini. Ila kwakuwa najua mizimu ipo na mimi inajua nachofanya.

Ombi langu kwako usigombane na mizimu ya watangulizi wako kwani huwezi jua kama wao ni mizimu huenda na wewe ukawa mzimu pia ila ukiwa mzimu wenye maaadui upande wa pili itakuwa ngumu kwako.

Heshimuni tamaduni zenu tukutane mwezi 12 nyumbani. Kuwa kwako mkristo autimatiki unaona waslamu wanaenda motoni wahindi wanaenda matoni na wayahudi pamoja na watoa shukrani kwa mizimu hii ndo mentality wa matrix wana kuwa na Ego kwamba wao dini yao ndo ya haki na wengine wapo dini ya uongo kumbe wote wamepotea.

Wewe unapokesha kumsifia mungu wa waisraeli usije kudhani eti baraka zinakujua kwako hapana zinaenda kwa waisrael na vilevile unavyo msalia mtume na allah baraka zote zinaenda kwa waarabu ndo mana mtu mweusi ni maskini wa mali akili na fikra.

Elimu hii sio ya ku google ni urithi wangu niliopewa. hivo usije kuniambia uislamu au ukristo ni dini ya haki nikikuomba ushahidi ukaniletea maneno kwa biblia imesema au qurani imesema wewe ulikuwepo au wewe ni mwarabu au mrumi.? Pita hivi.
Naunga mkono hoja
 
Sina haja ya kutoa salam. Kwani najua wengi hampo salama.

Nimeamua kuleta mada hii tata ili kuwafumbua macho walio wengi. Kwanza nakiri kwamba ukweli unashangaza sana. Truth is stranger tha finction. Asilimia 75% ya watu weusi ni watumwa.

Mizimu ni roho za watu ambao ni ndugu zetu waliokufa ambao wamekuwa trapped in 4th dimension na binadamu wa kawaida tupo third dimension. Wao ndio viumbe wa karibu na sisi sana ukizingatia kuna nine dimensions ulimwenguni. Wote sisi ni wasafiri. Na mwisho wa safari yetu ni tisa.

Wengi wa watu weusi wana laana ya asili kwa sababu ya utumwa wa fikra. Lakini silazimishi mtu akiamini kile nachotoa hapa. Kwani wengi wamekuwa trapped by by the matrix system.

Kila jamii zilizo tuzunguka zina miungu yao. Mfano wayahudi (waisraeli) wana mungu wao wa musa aliyetajwa kitabu cha mwazo. Wanasema ni mungu wa haki. Amesemwa ni mngu wa haki kwani ameweka sheria na adhabu kali kwa mwanadamu. Na mungu wa waisraeli ni mungu wa Time (muda) ambaye ameumba vitu. Sikatai.

Pili kuna mungu wa agano jipya chini ya yesu ambaye ni mungu wa upendo. Mungu huyu yupo na anaabudiwa na warumi( warumi ndio wazungu wa sasa hivi au roman empire)

Mungu wa waisraeli, warumi na waarabu ni mungu wa muda hata ukisoma vitabu vyao kila saa wanajisifu wao ndio wana control time.

Kila jamii za kidunia zina miungu yao mfano wahindi wana mungu brahma, kali, vishu na krishna nk., wachina wana budha pamoja na wajapani na watu wote wenye asili ya macho madogo mungu wao ni sanamu lenye tumbo kubwa linaitwa budha.

Waarabu mungu wao ni allah ambaye anawakiliswa na jiwe lipo maka linaitwa black stone jiwe jeusi ambalo lipo al kaba jiwe hilo lilishuka duniani toka kipindi cha adamu na hawa na watu wakienda kuhiji wanalibusu na kusujudia jiwe hilo kwa kulizunguka mara saba. Jiwe hilo linaitwa hajr al aswad.

