Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
babu weeeee! Unitue, usinikondeshe.
babu unanikokea moto? Kaone tumbo ka la beyonce!
babu weeeee! Unitue, usinikondeshe.
Dah skuona hii jibaba, tupo bana, nimeajiriwa CNN. Uporoto habari zisizo rasmi zinasema kamtapeli jamaa mbuzi akakatwa nyayo hawez kutembea. bado nazifatilia habari kusibitishabado Uporoto....
Dah skuona hii jibaba, tupo bana, nimeajiriwa CNN. Uporoto habari zisizo rasmi zinasema kamtapeli jamaa mbuzi akakatwa nyayo hawez kutembea. bado nazifatilia habari kusibitisha
Futa upesi kabla husninyo hajaisoma.Dah skuona hii jibaba, tupo bana, nimeajiriwa CNN. Uporoto habari zisizo rasmi zinasema kamtapeli jamaa mbuzi akakatwa nyayo hawez kutembea. bado nazifatilia habari kusibitisha
Eti nini? :shock:
Dah skuona hii jibaba, tupo bana, nimeajiriwa CNN. Uporoto habari zisizo rasmi zinasema kamtapeli jamaa mbuzi akakatwa nyayo hawez kutembea. bado nazifatilia habari kusibitisha
heheh huyu jamaa ukiamua kumsaidia kila siku utafilisika aisee. Jamaa ana skendo kuliko serikali ya iranhe he he sasa wewe ndugu yake mwanasheria umemsaidia vipi?lol
Husninyo nimerisi mimi. Kabila linaruhusuFuta upesi kabla husninyo hajaisoma.
Itakuwa tamu zaidi ukinambia mwenyewe. enhee anza movienilikuota umeambiwa?
Itakuwa tamu zaidi ukinambia mwenyewe. enhee anza movie
Unaleta menu halaf unagoma kuleta msosi sio? nitaripoti kwa mod hiihuyoo una hamu eeh akhu nisije kukuota tena bure
Unaleta menu halaf unagoma kuleta msosi sio? nitaripoti kwa mod hii
Khaaaa! ustaje hela bana, itasababisha hata hiyo ndoto nisiielewe tena. Nimehusu uchaganihela yako inatosha tu kuangalia menu.