Ni ibada ya kuabudu sanamu lakini waislamu wengi hawajui ukweli huu. Ndo mana wanipagana vita na kuwauwa watu weusi wenzao kwa makundi kama boko haramu na al shabab. Ni sawa na mawe yanayotumiwa kuchonga sanamu la yesu wa wakrito wakaliabudu. Haina tofauti wote waislamu na wakristo wote wanamuabudu Saturn au Kronos ndo mana waslamu wanaamini biblia ni kitabu cha mungu ambaye ni saturn katika nguzo zao za imani. Nasisitiza mungu wa wakristo ni Saturn pamoja na waislamu ili ujuwe huu ukweli lazima uwe INITIATE. Kawa wewe sio INITIATE utaishi kutoa sadaka na sijda.

Kronos Ndio mungu wa waislamu na wakristo. Na nguvu zake sio kamili kwani mungu halisi hatoi adhabu wala hataki kunyenyekewa ni mungu wa upendo haijalishi unafanya mabaya au hapana yeye yupo tuu wala hawezi kuhukumu kitu. Duniani tupo kwaajili ya kujifunza hivyo hakuna zuri wala baya. Inategemeana na tafsiri ya kile unachokiona nikzuri kwako kinaweza kuwa kibaya kwa mwenzako.

Kwa sasa kuna mawakala wengi sana makanisani na kisikitini wakiwaaminisha kuwa mizimu ni roho chafu za kuzimu ilihali wakijuwa wao wamepokea shahada za ki freemason ambazo ni ibqda za wazungu na hii ipo katika historia ya mqmbabu zao kwamba ndio asili yao wazungu. Wanawatoa watu weusi wenzao katika ukweli ili kulinda maslahi yao ya kidunia.

Wanachofanya hawa watu wazungu ni kututoa katika asili yetu na sisi kufata mambo yao.

Mzimu ni baba au mama yako aliyekufa je baada mzazi wako akifa utamchukia au utamkumbuka kwa wema aliokufanyia kwa malezi mpaka hapo ulipo fika.? Baba na mama yako nao wana wazazi wao ambao nao walisha tangulia mbele za haki mlolongo unaendela hivo. Lengo la ibada ya mizimu ni kutoa shukrani kwa walio tutangukia kwani wao wanatuona ila sisi hawatuoni ila sio kuwa abudu. Kuna tofauti ya kutoa shukranu na kuabudu mfano kujenga kaburi la ndugu au jamaa ni kuonyeaha shukrani fulani.

Wanachofanya watu wa dini mfano wakristo na waslamu kupiga vita mizimu hasara yake hutaiona hapa duniani na pindi utakapo kufa utawakuta ndugu zako na ma bibi na mababu zako ila hawata kupokea kama sehemu yao kwani wakati upo duniani uliwadhihaki na kuwa adui kwao.

Mizimu wanachotaka ni kuwa na hisia za kibinadamu kutowa sadaka mbali mbali kwao ikiwamo za wanyama kwani huwa wametuzunguka na mkikutana kama ukoo huwa wapo na hupenda.

Mizimu inapenda pombe maji au wanyama wanaochunjwa kwa hesma yao kwani ndio life style ya mwanadamu toka enzi watu wanakunywa pombe. Kwa vitu hivo unatengeza conection ya mafanikio yako hapa duniani na ukifa utakuwa na watu watakao kupokea. Ukifa unaenda sehemu ya ugenini lazima uwe na wenyeji walio kutangulia.

Kama ulivyo zaliwa hapa duniani ukapokewa na wazazi wako na ndugu zako na pia utakapo kufa jua kuna wenyeji ambao walisha kutangulia ambao watakupokea. Je hao wenyeji uliwafanyia jambo gani la maana kuonyesha heshima kwao. Wakati bila wao wewe usinge weza kuzaliwa. Kumbuka marehemu babu yako na bibi yako ndio walizaa wazazi wako ambao unawapenda. Na wazazi wako wana wazazi wao ambao wana wapenda na kuwakumbuka cheni ni ndefu sana kurudi nyuma mpaka wewe ukawepo hapo ulipo daganywa na stori za biblia ya warumi na kurani ya waarabu.

Dini zote ambazo mnaziabudu zote zililetwa na watesi wetu na kuwachukua babu na bibi zetu kama watumwa na wameua watu weusi wengi sana. Alafu leo unajifanya mlokole au mkristi safi au muslam safi jua unajidanganya na unaungana na maadui za wazee wetu na kusahau mila.

Ukoo hauishi, kama ulivyo pokelewa hapa duniani na wazazi wako utapokelewa na ahera na mizimu ya waliokutangulia kama ulikuwa unawatoa katika jina la yesu ndonutajua sasa utakapo ishia na mtu akifa kinachobakiwa nae ni kumbukumbu za maisha yake.

Watu weusi ni watumwa wa fikra za historia ipo wazi kuwa tulijishusha chini na kupokea tamaduni za watu wengine hasa waarabu na wazungu. Ili tufanikiwe gundueni tatizo lipo wapi kwanini tuna mali zote lqkini hatuna baraka tupo katika lindi la umaskini na kusalitiana?

Mfano wa wazi ni filamu ya vikings ambapo ragnar alisahau mizumi ya asili kwao kwa kupokea ukristo na mizimu ikamsahau. Ile filamu ni kwaajili ya kutoa fundisho usisahau ulipo toka.

Mimi siabudu mizimu ila natoa shukrani kwa wazee wangu wote waliotangulia mbele za haki ambao bila wao nisinge weza kuzaliwa na baba na mama yangu kwa kutia sadaka ya denge au maji au chochote nachotaka. Kuna mahali nimwekea alter maalumu ila hakuna anaye ishi hapo porini. Ila kwakuwa najua mizimu ipo na mimi inajua nachofanya.

Ombi langu kwako usigombane na mizimu ya watangulizi wako kwani huwezi jua kama wao ni mizimu huenda na wewe ukawa mzimu pia ila ukiwa mzimu wenye maaadui upande wa pili itakuwa ngumu kwako.

Heshimuni tamaduni zenu tukutane mwezi 12 nyumbani. Kuwa kwako mkristo autimatiki unaona waslamu wanaenda motoni wahindi wanaenda matoni na wayahudi pamoja na watoa shukrani kwa mizimu hii ndo mentality wa matrix wana kuwa na Ego kwamba wao dini yao ndo ya haki na wengine wapo dini ya uongo kumbe wote wamepotea.

Wewe unapokesha kumsifia mungu wa waisraeli usije kudhani eti baraka zinakujua kwako hapana zinaenda kwa waisrael na vilevile unavyo msalia mtume na allah baraka zote zinaenda kwa waarabu ndo mana mtu mweusi ni maskini wa mali akili na fikra.

Elimu hii sio ya ku google ni urithi wangu niliopewa. hivo usije kuniambia uislamu au ukristo ni dini ya haki nikikuomba ushahidi ukaniletea maneno kwa biblia imesema au qurani imesema wewe ulikuwepo au wewe ni mwarabu au mrumi.? Pita hivi.
Nitausoma baadae kwa utulivu

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Mbona Wazungu nao walipelekewa Injili kama sisi lakini wameendelea.Maana ukweli ni kwamba nao walikuwa na dini zao,walipelekewa Injili wakaachana na dini zao za asili,...tusihalalishe kutokuendea kwetu kwa sababu nyepesi.
 
Mbona ww umetambua hayo na upo katikati ya wasioendelea , tumeendekeza ngono , ulevi na uchawi tunasingizia din
 
Dunia ina dini maelfu kwa maelfu, lkn kuna dini officially ambazo kubwa kama 5 au6 hiv ambazo zote zna misingi yake tofaut na nyingne huku ikiwa na wafuas ya watu mamilion,,,swal je? huyo Mungu wa kwel ni yupi?? uyo unaemuabudu wew unauwakika kuwa ndye yule wa kwel? kwa ushahid upi??, uliwai muona?? aliwahi kukutokea?? ama aliwahi mtuma nabii wake ama maraika wake toka ukoa alko na kuja kuwathibitishia wazawa wa leo kuwa iman fulan ndyo sahihi??,, achna na kukalil sabbu umezaliwa familia inayoabud iman fulan bas naww ukajua uko right, ama umefundishwa na kiongoz wako wa dini ukajiona uko right, kumbuka dunia ina zaid ya watu billion7 na kila mtu ana din yake tofaut na yako, swal je hilo dhehebu lako ama dini yako ni sahihi kulko wale billions of people wanaoabudu tofaut nawew?? kwa ushahid upi? maana ukisema ushahid wa kitabu chako, kila dini ina ushahidi na historia vile vile,,,,imani ni jambo pana sana ambalo watu wanalivamia paspo kuhoj ama kutumia utashi kufikil,,watu mmejawa kashfa na kukosoana bila kujua upi ukwel,,yaan Mungu awahukum watu fulan wa dhehebu fulan na kuwaacha awa wengine kwa lengo lipi???.....JIBU NI MOJA TU UNALIPATA MUNGU WA KWEL HAUSIANI NA DINI WALA DHEHEBU LOLOTE LILE,,MUNGU WA KWEL HAITAJ DHEHEBU LAKO WALA UJUAJI WAKO ILI KUURITH UFALME WAKE,,MUNGU WA KWEL HANA USHIRIKA NA HAYO MAGENGE YENU MNAYOYAPIGIA DEBE KILA SIKU NA KUHUKUMIANA BILA KUHOJI KWEL N IPI,,MUNGI WA KWEL HANA NABII WALA MTUME ZAMA HIZI,,MUNGU WA KWEL,..MTAKESHA KUPINGANA KILA SIKU SABBU YA UPUMBV WENU MLIOLISHWA NA WAKOLONI WALIOTEKA AKILI ZENU KWA MIGONGO YA DINI....NI AIBU KWA MUAFRIKA KUSHADADIA IMAN ULIYOLETEWA, NI AIBU MWAFRIKA KUMUITA MWENZAKO MPAGANI KWA KUTUMIA TAFSIRI ZA IMAN YAKO....BADIRIKEN
FB_IMG_16087178330058876-1.jpg
 
UKWEL MCHUNGU...iko hiv, hao wazawa wa mashetan taan wazungu& waarabu baada ya kututawala na kutuibia kwa muda mrefu waliamua kutuletea dini ambazo kimsing hazna ukwel zaid ya upotoshaj mkubwa sana, naongea haya maana nna ushahid wa kutosha, kuwa ktk dini zoote ulimwengun znamuabudu shetan kupitia majina mbalimbal na utambulsho mbalimbal lkn ni yule yule mmoja tuu, Mungu wa kwel alishasahaulika zaman sana tangu mwafrika alipoikana tamadun yake na kuugeukia utandawaz wa iman ya mtu mweupe, Mungu wa kwel hakitambui kizaz cha mtu mweups maana kilikuja kwa bahat mbaya na kilkuja kwa mission ya kuuchafua uzao hasiri wa mtu mweusi, pia kilikuja kuufuta uzao mweus na kukitaaala kizaz cha mtu mweusi, hivyo bas kama hawa watu hawatambuliw na Mungu wa kwel bas usitegemee mkomboz ama ukomboz wako utoke kwa mtu mweupe zaid ya uongo, n meng tumedanganywa, mfani historia ya afrika na dunia nzma, uumbwaji wa dunia, chanzo cha migawanyiko ya rangi za wanadamu, ukwl kuhusu mwisho wa dunia na ukwel kuhusu kifo, na kuhusu kifo iko hiv, kuna vifo vya aina 2 yaan kifo cha asiri ambacho mtu hufa baada ya umr wake na mission yake dunian kutimia(kifo halali) na kifo cha pili ni kifo feki yaan mtu unakufa kabla ya umr wako na mission yako dunian kutimia, sasa nikianza na kifo halal, iki ukifa moja kwa moja roho yako upotea&nafs yako hupotea ama ufutika ktk limwengu zote iwe kimwil,kiroho ama kinafsi yaan unakuwa haupo rohon,nafsin wala mwilin kiufup unakuwa kama memory iliyoformatiwa yaan huend popote iwe jehanam ama pepon, na kifo cha pili hiki utokea inaweza kuwa bahat mby mfano ajar ama makusud kwa kuuwawa, na unapokufa kifo cha baht mbaya , kwakuwa muda wako ulkuwa bado so tegemea nafs yako kuendelea kuish ktk dunia in form of spiritual, yaan unakuaa kama mzkuka unatanga tanga dunian, na inapofikia sku yako, basi hupotea ktk huo ulimwengu, hii ipo hata kwa wale wanaofuga misukule, ikifka siku original ya msukuke kufa ama mtu aliekufa kifo feki, bas hupotea hata uko usukulen, na hakuna wakukujua upo wapi zaid ya Mungu tu, na hakuna wakukufufua zaid ya Mungu tu,..mjue kwamba hakuna jehanam wala ziwa la moto, bali kuna imagination ya jehanamu ambayo hutumiwa na shetan kuwalaghai wanadamu wasambaze uongo dunian kuhusu mateso na kumfanya Mungu aonekane gaid na mkatr
IMG-20210711-WA0000.jpg
 
mambo ambayo tulidanganywa ni
..uongo kuhusu sadaka
..uongo kuhusu jina la kwel la Mungu
..uongo kuhusu afrika na muafrika
...uongo kuhusu siku za mwisho
....uongo kuhusu falme zilizotawala dunia
...uongo kuhusu muonekano wa dunia, mzunguko wa dunia na jua, siku,masaa,mwez,mwaka,tarehe na kalenda kiujumla
....uongo kuhusu elimu
.....uongo kuhusu sala na maombi
......uongo kuhusu vitabu vya dini
......uongo kuhusu nchi ya misri na israel
......uongo kuhusu mgawanyiko wa mabara
....uongo kuhusu chanzo cha rangi za wanadamu
.....uongo kuhusu alien
.....uongo kuhusu jicho la 3
.....uongo kuhusu pyramid
.....uongo kuhusu technology ya umeme,ndege,matibabu,ujenz na uhandisi,uhandishi, ufugaji,usafirishaji,unajimu, elimu ya anga,
...uongo kuhusu historia ya waanzilish wa dini ya uislam kuwa ni waarabu, kumbe ni mtu mweus ambaye akitoka ktk kizaz cha mbantu ambao ni mzawa wa natumia majina mliyoyazoea kupitia vitabu vyenu vya uongo, ni hiv yule mnaemuita ishmael alizaliwa na baba mbantu na mama mbantu yaan ibrahimu mweusi, na kijakaz wa misri(afrika) ambaye nae alikua mweusi, huyo ishmael hakuwai kuish nje ya afrika maana historia ya kweli inailocate israel ya kale ilkua middle Africa, so how come uislam uanzie uarabuni?, hivo bas wajanja walicheza na ramani original na kuleta historia zao za kishenzi.
pia uongo kuhusu uwepo kristo wa kwel na manabii wote wa Mungu,..inshort uongo ni mwng kulko ukwel, na ukwel huu unaweza kuupokea kama umeachana na itikad ama mahaba ya dini na vifungo vya akili kupitia dini, kwa anaejiona amejazwa Roho mtakatifu ama anajiona naijua historia ya dunia ama anayajua maandiko sana na kupinga iki nilichoandika namuita aje tuchallengiane kupitia shahidi za maandiko na historia ya kwel,...NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK...
FB_IMG_16093146078627081.jpg
 
mambo ambayo tulidanganywa ni
..uongo kuhusu sadaka
..uongo kuhusu jina la kwel la Mungu
..uongo kuhusu afrika na muafrika
...uongo kuhusu siku za mwisho
....uongo kuhusu falme zilizotawala dunia
...uongo kuhusu muonekano wa dunia, mzunguko wa dunia na jua, siku,masaa,mwez,mwaka,tarehe na kalenda kiujumla
....uongo kuhusu elimu
.....uongo kuhusu sala na maombi
......uongo kuhusu vitabu vya dini
......uongo kuhusu nchi ya misri na israel
......uongo kuhusu mgawanyiko wa mabara
....uongo kuhusu chanzo cha rangi za wanadamu
.....uongo kuhusu alien
.....uongo kuhusu jicho la 3
.....uongo kuhusu pyramid
.....uongo kuhusu technology ya umeme,ndege,matibabu,ujenz na uhandisi,uhandishi, ufugaji,usafirishaji,unajimu, elimu ya anga,
...uongo kuhusu historia ya waanzilish wa dini ya uislam kuwa ni waarabu, kumbe ni mtu mweus ambaye akitoka ktk kizaz cha mbantu ambao ni mzawa wa natumia majina mliyoyazoea kupitia vitabu vyenu vya uongo, ni hiv yule mnaemuita ishmael alizaliwa na baba mbantu na mama mbantu yaan ibrahimu mweusi, na kijakaz wa misri(afrika) ambaye nae alikua mweusi, huyo ishmael hakuwai kuish nje ya afrika maana historia ya kweli inailocate israel ya kale ilkua middle Africa, so how come uislam uanzie uarabuni?, hivo bas wajanja walicheza na ramani original na kuleta historia zao za kishenzi.
pia uongo kuhusu uwepo kristo wa kwel na manabii wote wa Mungu,..inshort uongo ni mwng kulko ukwel, na ukwel huu unaweza kuupokea kama umeachana na itikad ama mahaba ya dini na vifungo vya akili kupitia dini, kwa anaejiona amejazwa Roho mtakatifu ama anajiona naijua historia ya dunia ama anayajua maandiko sana na kupinga iki nilichoandika namuita aje tuchallengiane kupitia shahidi za maandiko na historia ya kwel,...NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK...View attachment 1852249
Hotep Hotep
 
MUNGU AKUPE REHEMA YA KUJUA KWELI, By the way hata yao wazungu nao hufa..so nao pia wanakuwa mizimu sio!? So nao wanawaabudu Kama unavyotuambia hapa kuhusu africans tuitunze mizimu!?

Mzee..kilichokufa kimekufa..ni sawa na mwembe uliokauka..usitarajie mwembe yataota juu yake.
Wakifa si ndio mnawaita watakatifu
 
Wazungu hawakupelekewa injili yoyote wazungu ndo Roman Empire wao ndio waanzilishi wa hiyo injili Soma mqmbo ya First Council of Nicaea. Mkutano Uliitishwa na kusimamiwa na kaisari Konstantino Mkuu, aliyehofia mabishano kati ya raia wake Wakristo kuhusu Yesu Kristo, ambayo yalihatarisha umoja na usalama wa Dola la Roma lililoanza kuelekea kusambaratika. Yeye aliwaalika maaskofu wote wa dola, waliokuwa kama 1000 mashariki na kama 800 magharibi. Hapo ndu ukristo ulipoanzishwa
Hawawezi kukuelewa
 
Wazungu hawakupelekewa injili yoyote wazungu ndo Roman Empire wao ndio waanzilishi wa hiyo injili Soma mqmbo ya First Council of Nicaea. Mkutano Uliitishwa na kusimamiwa na kaisari Konstantino Mkuu, aliyehofia mabishano kati ya raia wake Wakristo kuhusu Yesu Kristo, ambayo yalihatarisha umoja na usalama wa Dola la Roma lililoanza kuelekea kusambaratika. Yeye aliwaalika maaskofu wote wa dola, waliokuwa kama 1000 mashariki na kama 800 magharibi. Hapo ndu ukristo ulipoanzishwa
kwa hiyo uliitishwa mkutano wa maaskofu ili kuanzisha ukristo wakati huo maaskofu Ni viongozi wa dini hiyo hiyo tayari. Sijakuelewa hapa hebu fafanua.
 
Ngoja nami niseme kitu.
Sasa hawa mizimu wetu walikuwa wapi before hawa wageni hawajaja? mbona walishindwa kututetea mababu zetu wasitawaliwe na wateswa na kulazimishwa dini za kigeni? je hawa mizimu ni wenye uezo au wasanii tu? leo hii wapo wapi na madhila tunayoyapata mbona hawajishughulishi ? mpaka waombwe? upendo wao kwetu mbona zero?
nijibiwe kwanza haya!
 
Back
Top Bottom